Da Vinci XV
JF-Expert Member
- Dec 7, 2019
- 3,837
- 6,372
- Thread starter
- #61
Pamoja sana mkuu🤝🤝Nimekuelewa mkuu tatizo sisi binadamu wengi wao hatupendi kusoma kuchambua kwa nini hiki kiko hivi, kwa nini dunia moja na Mungu mmoja na dini zipo zaidi ya 10,000/= duniani kote, tunapenda kushikilia kile tukiaminicho na sio kutafuta tafuta na kujifunza kwa nini hii hiko hivi, hii ndiyo maana tunapenda kutafuniwa na sisi kazi yetu ni kumeza tu, ujiulizi ni nini hiki ninachomeza, Asante mkuu nilikuwa sijui na sasa nimejua nimegain kitu kutoka kwenye mada hii, mimi huwa ninapenda kufanya upembenuvi au kutafiti na kuelewa jambo siyo mtu wa kutafutiwa tu na kupewa halafu wewe unaitikia ndiyo mzee!!
Nasema tena asante mkuu mimi nimezaliwa katoliki na kukulia huko lakini leo nimejifunza kitu kutoka kwenye hekalu hili la Papa. Nasema asante sana na Mungu awe pamoja nawe ni raha sana jamiiforum!!