Da Vinci XV
JF-Expert Member
- Dec 7, 2019
- 3,837
- 6,372
- Thread starter
- #21
Ni hatari na Robo mkuuDuh! Hili jengo linatisha, utadhani ni mahali pa kufanyia satanic rituals!!
Ni hatari na Robo mkuuDuh! Hili jengo linatisha, utadhani ni mahali pa kufanyia satanic rituals!!
Ukichokonoa Imani ya mtu lazima Akupinge mkuuTukisema hapa kuna watu watadai tunakashfu imani ya watu ila kanisa katoliki siyo dhehebu sahihi kimaandiko hata huyo nyoka anasadifu ni nani kiongozi wake rejea ktk biblia yule anayetajwa kama nyoka ni nani ukimfahamu basi huyo ndiye
Daaah!!!Kuanza na sala ya kuungama huku bado unaishi katika dhambi haisaidii chochote, halafu ondoa uongo wako huo wa biblia kuandikwa na wakatoliki nenda kajifunze zaidi inaonekana hujui chochote
Wakati tunaandika haya Tulitegemea Kitu kama hichoAlways mtu anaona anachotaka kuona, kama ubongo wako umejipanga kuafananisha na nyoka lazima itafanana, akija mwingine akifananisha na kitu kingine itafanana pia. Kuna mada humu inasema kwenye mwezi kuna picha ya mwanamke kabeba mtoto; hicho ndicho kitu ubongo wake umeamua kuona na atakiona kweli. Kuna ile picha ya monalisa iliyochorwa na Davinch, wanasema ni picha ambayo ina all expressions of human feelings; yani ukiitazama kuona kama anafuaha utaiona, ukitaka kuona huzuni utaiona n.k, n.k. Mimi nilikua naiona siku zote but sikuwahi kuona ivo vitu but the day nilivyoambiwa hivyo nikaenda google kuicheki nikiwa na hiyo mentality na kweli niliziona expressions zote, coz ndicho ubongo wangu ulitaka kuona na kuprove.
Mtahangaika sana kuhusu Pope but this will never change a thing; yani hizi stori mnazotoa zote ni marudio hakuna mpya na hiaitatokea; coz Kanisa ni Moja, Takatifu, Katoliki la Mitume. Mungu kaliinua na hakuna wa kulishusha, Period.
Hatari mkuuDini mbili kubwa duniani, ukatoliki na uislamu zimeingiza upagani mwingi sana ndani yao.
Kwa bahati mbaya sana mwandishi sio MsabatoWasabato mpooo
aiyee mkuuUmba la mkutano la kipapa, hapo naona hilo joka limetahayari kweli
🤝🤝Unaweza fananisha hio pattern na kitu kingine ukiacha nyoka?
Tunafaham kuwa ubongo huwa una kawaida ya "Ku assign meaning" from "patterns"
Lakini kuna aina mbili za pattern....tuna random patterns, hizi hazina Creator
Ni product ya chance/nature
Kama sura ya MTU mwezini,sura ya nyerere kwenye mti etc...
Ila kuwa designed patterns,mfano sura yako..
Michoro au emoji...
Sasa designed pattern huwa ni intended,yaani zimeundwa kuonyesha hicho unachokiiona
Na haiwezekani kwa watu wawili kuona picha tofauti kwa sababu bongo zetu zinatumia same Mechanism...
Ndio maana nikauliza hapo juu unaweza kuona picha nyingine tofauti na nyoka?...umeona tembo?
Ndipo tunaporudi kwenye Maada
Huo ukumbi wa papa,wahandisi wake walitaka uone unachokiiona,hizo ni design patterns
Sasa swali linakuja kwanini "Nyoka"?
Unonekana unautazama ulimwengu kupitia tundu la kitasa
Your view of reality is very limited
sahihiKuna kitabu kinaitwa the Great Secret kitafute
Kina majibu ya maswali hayo...
As long as utaanda ubongo wako kujifunza kitu kipya...ni life changing
Note:Ukweli huwa wanaufahamu watu wachache sana kwasababu knowledge ndiyo inayofanya watu watawale...
Mambo mengi tunayoaamini tunayafahamu ni uongo..
AiseeUkishafahamu jambo kwamba ni uongo basi hauamini tena....
Imani ndio hivyo ni ukweli according to wewe, kwa mwingine zinaonekana ni make believe stories..., kwahio hata unachokiamini unadhani ni ukweli so long as ni imani huenda ndio zile zile tu fiction....
Ila katika civilized world ni heri kila mtu aendelee kuamini story zake ilimradi haingilii maisha ya mwingine
😂😂😂😂
Zaidi ya SanaInafikirisha sana.
Um
Umeshikwa pabaya mkuu,amegusa panapouma vumilia tu.
Umenikumbusha Kuna documentary moja Inaitwa SECRET OF SYMBOL mpak lile duara la nyuma katika picha ya yesu nilivyojua maana yake nilichoka..!kuna PAPA kiongozi wa kanisa Catholic, PAPA ya father(baba), PAPA yule samaki/ mnyama wa majini, Alafu kuna PAPA wa gigy .....alafu kuna maana gani nyingine ya PAPA mkuu???
Mkuu hii Dunia ina mengi sanaUmenikumbusha Kuna documentary moja Inaitwa SECRET OF SYMBOL mpak lile duara la nyuma katika picha ya yesu nilivyojua maana yake nilichoka..!
😂😂😂😂Majoka yametoka shimoni kuleta utetezi.
Majoka yametoka shimoni kuleta utetezi.