Blessingandaskootz
Member
- Sep 30, 2018
- 28
- 20
Mambo ni moto, MAPENZI ni kitu hatari sana, penda akupendae, usiombe kuachwa/kusalitiwa na mpenzi umpendae utajuta,
Naomba majibu toka kwenu wanaJF ni njia zipi wawezazitumia ukikutwa na hali hiyo ya kusalitiwa na mpenzi wako ili ku'reduce/ku'avoid maumivu hayo ya kusalitiwa na mpenzi wako.
Naomba majibu toka kwenu wanaJF ni njia zipi wawezazitumia ukikutwa na hali hiyo ya kusalitiwa na mpenzi wako ili ku'reduce/ku'avoid maumivu hayo ya kusalitiwa na mpenzi wako.