Ukuaji wa samaki kambale

Na je yale maujiuji yanayokaa kwenye utumbo mkubwa wa wanyama kama ng'ombe na mbuzi ambao humwagwa tu hata mbwa huwa hawali unafaa ukiumwaga kwenye bwawa?


Yep kwa Kambale ule ni sawa na pilau yake. Kwa kiingereza, Kambale anaitwa a river janitor, yaani msafishaji wa uchafu wote wa majini, mizoga, vinyesi vya wanyama, yaani kila kitu kwa Kambale ni poa tu.
 
Duh nilikua napata hasara kumbe ngoja niwawekee tope nipunguze gharama zisizo za lazima maana namimi nimefuga hao kambale na nilikua nawalisha kila siku
Boss inategemea unafuga kwa dhumuni gan ..kama ni biashara endelea kulisha tena lisha vizur ukiwajazia tope utasubir sana mpaka wakue
 
Ni kwa ajili ya biashara ndg yangu lkn mara nyingi sana wanakula uduvi na utumbo wa perege
Boss inategemea unafuga kwa dhumuni gan ..kama ni biashara endelea kulisha tena lisha vizur ukiwajazia tope utasubir sana mpaka wakue
 
Wakuu leo nimeshangaa hapa home kuna jirani alikuwa amechimba kisima cha chemchem baada ya kukitumia miezi kadhaa akakifukia yapita sasa mwaka akaamua kufukua kakutana na masamaki ya kambale hivi imekaaje wakuu kambale wanaweza kuzaliana bila kupandikiza vifaranga tena kakuta kambale mkubwa na kitoto


Lungfish

1537424768293.png

1537425169372.png



1537425089261.png

1537425130783.png


1537425204068.png
 
Yep kwa Kambale ule ni sawa na pilau yake. Kwa kiingereza, Kambale anaitwa a river janitor, yaani msafishaji wa uchafu wote wa majini, mizoga, vinyesi vya wanyama, yaani kila kitu kwa Kambale ni poa tu.
Alafu catfish ni nini?
 
Back
Top Bottom