khaligraph
JF-Expert Member
- Nov 19, 2016
- 1,083
- 961
Uko sahihi
Nakuona mdogo wake Zamaradi, msalimie shemeji yako RugeSisi clouds tupo juu sana sana Tanzania. Wivu unawasumbua sana kama sisi ni wadogo kwenu mnahangaika nasi kwanini
Creativty ipi?wafanyakazi wa ITV ndio waliochoka kuliko Tv zote wakitanguliwa na TBC.... Waste of time and space, si ungeuchuna tuu mods wanafanya wajibu wao? Back to the topic ni kweli ITV ni creative...
Imekuwa mushabara tena?Haswaaa ustadhijuma...ni mushabara...
... Nina haja kweli ya kushindana na wewe? No thanks.Creativty ipi?wafanyakazi wa ITV ndio waliochoka kuliko Tv zote wakitanguliwa na TBC.
Huwezi kuwalinganisha wafanyakazi wa clouds na ITV kwa viwango na jambo lolote.Tafuta namna ya kupandisha Tv yako
Wamechoka kivip wanamaisha duni au vpCreativty ipi?wafanyakazi wa ITV ndio waliochoka kuliko Tv zote wakitanguliwa na TBC.
Huwezi kuwalinganisha wafanyakazi wa clouds na ITV kwa viwango na jambo lolote.Tafuta namna ya kupandisha Tv yako
Wanasubiri mshahara goli hadi goli.wenzao clouds,efm na hata eatv,matamasha kibao.ulishawahi kusikia ITV wameandaa tamsha?Wamechoka kivip wanamaisha duni au vp
Mohammed said anaijua lugha adhim ya kiswahili vizuri sana.Mimi kwa mara ya kwanza nimeliona kwa Mohamed Said wa hapa JF
Unaweza ukaandaa tamasha na wewe ukapata hela ya kulala na kula tu ya kuweka akiba isiwepoWanasubiri mshahara goli hadi goli.wenzao clouds,efm na hata eatv,matamasha kibao.ulishawahi kusikia ITV wameandaa tamsha?
Toka enzi ya mikidadi mahamudu walimleta Binnie Man,akabuma mpaka leo hawataki kusikia hiyo kitu
UmeniuzaMimi huwa nagombana sana na mke wangu sababu ya nywila za simu
Pongezi kwaoITV na Radio One ndio vituo vinavyoongoza kwa matumizi sahihi ya lugha ya kiswahili.
1. Utasikia garage wakiita "karakana"
2. Yanga/Simba inaongoza kwa alama 13 pasipo kusema point 13