Kwani kuna mashindano?ITV itabaki kuwa super brand tu.Hivi mnajua neno mubashara limehasisiwa na ITV?
Cha kushangaza clouds wamelidandia na vijana wanajua wao ndio waasisi.Sisemi ni neno jipya"No"Najua lipo kwenye kamusi.Ila walioliubua.Ni ITV tanzania.Sio Clouds group."Tuwe wabunifu"Sifa ziwarudie ITV na Sio Clouds.
ITV wameshalipwa mishahara yao ya January au unashabikia ushabiki mandondo tu?