Ukuaji wa lugha ya Kiswahili: Neno Mbashara

ITV itabaki kuwa super brand tu.Hivi mnajua neno mubashara limehasisiwa na ITV?
Cha kushangaza clouds wamelidandia na vijana wanajua wao ndio waasisi.Sisemi ni neno jipya"No"Najua lipo kwenye kamusi.Ila walioliubua.Ni ITV tanzania.Sio Clouds group."Tuwe wabunifu"Sifa ziwarudie ITV na Sio Clouds.
Kwani kuna mashindano?
ITV wameshalipwa mishahara yao ya January au unashabikia ushabiki mandondo tu?
 
Muasisi wa neno hilo mubashara katika matumizi hapa Tanzania ni Prof. Palamagamba J. A. M. Kabudi. Alilitamka alipokuwa mshereheshaji kwenye sherehe za uzinduzi wa ujenzi wa Maktaba ya kisasa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Mgeni rasmi alikuwa Rais Magufuli. ITV walilipata siku hiyo
 
Clouds always hudandia jambo na kuliboresha hata kipindi cha Friday Night Live toka EATV wamekicopy japo now kimechukua mkondo wa udaku, kipindi vya mziki wanacopy MTV hawana ubunifu kabisa
Wape shua mkuu
 
ITV itabaki kuwa super brand tu.Hivi mnajua neno mubashara limehasisiwa na ITV?
Cha kushangaza clouds wamelidandia na vijana wanajua wao ndio waasisi.Sisemi ni neno jipya"No"Najua lipo kwenye kamusi.Ila walioliubua.Ni ITV tanzania.Sio Clouds group."Tuwe wabunifu"Sifa ziwarudie ITV na Sio Clouds.
Sasa ndo unaleta ujumbe gani
 
Back
Top Bottom