Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,349
- 6,476
Ziara ya Papa Francis, kiongozi mkuu wa kanisa katoliki duniani' kule Msumbiji na kwingineko kusini mwa jangwa la Sahara imepelekea mjadala juu ya ukuaji wa ukatoliki Africa wakati huohuo ukishuka katika baadhi ya nchi za Ulaya.
Sababu mojawapo ni 'ugumu wa maisha' kwani makanisa hasa kanisa katoliki linatoa misaada ya kidunia kama shule, hospitali na kadha wa kadha.
Kama hii ndio sababu kubwa basi inawezekana kuwa serikali ya CCM au ya chama kingine haitatutoa kwenye hali ngumu ya maisha kwa tulio wengi.
Source: https://www.bbc.com/news/world-africa-49564397
Sababu mojawapo ni 'ugumu wa maisha' kwani makanisa hasa kanisa katoliki linatoa misaada ya kidunia kama shule, hospitali na kadha wa kadha.
Kama hii ndio sababu kubwa basi inawezekana kuwa serikali ya CCM au ya chama kingine haitatutoa kwenye hali ngumu ya maisha kwa tulio wengi.
Source: https://www.bbc.com/news/world-africa-49564397