Ukraine sasa kwisha kazi na vita iko karibu kusimamishwa

Alwaz

JF-Expert Member
Apr 29, 2010
7,115
10,822
Ukitilia maanani ushauri wa Henry Kissinger na kusikia kauli za kukata tamaa kwa viongozi wa Ukraine utaona ya kuwa Ukraine imeishiwa nguvu na haina tena wa kuisaidia. Hii inaweza ikawa ni habari nzuri kwa nchi za Ulaya na Ulimwengu kwa jumla kutokana na shida ambazo zimetokana na kuzuka vita hivyo baina ya Ukraine na Urusi. Kauli hizo za Ukraine ni kama hizi hapa chini,kwa hisani ya Aljazeera.Nyongeza kwa lugha ya Kiswahili ni zangu mimi Ami.
  • Ukraine appeals for its allies to urgently supply it with multiple-launch rocket systems as fighting rages in the country’s eastern Donbas region.
  • (Vita vimepamba moto ndiyo kwanza anaomba silaha}
  • Ukrainian President Volodymyr Zelenskyy accuses Western countries of lacking “unity” over the war, citing differing positions on weapons supplies to Kyiv and disagreements within the NATO military alliance.
  • (Kwa kauli hiyo ni kama amewadharau sana NATO na karibu ya kusema kama hamuwezi kusaidia na mimi naondoka zangu)
 
Kwa sasa viongozi wa Ukraine wanailaumu NATO kuwa "HAIJAFANYA CHOCHOTE KUIZUIA URUSI ISIENDELEE KUSHAMBULIA"! Fungate la Zelensky na NATO laanza kuingia mchanga!!

Ukrainian FM slams NATO for ‘doing literally nothing’ to stop Russia​

Ukraine’s top diplomat Dmytro Kuleba has blasted NATO of “doing literally nothing” in the face of Russia’s invasion.

“NATO as an alliance, as an institution, is completely sidelined and doing literally nothing. I’m sorry to say it,” Kuleba told global business leaders attending the World Economic Forum in Davos, Switzerland.

Inashangaza sana kuona nchi wanachama wa NATO pamoja na kutoa silaha za mabilioni ya dola lakini bado Zelensky anasema hawajafanya lolote!! Naona sasa propaganda zimefikia kikomo na uhalisia unaanza kusemwa na wao wenyewe!! Ukweli ni kwamba Ukraine imechakazwa sana!! Tatizo la propaganda ni kwamba huwa hazisaidii kuubadilisha ukweli kwenye uwanja wa mapambano!! Sasa hivi anavyolialia Zelensky utafikiri hajawahi kusaidiwa silaha na fedha na nchi za magharibi!!
 
Zelensky hana hamu na NATO, adai hawana umoja!! Kwa maqmbo yanavyoendelea mwisho wa siku Zelensky atakuwa adui mkuu wa NATO!!

West lacking ‘unity’ over Ukraine: Zelenskyy​

Ukraine’s president has accused the West of being divided over the extent of its support for his country.


“Unity is about weapons. My question is, is there this unity in practice? I can’t see it. Our huge advantage over Russia would be when we are truly united,” Zelenskyy said during a panel discussion on Ukraine at the WEF gathering.

Kyiv’s Western allies have poured billions of dollars’ worth of arms into Ukraine amid Russia’s offensive but Germany – Europe’s largest economy – has struggled to send heavy weaponry Kyiv’s way during the conflict.

Zelenskyy, who was speaking via video link, also pointed to the lack of consensus over the possible accession of Finland and Sweden to NATO. Turkey, a NATO member, has expressed opposition to the Nordic countries becoming members of the military alliance.

“So, is there a strong joint West? No,” he said.
 
Zelensky inabidi akubali tu kuwa Marekani na EU walimwingiza mkenge akakubali kuchezea sharubu za Urusi kwa kuahidiwa ahadi nya uongo kuwa Ukraine itaingizwa NATO haraka kwa hiyo Urusi haitothubutu kumshambulia!! Lakini anachokiona sasa ni kuwa NATO haingizwi na wanaishia kumpa tu silaha za mkopo kwa nchi yake!! Ni vizuri akashtuka mapema!!
 
Ukitilia maanani ushauri wa Henry Kissinger na kusikia kauli za kukata tamaa kwa viongozi wa Ukraine utaona ya kuwa Ukraine imeishiwa nguvu na haina tena wa kuisaidia. Hii inaweza ikawa ni habari nzuri kwa nchi za Ulaya na Ulimwengu kwa jumla kutokana na shida ambazo zimetokana na kuzuka vita hivyo baina ya Ukraine na Urusi. Kauli hizo za Ukraine ni kama hizi hapa chini,kwa hisani ya Aljazeera.Nyongeza kwa lugha ya Kiswahili ni zangu mimi Ami.
  • Ukraine appeals for its allies to urgently supply it with multiple-launch rocket systems as fighting rages in the country’s eastern Donbas region.
  • (Vita vimepamba moto ndiyo kwanza anaomba silaha}
  • Ukrainian President Volodymyr Zelenskyy accuses Western countries of lacking “unity” over the war, citing differing positions on weapons supplies to Kyiv and disagreements within the NATO military alliance.
  • (Kwa kauli hiyo ni kama amewadharau sana NATO na karibu ya kusema kama hamuwezi kusaidia na mimi naondoka zangu)
Nafikiri zelensky ingawa Ni mzungu ......lkn amekosa baadhi ya misemo ya wahenga mfano ZA KUAMBIWA......CHANGANYA NA ZAKO
 
Zelensky inabidi akubali tu kuwa Marekani na EU walimwingiza mkenge akakubali kuchezea sharubu za Urusi kwa kuahidiwa ahadi nya uongo kuwa Ukraine itaingizwa NATO haraka kwa hiyo Urusi haitothubutu kumshambulia!! Lakini anachokiona sasa ni kuwa NATO haingizwi na wanaishia kumpa tu silaha za mkopo kwa nchi yake!! Ni vizuri akashtuka mapema!!
Turkey kasema hataki ujinga wa fini na swid kwani wanaadhili magaidi pia bwana Josefu Biden anasema anaenda kuilinda Taiwan, china kamwambia usiletee umama kaanza kuizunguka Taiwan na manoari wakifanya mazoezi kwamaana hiyo Ukraine katoka! na mapanki kaliamsha leo baada ya Joseph Biden kupanda ndege akavurumisha makombora ya masafa hii inàmaana kuna ushirika wa watu 3 China,North Korea na urusi nato kashindwa kuingia Ukraine kwakuwa walisema Nato ikiingia na sisi teunaingia kamili nato kaufyata na hawa jamaa wa3 wanawashwa kweli kutest MA ICBM maana hawajaona zinavyoleta madhara na wazungu walivyo waonga, wanaongea katika vikao kuwa tumfunze adabu wakitawanyika wanapigiana simu bwanaehe huyo dogo mwache apambane mwenyewe nchi zetu tunazipenda, hawa watu 3 vichwa vyao siyo,wanaweza kutuvurumushia mabom! Hebu tulieni.
 
Indeed, negotiation to end the war is happening at different levels
Ukitilia maanani ushauri wa Henry Kissinger na kusikia kauli za kukata tamaa kwa viongozi wa Ukraine utaona ya kuwa Ukraine imeishiwa nguvu na haina tena wa kuisaidia. Hii inaweza ikawa ni habari nzuri kwa nchi za Ulaya na Ulimwengu kwa jumla kutokana na shida ambazo zimetokana na kuzuka vita hivyo baina ya Ukraine na Urusi. Kauli hizo za Ukraine ni kama hizi hapa chini,kwa hisani ya Aljazeera.Nyongeza kwa lugha ya Kiswahili ni zangu mimi Ami.
  • Ukraine appeals for its allies to urgently supply it with multiple-launch rocket systems as fighting rages in the country’s eastern Donbas region.
  • (Vita vimepamba moto ndiyo kwanza anaomba silaha}
  • Ukrainian President Volodymyr Zelenskyy accuses Western countries of lacking “unity” over the war, citing differing positions on weapons supplies to Kyiv and disagreements within the NATO military alliance.
  • (Kwa kauli hiyo ni kama amewadharau sana NATO na karibu ya kusema kama hamuwezi kusaidia na mimi naondoka zangu)
BREAKING NEWS: --Commander in Chief of all Russian military General Gerasimov held talks this week with United States JCS Chairman General. Mark Milley: Talks were "purposeful" & "worthwhile" according to Milley. Something is happening...

 
Turkey kasema hataki ujinga wa fini na swid kwani wanaadhili magaidi pia bwana Josefu Biden anasema anaenda kuilinda Taiwan, china kamwambia usiletee umama kaanza kuizunguka Taiwan na manoari wakifanya mazoezi kwamaana hiyo Ukraine katoka! na mapanki kaliamsha leo baada ya Joseph Biden kupanda ndege akavurumisha makombora ya masafa hii inàmaana kuna ushirika wa watu 3 China,North Korea na urusi nato kashindwa kuingia Ukraine kwakuwa walisema Nato ikiingia na sisi teunaingia kamili nato kaufyata na hawa jamaa wa3 wanawashwa kweli kutest MA ICBM maana hawajaona zinavyoleta madhara na wazungu walivyo waonga, wanaongea katika vikao kuwa tumfunze adabu wakitawanyika wanapigiana simu bwanaehe huyo dogo mwache apambane mwenyewe nchi zetu tunazipenda, hawa watu 3 vichwa vyao siyo,wanaweza kutuvurumushia mabom! Hebu tulieni.
Kweli kabisa, umaarufu wa US unakwisha Sasa.
 
Zelensky hana hamu na NATO, adai hawana umoja!! Kwa maqmbo yanavyoendelea mwisho wa siku Zelensky atakuwa adui mkuu wa NATO!!

West lacking ‘unity’ over Ukraine: Zelenskyy​

Ukraine’s president has accused the West of being divided over the extent of its support for his country.


“Unity is about weapons. My question is, is there this unity in practice? I can’t see it. Our huge advantage over Russia would be when we are truly united,” Zelenskyy said during a panel discussion on Ukraine at the WEF gathering.

Kyiv’s Western allies have poured billions of dollars’ worth of arms into Ukraine amid Russia’s offensive but Germany – Europe’s largest economy – has struggled to send heavy weaponry Kyiv’s way during the conflict.

Zelenskyy, who was speaking via video link, also pointed to the lack of consensus over the possible accession of Finland and Sweden to NATO. Turkey, a NATO member, has expressed opposition to the Nordic countries becoming members of the military alliance.

“So, is there a strong joint West? No,” he said.
Tulimwambia huyu miss Zelensky hakutaka kusikia akajifanya mtoto Iddi
 
Turkey kasema hataki ujinga wa fini na swid kwani wanaadhili magaidi pia bwana Josefu Biden anasema anaenda kuilinda Taiwan, china kamwambia usiletee umama kaanza kuizunguka Taiwan na manoari wakifanya mazoezi kwamaana hiyo Ukraine katoka! na mapanki kaliamsha leo baada ya Joseph Biden kupanda ndege akavurumisha makombora ya masafa hii inàmaana kuna ushirika wa watu 3 China,North Korea na urusi nato kashindwa kuingia Ukraine kwakuwa walisema Nato ikiingia na sisi teunaingia kamili nato kaufyata na hawa jamaa wa3 wanawashwa kweli kutest MA ICBM maana hawajaona zinavyoleta madhara na wazungu walivyo waonga, wanaongea katika vikao kuwa tumfunze adabu wakitawanyika wanapigiana simu bwanaehe huyo dogo mwache apambane mwenyewe nchi zetu tunazipenda, hawa watu 3 vichwa vyao siyo,wanaweza kutuvurumushia mabom! Hebu tulieni.
Hahahahahah noma kweli yani🤣
 
Ukitilia maanani ushauri wa Henry Kissinger na kusikia kauli za kukata tamaa kwa viongozi wa Ukraine utaona ya kuwa Ukraine imeishiwa nguvu na haina tena wa kuisaidia. Hii inaweza ikawa ni habari nzuri kwa nchi za Ulaya na Ulimwengu kwa jumla kutokana na shida ambazo zimetokana na kuzuka vita hivyo baina ya Ukraine na Urusi. Kauli hizo za Ukraine ni kama hizi hapa chini,kwa hisani ya Aljazeera.Nyongeza kwa lugha ya Kiswahili ni zangu mimi Ami.
  • Ukraine appeals for its allies to urgently supply it with multiple-launch rocket systems as fighting rages in the country’s eastern Donbas region.
  • (Vita vimepamba moto ndiyo kwanza anaomba silaha}
  • Ukrainian President Volodymyr Zelenskyy accuses Western countries of lacking “unity” over the war, citing differing positions on weapons supplies to Kyiv and disagreements within the NATO military alliance.
  • (Kwa kauli hiyo ni kama amewadharau sana NATO na karibu ya kusema kama hamuwezi kusaidia na mimi naondoka zangu)
Maneno mengi kama mwali wa kizaramo

Sent from my Nokia 1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Zelensky inabidi akubali tu kuwa Marekani na EU walimwingiza mkenge akakubali kuchezea sharubu za Urusi kwa kuahidiwa ahadi nya uongo kuwa Ukraine itaingizwa NATO haraka kwa hiyo Urusi haitothubutu kumshambulia!! Lakini anachokiona sasa ni kuwa NATO haingizwi na wanaishia kumpa tu silaha za mkopo kwa nchi yake!! Ni vizuri akashtuka mapema!!
Zele ni bonge la falasi
 
Back
Top Bottom