mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,663
- 18,036
Kupitia waziri wake wa mambo ya nje, Ukraine imelalamika wazi na kusema hakuna aliyeweza kutusaidia kiasi cha kutosha katika vita dhidi ya urusi. Pamoja na kutambua misaada iliyopokea hadi sasa lakini anasema: "tuambiane ukweli, maadamu urusi bado imeikalia nchi yetu hapo hatujasaidiwa vya kutosha". Yaani zaidi ya dola bilioni 100 alizotoa marekani kwa maana ya dhana za kivita na pesa taslimu bado haijasaidia vya kutosha!! Swali: Je kama inaona haijasaidiwa vya kutosha je kuna nchi inaweza kuisaidia vya kutosha hata ikaridhika??
Dmitry Kuleba. © Getty Images / Lev Radin / Pacific Press / LightRocket
Ukrainian Foreign Minister Dmitry Kuleba has urged Kiev’s “partners” to continue funneling military aid into the country, claiming that “no one has done enough” to help the nation yet.
“Ukraine is grateful to partners for their military aid, but we should remain honest with one another: No one has done enough as long as Russian boots remain on Ukrainian ground.
No one doing ‘enough’ for Ukraine, foreign minister says
Arming Kiev’s troops against Russia will restore “peace and security” in Europe, the country’s top diplomat saysDmitry Kuleba. © Getty Images / Lev Radin / Pacific Press / LightRocket
Ukrainian Foreign Minister Dmitry Kuleba has urged Kiev’s “partners” to continue funneling military aid into the country, claiming that “no one has done enough” to help the nation yet.
“Ukraine is grateful to partners for their military aid, but we should remain honest with one another: No one has done enough as long as Russian boots remain on Ukrainian ground.