QUALITY
JF-Expert Member
- Sep 27, 2010
- 853
- 115
Wapendwa wana JF,
Ninayo masikitiko makubwa kuwataarifu kuwa jana nilifanya utafiti mdogo wa hali ya upatikanaji wa dawa katika hospitali zetu za umma. Hospitali za serikali Kyela, Rungwe, Kinondoni, Temeke na Ilala, zaidi ya 70% hazikuwa na dawa.
Nilienda hospitali iliyoko manispaa ya temeke physically iitwayo vijibweni ambapo hawakuwa na hata panado, hawana drip hata moja, dawa za malaria (mseto) hakuna, gloves hakuna, vifaa vya kujifungulia (kule matenity ward) hakuna!
Nikaondoka nikaenda kituo cha afya cha Kigamboni karibu na kituo cha polisi. hawana dawa yoyote. wanacoweza kufanya ni kukuandikia karatasi tu na kukutuma uende kutafuta dawa mahali popote. Kwa taarifa yak0 hata vyeti (printed cards) hakuna kwa hiyo wanakata makaratasi ya kawaida ndiyo wanayotumia kuandikia.
Nikatoka hadi hospitali ya Ilala, hakukuwa na dawa.
swali: Je hii si dalili kuwa serikali yetu imefirisika?
karibu kwa critical thinking
Quality
Ninayo masikitiko makubwa kuwataarifu kuwa jana nilifanya utafiti mdogo wa hali ya upatikanaji wa dawa katika hospitali zetu za umma. Hospitali za serikali Kyela, Rungwe, Kinondoni, Temeke na Ilala, zaidi ya 70% hazikuwa na dawa.
Nilienda hospitali iliyoko manispaa ya temeke physically iitwayo vijibweni ambapo hawakuwa na hata panado, hawana drip hata moja, dawa za malaria (mseto) hakuna, gloves hakuna, vifaa vya kujifungulia (kule matenity ward) hakuna!
Nikaondoka nikaenda kituo cha afya cha Kigamboni karibu na kituo cha polisi. hawana dawa yoyote. wanacoweza kufanya ni kukuandikia karatasi tu na kukutuma uende kutafuta dawa mahali popote. Kwa taarifa yak0 hata vyeti (printed cards) hakuna kwa hiyo wanakata makaratasi ya kawaida ndiyo wanayotumia kuandikia.
Nikatoka hadi hospitali ya Ilala, hakukuwa na dawa.
swali: Je hii si dalili kuwa serikali yetu imefirisika?
karibu kwa critical thinking
Quality