kopundo
Member
- Nov 8, 2011
- 8
- 0
Wana JF!
Hivi ni kweli kuwa kuwa ukosefu wa ajira hapa kwetu Bongo unasababishwa na mfumo wetu duni wa elimu ambao bado unazingatia na kusisitiza zaidi kazi za kuajiriwa na za ofisini licha ya ukweli kwamba kazi hizo sio rahisi kupata kama zamani?
Mimi nadhani kuna haja ya kubadilisha mitaala yetu ya elimu kuanzi msingi hadi vyuoni ili ufundishaji uweze kufanana na hali halisi ya soko la ajira au iweze kusisitiza zaidi kujiajiri badala ya kuajiriwa.
Je, mnadhani mtisiko wa uchumi unaokumba nchi za Ulaya na USA ndio chanzo cha ukosefu wa ajira hapa kwetu au ni mipango mibovu ya serikali kutokuwa na sera nzuri ya nishati ya uhakika na usimamizi wa sekta ya uzalishaji viwandani na mashambani?
Kwa upande wangu,naamini without reliable source of energy,no nation can flourish in having both industrial production and agricultural development that can stimulate economic development which in turn results into vast employment opportunities?
Do you guys think those in power do not adequately safeguard the employment opportunities we have in the country?Anyone is welcome for comments and suggestion!
Wako,
Desperate job seeker
Hivi ni kweli kuwa kuwa ukosefu wa ajira hapa kwetu Bongo unasababishwa na mfumo wetu duni wa elimu ambao bado unazingatia na kusisitiza zaidi kazi za kuajiriwa na za ofisini licha ya ukweli kwamba kazi hizo sio rahisi kupata kama zamani?
Mimi nadhani kuna haja ya kubadilisha mitaala yetu ya elimu kuanzi msingi hadi vyuoni ili ufundishaji uweze kufanana na hali halisi ya soko la ajira au iweze kusisitiza zaidi kujiajiri badala ya kuajiriwa.
Je, mnadhani mtisiko wa uchumi unaokumba nchi za Ulaya na USA ndio chanzo cha ukosefu wa ajira hapa kwetu au ni mipango mibovu ya serikali kutokuwa na sera nzuri ya nishati ya uhakika na usimamizi wa sekta ya uzalishaji viwandani na mashambani?
Kwa upande wangu,naamini without reliable source of energy,no nation can flourish in having both industrial production and agricultural development that can stimulate economic development which in turn results into vast employment opportunities?
Do you guys think those in power do not adequately safeguard the employment opportunities we have in the country?Anyone is welcome for comments and suggestion!
Wako,
Desperate job seeker