Ukonga: Wananchi waonesha kukosa imani na Waitara

Hata wana ccm wengi wameonyesha kuwa kwenda kupiga kura kwa MTU wao ni kama kupoteza muda tuu kwani uwezekano Wa kushinda ulishapotea labda chama chao kitumie mbinu mbadala
Mkuu nipo jimbo la ukonga. Waitara atashinda tena kihalali na kwa kura nyingi. Vijana asilimia kubwa hasa waupinzani wamegoma kupiga kura. Hawana imani kabisa!
 
Mkuu nipo jimbo la ukonga. Waitara atashinda tena kihalali na kwa kura nyingi. Vijana asilimia kubwa hasa waupinzani wamegoma kupiga kura. Hawana imani kabisa!
Mkuu hao vijana watapiga kura hasa baada ya wahisani Wa nje kuonyesha kutoridhishwa na chaguzi zetu.
Watu wanataka USA wawa prove ccm kuwa ni wezi na waporaji kama M7 Kule Uganda.
Chadema sio wajinga kushiriki uchaguzi huku wakijua Wakurugenzi ni walewale waliopewa tahadhari kuwa wakitangaza asiye ccm watakiona, mnadhani wataendelea mpaka lini?
 
Hata wana ccm wengi wameonyesha kuwa kwenda kupiga kura kwa MTU wao ni kama kupoteza muda tuu kwani uwezekano Wa kushinda ulishapotea labda chama chao kitumie mbinu mbadala

Screenshot_2018-09-13-06-00-25.jpg

Screenshot_2018-09-13-06-00-38.jpg

Waitara anarudishwa Bungeni kwa namna yoyote ile, nguvu ya umma tu ndio itakayosababisha mshindi halali kupatikana
 
Suala zima la mtu kujiuzulu nafasi yake (ubunge/udiwani) na kujiunga na chama kingine eti akimuunga mkono fulani ni maajabu ya dunia. Halafu eti unaandaliwa uchaguzi mwingine kwa gharama kubwa, halafu mtu yule yule aliyejiuzulu anarudi kwa watu wale wale kuwaomba kura kwa ajili ya nafasi ile ile! Halafu eti kuna watu wanampa kura! Watanzania sijui nani katuroga? Hizi ni tabia za kimaskini. Haya 'maajabu' huwezi kuyaona kwenye nchi za watu wanaojitambua.
Mkuu hayo maajabu hata mimi nashindwa kuwaelewa kabisa wanaowapigia kampeni watu kama hao yani ni kujidhalilisha kwa hali ya juu.
 
Habari toka field zinasema makao makuu ccm wamewapiga marufuku wapiga kampeni kutaja jina LA Lissu kwani wamegundua ukitaja wananchi wanaingiwa na hasira. Hata kibajaji mropokaji alipewa onyo hilo kwa msisitizo
 
SIASA ZETU BADO ZINA SAFARI NDEFU SANA HAKI YA MUNGU..........................................................................
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom