Ukondefu unaninyima amani nifanyeje ili nipate walau vinyama kidogo

Kula vyakula vya mafutamafuta,wanga mwingi halaf lala mchana kila siku
 
mwenzio kakuambia anataka anenepe kwa gharama ndogo, we unamshauri nyama ya kidali , wine na beer, you can't be serious
Kuna research Cadbury foundation waliifanya kuhusu umasikini ni nini?

1. Kuna waliosema umasikini ni kukosa basic needs. Pakulala, chakula na mavazi

2. Kuna waliosema kukosa ada ya shule, huduma za afya na barabara nzuri ( inamaana hawa wana pa kulala , chakula na mavazi)

3, kuna walosema kutokumudu gharama za utalii kwa mwaka.

4. Kuna waliosena kukosa salmon fish na champagne kwenye breakfast.
 
Ukila matunda inamaana unabalance diet huwezi kunenepa bali utakonda zaidi.
Kunenepa ni kuharibu mfumo
Cha kufanya kula kila kinachonenepesha
Asubuhi kula kiporo cha wali.. mchana ugali mkubwa mboga 7 shushia na soda.. usiku chips/wali/ Nyama na juice ya kutengeneza
Ukipita njiani usisahau kula vitu vidogo vidogo/ michemsho nk
Yani kula iwe first priority
Kikubwa na mno usiwe na mawazo
Hahaha....nyie vibonge ndiyo mnakula hivyo kama nguruwe!!!
 
Naombeni nitoke nje ya mada kidogo. Nini kinakufanya uwe na uzito mkubwa. Mimi Ni mwembamba na Sina kitambi ila Ni mrefu almost 7ft. Nimepima uzito juzi Nina kilo 80. Mara ya mwisho nilikuwa na 76kg. Ni mzani mbovu au Nini??!
 
Naombeni nitoke nje ya mada kidogo. Nini kinakufanya uwe na uzito mkubwa. Mimi Ni mwembamba na Sina kitambi ila Ni mrefu almost 7ft. Nimepima uzito juzi Nina kilo 80. Mara ya mwisho nilikuwa na 76kg. Ni mzani mbovu au Nini??!
urefu wako na kilo sawa kabisa
 
Mkuu hapo kwenye profile picture kama ni wewe....

Nakushauri kufanya ngono mara kwa mara nako kunakondesha

Kaa mbali na wanawake kabisa
Kajibu post namba 156 ila hii ya 143 kapita kama hajasoma..

Hapa angetolea ufafanuz pia mana na hii hua inanyonya afya ya mtu ili kama ni hvyo basi abadilishe ratiba kama c kumpuzika kwa miez kadhaa!

Kuna jamaa nae alikonda sana yan sana (zaidi ya neno "sana") kisa kila siku anafanya ngono na ana-force 3 rounds daily, ikafika kipind count ikawa siyo kabsa. Akashauriwa apumzike miez 5-6 ili kuwepo na health-restoration, alijitahid kiasi na angalau akawa kama mtu kabsa!
 
Je huna dalili nyingine zaidi ya ukondefu..yaani kama mapigo ya moyo kwenda mbio, kuwa na wasiwasi,, kuwa na njaa kali, kutokwa jasho, kuwa nervous na nk??
 
Naombeni nitoke nje ya mada kidogo. Nini kinakufanya uwe na uzito mkubwa. Mimi Ni mwembamba na Sina kitambi ila Ni mrefu almost 7ft. Nimepima uzito juzi Nina kilo 80. Mara ya mwisho nilikuwa na 76kg. Ni mzani mbovu au Nini??!
Utakua umeongeza % ya excess fat mwilini.. ni bora kua na kitambi (subcutaneous fat) kuliko kuwa na fats kwenye abdominal cavity (visceral fat), kumbuka huko kwenye abdominal cavity ndio kuna moyo na organ zingine muhimu.
 
Kaka unene wa fasta fanya hivi Nenda gym fanya session huku ukitumia unga kama WHEY PROTEIN au MASS GAINER nakuhakikishia ndani ya wiki 3 utakuwa kipande. Japo mwili wako ni mrefu na asili ya watu warefu sio unene ni wembamba. So ukiendelea kula, chances za kunenepa ni ndogo vile vile.

Unless otherwise utakufuru uumbaji wa mwenyezi.
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom