Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uchumi hauruhusuNyama ni chakula chenye kuongeza uzito haraka, kila mlo wako kula nyama na ikiwezekana nunua nyama ya kidari.
Kula chakula na kilevi iwe wine au beer.
Baada ya siku 28 utupe mrejesho.
Acha gubu,penda kuish bila karaha,acha mawazo ya kifala fala,pata muda wa kupumzika,rizika unachopata, kula diet stahk,fanya mazoez ya kuongeza weight,HAKIKA mwili huo miez 2 mingi utambi huo unakuja
Mazoez gan ya kuongeza weight?Acha gubu,penda kuish bila karaha,acha mawazo ya kifala fala,pata muda wa kupumzika,rizika unachopata, kula diet stahk,fanya mazoez ya kuongeza weight,HAKIKA mwili huo miez 2 mingi utambi huo unakuja
Mkuu unaenda kushoto,kulia au wakata kona?
Umenikumbusha maneno ya Bibi nilivyokwenda kumtembelea, aliniambia tokea nimalize chuo sijabadilika na akanitaka nifungue moyo.Fungua moyo kaka
We Ni me au ke??? Nakupa homework waulize wana michezo Tena ukiwapata wa boxing watakwambia vizuriMazoez gan ya kuongeza weight?
Swali lako liko ndani ya mada au nje ?We ni mwanaume?
Kula grand malt 1asubuhi 1mchana 1jioni na msosi usile wa mawazo. Kama unakula magengeni acha na ujipikie mwenyewe mlo wa heavy weightKulewa naogopa addiction tena
Bora hata wew mikono unayo yangu ni midogo mnoo membamba ila nafaa kiuno 32 to 34Sipend hali ya umbaumbauView attachment 1172845
HABARI WAKUU.
Wakubwa kwa Wadogo salamu kwenu
Mimi ni kijana mwenye 28 years..!
Tatzo langu ni uwembamba uliopitiliza natamani walau na mimi niwe na vinyama kidogo. Nakumbuka mwaka jana niliwahi kupima uzito wangu nikawa 48kg uzito wa Jogoo la kienyeji iliniuma sana nilikaa wiki zima nikitafakari hatma ya afya yangu hadi hapo nilipoenda kupima magonjwa yote nikakutwa nipo smart sina tatzo la kiafya!
Nikaamua kujianzishia Dozi ya kula matunda kila baada ya chakula na mara kwa mara hali ambayo ilikuwa inanigalimu kila siku kutumia galama zaidi ya elfu kumi 10,000 kwa ajili ya Kuimalisha Afya yangu pia nilipata ushauri wa kula kitimoto na Bia moja kila siku! Hali ambayo sikuona shida nilikuwa nafanya hivyo hadi kujikuta nakuwa mlevi wa bia, Maana nilikuwa nakunywa bia moja kwa ajili ya Afya ila hatmae nikajikuta nakunywa bia zaidi ya 5 kwa siku maana tabia ya Bia nilikuwa nikinywa moja natamani kuongeza nyingine na nyingine hadi nikajikuta nakuwa mlevi pasipo kukusudia hali hii ilikuwa inanipelekea kukosana na watu wanaonizunguka kila nikinywa pombe nawatambia majirani zangu kuwa hawana hela na kusababisha fujo hadi nyumbani kwangu! Ikabidi nijishauri mwenyewe nakuacha dozi hii kwa sasa situmii tena.
Ila katika kumbukumbu zangu kipindi nafanya haya walau nilianza kuona mabadiliko kidogo ya afya mwilini mwangu nikaanza kutokeza kakitambi kwa mbali na kunenepa shavu na nilipopimwa uzito nilikuwa nimefikisha 60Kg hadi watu walianza kuniambia nimenenepa pasipokujua hiyo hali inaniingiza galama kiasi gani!
Nilikuwa nimeanza kunyanyua kakibanda kangu ila nilisimamisha shughuli ya ujenzi, pesa yote niliokuwa napata katika mihangaiko yangu ikawa inatumika kwa ajili ya kufanyia kile ninachokitamani, baada ya kuacha tena dozi hii kwa sasa nimepururuka vibaya mno jana nimepima uzito nakuta 52kg tu na kila kukicha nazidi kukonda tena!
Nimeamua kuja hapa ili wataalamu mnipe namna ambayo itakuwa si ghali sana ambayo nitatumia ili ninenepe huu ukondefu unaninyima michongo mingi sana!
Atakaeweza kunisaidia nipo tayari kumlipa!
Daaah. Umenikumbusha kuna kipindi wife alikwenda kwao mara moja, nilikuwa najipikia ugari kubwa nakula hadi nakaribia kutapika ndo naacha, ndani ya wiki tu nikaanza kunenepa hadi sura bahati mbaya sikuendelea sana nikaachaWanachokosea watu ni kudhan kula nyama sjui nin ndo utanenepa kunenepa kunatokana na
1.kula chakula kiingi yan haijalish nyama,dagaa ,maharage,yaan kama ni sahan bas ipitilize
2.kupumzika,yaan usifanye shuruba,mda mwing uwe umepumzika kitu ambacho si rahis
3.stress free
Hapo lazma unenepe mjomba
Niwapi huko unakoishi..?? Huko mahali ambapo mtu mwenye kilo 48 analeta fujoHABARI WAKUU.
Wakubwa kwa Wadogo salamu kwenu
Mimi ni kijana mwenye 28 years..!
Tatzo langu ni uwembamba uliopitiliza natamani walau na mimi niwe na vinyama kidogo. Nakumbuka mwaka jana niliwahi kupima uzito wangu nikawa 48kg uzito wa Jogoo la kienyeji iliniuma sana nilikaa wiki zima nikitafakari hatma ya afya yangu hadi hapo nilipoenda kupima magonjwa yote nikakutwa nipo smart sina tatzo la kiafya!
Nikaamua kujianzishia Dozi ya kula matunda kila baada ya chakula na mara kwa mara hali ambayo ilikuwa inanigalimu kila siku kutumia galama zaidi ya elfu kumi 10,000 kwa ajili ya Kuimalisha Afya yangu pia nilipata ushauri wa kula kitimoto na Bia moja kila siku! Hali ambayo sikuona shida nilikuwa nafanya hivyo hadi kujikuta nakuwa mlevi wa bia, Maana nilikuwa nakunywa bia moja kwa ajili ya Afya ila hatmae nikajikuta nakunywa bia zaidi ya 5 kwa siku maana tabia ya Bia nilikuwa nikinywa moja natamani kuongeza nyingine na nyingine hadi nikajikuta nakuwa mlevi pasipo kukusudia hali hii ilikuwa inanipelekea kukosana na watu wanaonizunguka kila nikinywa pombe nawatambia majirani zangu kuwa hawana hela na kusababisha fujo hadi nyumbani kwangu! Ikabidi nijishauri mwenyewe nakuacha dozi hii kwa sasa situmii tena.
Ila katika kumbukumbu zangu kipindi nafanya haya walau nilianza kuona mabadiliko kidogo ya afya mwilini mwangu nikaanza kutokeza kakitambi kwa mbali na kunenepa shavu na nilipopimwa uzito nilikuwa nimefikisha 60Kg hadi watu walianza kuniambia nimenenepa pasipokujua hiyo hali inaniingiza galama kiasi gani!
Nilikuwa nimeanza kunyanyua kakibanda kangu ila nilisimamisha shughuli ya ujenzi, pesa yote niliokuwa napata katika mihangaiko yangu ikawa inatumika kwa ajili ya kufanyia kile ninachokitamani, baada ya kuacha tena dozi hii kwa sasa nimepururuka vibaya mno jana nimepima uzito nakuta 52kg tu na kila kukicha nazidi kukonda tena!
Nimeamua kuja hapa ili wataalamu mnipe namna ambayo itakuwa si ghali sana ambayo nitatumia ili ninenepe huu ukondefu unaninyima michongo mingi sana!
Atakaeweza kunisaidia nipo tayari kumlipa!
Sawa wazo zuriUmesema wewe una mwili mwembamba ila me naweza kuwa nimekuzidi kwa kuwa na mwili zaidi yako wewe, nakumbuka darasani nilipokuwa sekondari nilikuwa naogopwa hadi na walimu muda mwingine kunichapa tena ukizingatia mimibni mpole sana.
Ninachoshukuru sikuwahi kukufuru hata siku moja kwa kujuta hivi nilivyo, tena huwa ninapofanya mazoezi ya kukimbia asubuhi mfano naongozana na mwenye mwili mkubwa anatamani angekuwa na mwili kama wangu tena wengine wananiambia wangekuwa na mwili kama wangu wangelala tu nyumbani.
Nimeona hapo ulianza ujenzi wa ulivyo ita kibanda chako nashauri endeleza ujenzi huwenda mafanikio yakaja kuketa kwako mwili sawa na unavyotaka