Ukomo wa umri ni moja ya ubaguzi katika suala la ajira unaopaswa kukemewa

TheDreamer Thebeliever

JF-Expert Member
Feb 26, 2018
2,490
3,534
Habari wadau!

Hili swala la ukomo wa umri katika suala la ajira binafsi naona litakuja kuwagawa watu wengi hususa kizazi hiki cha sasa.

Ajira zinatolewa unaambiwa applicant must not exceed 30yrs au 35yrs.

Nina uhakika wengi tunamaliza vyuo tukiwa na 23-25yrs jumlisha miaka ya kusugua gaga kitaani unajikuta kila ajira unayoomba hau fit sababu ya vigezo vya umri kuwa mkubwa yaaani kama wachezaji wetu wa kibongo au kiafrika afrika vile jitu kubwa unaambiwa lipo under 20 kumbe lime foji vyeti vya kuzaliwa.

Kiufupi nanusa harufu wimbi la wahitimu wengi na watu kuanza kufoji vyeti vya kuzaliwa na kubadili umri wao siku za usoni baada ya wengi kujikuta hawafit kwenye soko la ajira kwa vigezo vya umri.

Tukifikia huku tunasema degree ime expire vyeti vinakuwa havina tena kazi hapa ni kuviweka tu kwenye frem na kubandika ukutani watoto wako waje kuona kwamba baba alikuwa mtabe shuleni huku ukiendelea kuchapika maisha.

Waziri na naibu wetu wa ajira ni kijana kama sisi kuna mambo inabidi hatusaidie kutusemea kwa waajiri mbali na jitihada ambazo ameonyesha hivi karibuni anatakiwa kwenda extra miles kukemea ubaguzi wa aina mbali mbali maeneo ya kazi maana wanaoumia wengi ni vijana

Au nasema uongo ndugu zangu??
 
inategemea unatafuta kazi gani, kuna kazi kweli hazihitaji Age limit

lakini kuna kazi lazima wazingatie hilo kutokana na majukumu yake

mfano mimi siwezi kukuajiri mtu ulie oa/olewa na umezidi 30yrs,why?

kazi zangu zinahtaji vijana,mchaka mchaka sio wale wa mtu yupo kazini

anawaza familia sijui wamekula,sijui mtoto kalala,nk kwahiyo mkuu Kubaliana

na matokeo kila mahali kuna sheria zake,hamna boss anataka aajiri mtu halafu asione faida ya huyo muajiriwa

ndio mana hata siku 1 huwezi ona mwanamke mjamzito kitumbo kilee anatafuta kazi "anapata",kwanini hapati unahisi?

watu wanaangalia vitu vingi wanapoajiri mtu,si tu mtu wakukaa ktk ile nafasi inayotafutiwa mtu,kuna zaidi ya hapo Chief.
 
Ndio maana pia zipo kazi zinazohitaji watu wenye umri above 40yrs and above

so angalia wapi una fit chief ukajichomeke,ukishachagua fungu la kuajiriwa huna tofauti na mtu aliechagua

kwenda kunyoa kipara kwa kinyozi mtumia wembe tu,yani unatakiwa utulie haswa maana ukitingishika tu "umekatwa".
 
inategemea unatafuta kazi gani, kuna kazi kweli hazihitaji Age limit

lakini kuna kazi lazima wazingatie hilo kutokana na majukumu yake

mfano mimi siwezi kukuajiri mtu ulie oa/olewa na umezidi 30yrs,why?

kazi zangu zinahtaji vijana,mchaka mchaka sio wale wa mtu yupo kazini

anawaza familia sijui wamekula,sijui mtoto kalala,nk kwahiyo mkuu Kubaliana

na matokeo kila mahali kuna sheria zake,hamna boss anataka aajiri mtu halafu asione faida ya huyo muajiriwa

ndio mana hata siku 1 huwezi ona mwanamke mjamzito kitumbo kilee anatafuta kazi "anapata",kwanini hapati unahisi?

watu wanaangalia vitu vingi wanapoajiri mtu,si tu mtu wakukaa ktk ile nafasi inayotafutiwa mtu,kuna zaidi ya hapo Chief.
Huo ni ubaguzi elewa hilo,unasema pia hauwezi ajiri mwanamke sababu atapata mimba kitumbo atashindwa kudeliver huo ni ubaguzi pia .

Professional HR hawezi ongea kauli kama yako maHR wanafanya ubaguzi wa aina nyingi sana lakini hawawezi ongea utumbo kiasi hiki
inategemea unatafuta kazi gani, kuna kazi kweli hazihitaji Age limit

lakini kuna kazi lazima wazingatie hilo kutokana na majukumu yake

mfano mimi siwezi kukuajiri mtu ulie oa/olewa na umezidi 30yrs,why?

kazi zangu zinahtaji vijana,mchaka mchaka sio wale wa mtu yupo kazini

anawaza familia sijui wamekula,sijui mtoto kalala,nk kwahiyo mkuu Kubaliana

na matokeo kila mahali kuna sheria zake,hamna boss anataka aajiri mtu halafu asione faida ya huyo muajiriwa

ndio mana hata siku 1 huwezi ona mwanamke mjamzito kitumbo kilee anatafuta kazi "anapata",kwanini hapati unahisi?

watu wanaangalia vitu vingi wanapoajiri mtu,si tu mtu wakukaa ktk ile nafasi inayotafutiwa mtu,kuna zaidi ya hapo Chief.
Hauwezi kuwa HR ww ina maana mfanyakazi wako ulimuajiri akiwa hajaoa au akifikisha 35 au akioa unamfukuza ?
 
Huo ni ubaguzi elewa hilo,unasema pia hauwezi ajiri mwanamke sababu atapata mimba kitumbo atashindwa kudeliver huo ni ubaguzi pia .

Professional HR hawezi ongea kauli kama yako maHR wanafanya ubaguzi wa aina nyingi sana lakini hawawezi ongea utumbo kiasi hiki

Hauwezi kuwa HR ww ina maana mfanyakazi wako ulimuajiri akiwa hajaoa au akifikisha 35 au akioa unamfukuza ?
sasa unalia nini?
 
Kuanzia 35 kuendelea huko inabidi utafute kazi za consultant.
Mbona hoja yako haina mashiko sitaki kuamini kwamba mpo wengi wavivu wa kupambanua mambo.

Kuna mwenye 35yrs anaambiwa ha deserve for job wakati kuna mwenye miaka 60 anafanya kazi hivyo hiyo.

Hapo point ya kuweka age limit ipo wapi?
 
Back
Top Bottom