Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,102
- 53,353
Polisi dubai wanatumia McLaren, Bentayga, Lambos, Buggati kama patrol cars.'Nikamwambia Toyota Crown haingii hata entry model ya C Class ya Benz.'
Hahah kukariri ni kubaya sana aisee,watu kama nyie unakutaga mtu anatamba mjini mimi ninamiliki benz/bmw ukimuuliza ipi babu?anakwambia Benz w203/ Bimmer e46 nachekaga sana.
Pengine haujui Lexus Ls 400 ndio ilikua benchmark ya Mercedes S-Class,Bmw 7-series,Jaguar Xj6.
Lastly,nasikitika kukujulisha Benz E-class hua inatumika kama Taxi huko Asia,Europe na hata Morroco,kwny nchi choka mbovu ndipo gari kama hio inaonekana ni ya maana.
Hakuna cha ajabu mbona?
Kuna hoteli hapo South Africa wanakuja kukuchukua Airport na RR Vogue.