Sijakuelewa, pick up ya nani na model ipi?Pick up yao single cabin kuna mtu alinununua 145m tsh mpyaa ..simaanishi hilux namaanisha pick up as body style cruizer
Sijakuelewa, pick up ya nani na model ipi?Pick up yao single cabin kuna mtu alinununua 145m tsh mpyaa ..simaanishi hilux namaanisha pick up as body style cruizer
Mpango mzima LC 70 GXL Iwe single cab, Double cab, Troops carrier au wagon. Hizo LC 200 Toyota wao wenyewe wanamaliza production wanatoa LC 300. LC 70 production ipo to stayGari haina ata mvuto aisee. Ndio nasema bei yake, bora ununue RR utafurahi. Yaani haya LC yanashindanishwa na Vogue ila naona ata Velar tu inaifanya LC ionekane mkusanyiko wa vyuma.
Idadi ya gari duniani sio kigezo cha ku justify price between 2 models kabisa.RR
Range rover
Kwan gari zenye hilo neno zipo ngapi hadi ufikie hatua ya kufananisha na toyota zote🤔
Hio Ambulance haibadiliki sura mda mrefu sana saiv, mnapigwa bei kisa model year tu na sio kingine. Hizo LC 200 na wenzake wanastop production mana wameshatambua kuwa haiewezi kushinda na RR mana TYT wapo nyuma. RR wanavutia kuanzia designs mpaka features.Mpango mzima LC 70 GXL Iwe single cab, Double cab au wagon. Hizo LC 200 Toyota wao wenyewe wanamaliza production wanatoa LC 300. LC 70 production ipo to stay
Idadi ya gari duniani sio kigezo cha ku justify price between 2 models kabisa.
Kuna range rover evoque, Velar, Sport, Vogue, Discovery na Defender.
RR ime move to be a luxury brand zaidi... Hio defender mimi naona kama wamejiforce tu labda kwa sababu kuna fans wa defenders ndio mana kama walivo wa LC70.ahsante mkuu, nimeigoogle naona imekaa kimjini mjini sana sasa hivi sijui kwanini wameamua kuachana na soko la mbuga za wanyama na majeshi
Bado inafanya vizuri sokoni kuliko LR na LC200 pamoja na kuwa sura haibadilishwi na ipo sana sokoni, Hata kwa bei haipishani sana LR top model 2020Hio Ambulance haibadiliki sura mda mrefu sana saiv, mnapigwa bei kisa model year tu na sio kingine. Hizo LC 200 na wenzake wanastop production mana wameshatambua kuwa haiewezi kushinda na RR mana TYT wapo nyuma. RR wanavutia kuanzia designs mpaka features.
Land rover ni kampuni, izo nyengine ni models. Kama ilivo Toyota ni kampuni hizo nyengine ni models.Sio range rover discovery au defender ...zile ni land rover kawaida
Inafanya vizuri kwenye mauzo kweli kweli, lakini ukweli haubadiliki kuwa watu wanauziwa model year na sio kwamba gari imechange.Bado inafanya vizuri sokoni kuliko LR na LC200 pamoja na kuwa sura haibadilishwi na ipo sana sokoni, Hata kwa bei haipishani sana LR top model 2020
Sasa si wanafuata uhakika sio kubahatishaInafanya vizuri kwenye mauzo kweli kweli, lakini ukweli haubadiliki kuwa watu wanauziwa model year na sio kwamba gari imechange.
Sasa uhakika huo ndio bei iwe inapandishwa sana kwa kitu kile kile? Yaani Toyota auze IST kwa bei sawa na BMW 1 series? Tusitaniane.... IST new model ni bei gani siku izi?Sasa si wanafuata uhakika sio kubahatisha
Siku zikianza kuonekana huku hizo LR kidogo zitanishawishiSasa uhakika huo ndio bei iwe inapandishwa sana kwa kitu kile kile? Yaani Toyota auze IST kwa bei sawa na BMW 1 series? Tusitaniane.... IST new model ni bei gani siku izi?
Mkuu LC 200 na RR ni washindani, sasa huyo LC 200 unayosema hazivutii ndio zinafanya vizuri sokoni na zimeuzwa idadi kubwa kumzidi RR.Hio Ambulance haibadiliki sura mda mrefu sana saiv, mnapigwa bei kisa model year tu na sio kingine. Hizo LC 200 na wenzake wanastop production mana wameshatambua kuwa haiewezi kushinda na RR mana TYT wapo nyuma. RR wanavutia kuanzia designs mpaka features.
Mkuu link hii hapa ambayo ina malalamiko ya new Land Rover Defender.'Hebu itizame new model land rover defender'
Aisee hio gari ni takataka kabisa from design(shape mbaya kinyamaaa) mpk reliability.
Kuna a/c maarufu huko youtube inaitwa Fast lane car jamaa alinunua hio gari akaenda nayo off-road ya kawaida maana anasema huko alikoenda gari yoyote ile yenye 4wd inaenda,wkt anarudi kwake gari ikamuwashia check engine light kumbuka mpk hapo gari ina Km 270 tu na ina siku mbili tu tangu imenunuliwa,ikabidi ipelekwe kwa dealers kutengenezwa imerudi tena barabarani jamaa anagundua camera za nyuma hazifanyi kazi na kwa US sheria zao kwa sasa ni camera ya nyuma ni lazima ikabidi irudi kwa dealer tena,na anasema mpk muda ule engineers wa LR hawajaweza kutatua tatizo hilo,hawajui shida iko wapi.
Mkuu hizi LC200 V8 ambazo wanatumia viongozi zina matoleo mengi, na kila toleo lina features tofauti na mwenzake. Kuna matoleo ni full luxury na gari za kazi kazi.Sawa ndugu yangu, lakini unapouza LC milioni 200 ikiwa na tech ya zamani na mwenzako anauza RR kwa milioni 200 ikiwa na tech ya sasa, wewe wa LC utakuwa unatuchezea sasa. Kwanini usiuze tu kwa bei ya zamani kama zilizopita labda uongeze kidogo tu. Nimesema kuna kipindi BBC walikuwa na pick up ambayo imewekwa gorofani sijui jengo ghorofa ngapi lile labda 10, likawa demolished, gari imetolewa inakwenda. RR ingekuwa ishavurugika kitambo. Tuzungumzie price kwa features ili ku justify pricing ya LC na hasa hasa haya wanayotamba nayo viongozi.
Hata hiyo RR Vogue haijafanya maajabu sokoni kama LC 200 kwa ubora na stability field bado LC 200 imefanya vizuri kuliko RR Vogue.Mkuu hizi LC200 V8 ambazo wanatumia viongozi zina matoleo mengi, na kila toleo lina features tofauti na mwenzake. Kuna matoleo ni full luxury na gari za kazi kazi.
Si Sawa kusema LC100 na LC 200 ni Sawa na technology haijabadilika, vitu vipo vya kisasa kulingana na toleo la LC200 labda useme technology gani Toyota haweki ukilinganisha na Range Rover.
Gari bonge nyanya.Gari haina ata mvuto aisee. Ndio nasema bei yake, bora ununue RR utafurahi. Yaani haya LC yanashindanishwa na Vogue ila naona ata Velar tu inaifanya LC ionekane mkusanyiko wa vyuma.
Toyota wanatengeneza magari mabaya sana tena sana.Hio Ambulance haibadiliki sura mda mrefu sana saiv, mnapigwa bei kisa model year tu na sio kingine. Hizo LC 200 na wenzake wanastop production mana wameshatambua kuwa haiewezi kushinda na RR mana TYT wapo nyuma. RR wanavutia kuanzia designs mpaka features.