Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,086
- 4,879
Wadau nawasalimu.
Ni wakati sahihi kwa sasa sheria ya kustaafu kwa watumishi wa umma iangaliwe.Sheria hii ni ya zamani sana na ilikuwa na sababu ya kuwepo kwani wasomi walikuwa wachache sana.
Hivi sasa nchi yetu ina wasomi wengi sana na uwingi wa wasomi kumesababisha ukosefu mkubwa wa ajira ikiwa ni pamoja na watumishi kukaa ktk utumishi mpaka afikishe miaka 60 ndio astaafu muda ambao ni mrefu sana.
Ushauri wangu ni kuwa serikali irekebisha umri wa kustaafu kutoka miaka 55 kwa hiari iwe miaka 45 na miaka 60 kwa lazima uwe miaka 50 ili kuwapisha wasomi wengine walitumikie taifa na hao wastaafu wakajipumzishe wakiwa na nguvu kuliko sana wanapumzika wakiwa wamechoka sana. Isitoshe itasaidia kupunguza ukosefu wa ajira kwa wasomi wetu.
Ni wakati sahihi kwa sasa sheria ya kustaafu kwa watumishi wa umma iangaliwe.Sheria hii ni ya zamani sana na ilikuwa na sababu ya kuwepo kwani wasomi walikuwa wachache sana.
Hivi sasa nchi yetu ina wasomi wengi sana na uwingi wa wasomi kumesababisha ukosefu mkubwa wa ajira ikiwa ni pamoja na watumishi kukaa ktk utumishi mpaka afikishe miaka 60 ndio astaafu muda ambao ni mrefu sana.
Ushauri wangu ni kuwa serikali irekebisha umri wa kustaafu kutoka miaka 55 kwa hiari iwe miaka 45 na miaka 60 kwa lazima uwe miaka 50 ili kuwapisha wasomi wengine walitumikie taifa na hao wastaafu wakajipumzishe wakiwa na nguvu kuliko sana wanapumzika wakiwa wamechoka sana. Isitoshe itasaidia kupunguza ukosefu wa ajira kwa wasomi wetu.