Kisima
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 4,094
- 4,394
Ndg Wapambanaji, Wadau, Wapinga uzarmu na ukandamizaji wa kizazi cha leo na kesho, Wazalendo wa kweli, Wapinga rushwa na dhurma, Tulio kosa Ajira kwa sera mbovu za Taifa hili zuri, Tulio kosa Elimu kutokana na sera mbovu za ccm.
Woote kwa pamoja tuseme yatosha sasa!
Tunahtaji kurudisha heshima, utajiri wa maliasiri, Raslimali za Nchi yetu zilizopokwa ama kwa uzembe au udhaifu na Rushwa iliyokithiri ndani ya tawala za ngazi zote za Nchi yetu.
Kila kitu kipo sawa na Wazalendo wachache sana bado tunaendelea kuconnect dots kwa Wizara na Taasisi nyeti zote za Serikali mpaka Ikulu!
Amini amini nawaambia bila kubadili uongozi wa serikali ya chama kikuu (CCM) the year2015 tutaenda vitani na tutatetea sura ya Nchi siyo chama flani cha siasa.
Twendeni vitani wadau, tusilale au kutshwa kwa mabomu na risasi!
Nawasilisha....
Woote kwa pamoja tuseme yatosha sasa!
Tunahtaji kurudisha heshima, utajiri wa maliasiri, Raslimali za Nchi yetu zilizopokwa ama kwa uzembe au udhaifu na Rushwa iliyokithiri ndani ya tawala za ngazi zote za Nchi yetu.
Kila kitu kipo sawa na Wazalendo wachache sana bado tunaendelea kuconnect dots kwa Wizara na Taasisi nyeti zote za Serikali mpaka Ikulu!
Amini amini nawaambia bila kubadili uongozi wa serikali ya chama kikuu (CCM) the year2015 tutaenda vitani na tutatetea sura ya Nchi siyo chama flani cha siasa.
Twendeni vitani wadau, tusilale au kutshwa kwa mabomu na risasi!
Nawasilisha....