CAMARADERIE
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 4,420
- 1,920
Hata DICOTA sikukuona kaka....umetingwa au?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rafikiye au mkewe? toka siku aidanganye JF kuwa Chenge amejivua gamba ndani ya kikao cha CC hajaonekana.Na yule rafikiye FMES naye kayeyuka kabisaa
Rafikiye au mkewe? toka siku aidanganye JF kuwa Chenge amejivua gamba ndani ya kikao cha CC hajaonekana.
mbona hati hata paw anatumia hizohizo!!! au ni nduguAma......hili jipya kwangu.....wakiandika wanafanana mpaka hati
mbona hati hata paw anatumia hizohizo!!! au ni ndugu
paw ni mama!! au una husianishasha na madai ya FEEDBACK kwamba FMEs ni mtu mke sasa wewe ukaoanisha na PAW kwa hati!!Aloo..usimtaje huyo mama....kwa kunusa ban balaa...ina wezekana eeh?
paw ni mama!! au una husianishasha na madai ya FEEDBACK kwamba FMEs ni mtu mke sasa wewe ukaoanisha na PAW kwa hati!!
Maisha ya Marekani yamemuwia magumu,,,labda hana hela ya kulipia bundle!
Hisa zake humu JF kauza au?
Maisha ya Marekani yamemuwia magumu,,,labda hana hela ya kulipia bundle!
Maisha ya Marekani yamemuwia magumu,,,labda hana hela ya kulipia bundle!