Uko wapi uteuzi makini unaodaiwa kufanywa na Dr Magufuli?

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,343
217,373
Wakuu natanguliza salamu .

Kabla ya yote I declare my own interest kwamba mimi ni raia wa Tanzania wa kuzaliwa ( sikununua uraia ) , hivyo bila shaka yoyote ninayo haki ya kufuatilia viongozi wa nchi hii wanaoteuliwa na Mh Rais.

Hivyo basi nimejitokeza kwenye jukwaa hili lililojaa mafundi wa kila aina kutaka kujua huu umakini unaotajwa kwenye uteuzi ni upi hasa ?

Wote mmeona Baraza la Mawaziri zaidi ya nusu wametoka awamu iliyopita , ile awamu inayolalamikiwa kuozesha nchi hii , Makatibu wakuu wengi ni walewale akiwemo sifuni Mchome aliyeshirikiana na Kawambwa na Mulugo kuleta Div 5.

Wakuu wa mikoa na ma DC's wengi ni wale walioshindwa kudeliver mahali pengine , wakiwemo walioangushwa kwenye ubunge.

Kwenye MA DED , DAS na hata wenyeviti wa Bodi mbalimbali sina la kuongeza nadhani kila mtu amejionea .

Ni kweli kwamba watu wameteuliwa na ni haki ya mamlaka kuteua wawatakao , lakini hii hoja kwamba uteuzi huu ni makini ukweli wake uko wapi ?

Great thinker tunaomba muweke ukweli hapa maana wateule wote mnawajua .
 
Wakuu natanguliza salamu .

Kabla ya yote I declare my own interest kwamba mimi ni raia wa Tanzania wa kuzaliwa ( sikununua uraia ) , hivyo bila shaka yoyote ninayo haki ya kufuatilia viongozi wa nchi hii wanaoteuliwa na Mh Rais.

Hivyo basi nimejitokeza kwenye jukwaa hili lililojaa mafundi wa kila aina kutaka kujua huu umakini unaotajwa kwenye uteuzi ni upi hasa ?

Wote mmeona Baraza la Mawaziri zaidi ya nusu wametoka awamu iliyopita , ile awamu inayolalamikiwa kuozesha nchi hii , Makatibu wakuu wengi ni walewale akiwemo sifuni Mchome aliyeshirikiana na Kawambwa na Mulugo kuleta Div 5.

Wakuu wa mikoa na ma DC's wengi ni wale walioshindwa kudeliver mahali pengine , wakiwemo walioangushwa kwenye ubunge.

Kwenye MA DED , DAS na hata wenyeviti wa Bodi mbalimbali sina la kuongeza nadhani kila mtu amejionea .

Ni kweli kwamba watu wameteuliwa na ni haki ya mamlaka kuteua wawatakao , lakini hii hoja kwamba uteuzi huu ni makini ukweli wake uko wapi ?

Great thinker tunaomba muweke ukweli hapa maana wateule wote mnawajua .
mpaka mrema!
 
ilimpasa amchague nani? Maana hâta mbowe alimchagua lowasa na Sumaye nakuwapa kipaumbele...Huyo mrema amewahi kukosea nini hili taifa mpaka ushangae kupewa uenyekiti alopewa?
Tunapaswa kuelewa hii nchi kilamtu anahaki ya kuchaguwa na kuchaguliwa na tumeona wengi walioharibu wakiachwa na waliojituma wakipewa kazi!
uteuzi ulofanywa ni wamatumaini na tunajua mabadiliko yananafasi kutenguliwa uongozini kupo So mtoamada ungesema dosari za mhusika usiyemkubali badala ya hisia binafsi na vijiwivu visivyo vya kimaendeleo
 
Hebu tumpe Rais muda tusipende kulaumu sana.wewe ulitegemea Mani angekuwa Rais akafanya uteuzi utakao kufurahisha wewe?urais ni taasisi uteuzi unashirikisha watu wengi.hiyo wewe tu ndo unaakili saana.
 
Hebu tumpe Rais muda tusipende kulaumu sana.wewe ulitegemea Mani angekuwa Rais akafanya uteuzi utakao kufurahisha wewe?urais ni taasisi uteuzi unashirikisha watu wengi.hiyo wewe tu ndo unaakili saana.
Kuchagua Mrema kunahitaji akili.Hahaha upo serious au unatania.
 
Wakuu natanguliza salamu .

Kabla ya yote I declare my own interest kwamba mimi ni raia wa Tanzania wa kuzaliwa ( sikununua uraia ) , hivyo bila shaka yoyote ninayo haki ya kufuatilia viongozi wa nchi hii wanaoteuliwa na Mh Rais.

Hivyo basi nimejitokeza kwenye jukwaa hili lililojaa mafundi wa kila aina kutaka kujua huu umakini unaotajwa kwenye uteuzi ni upi hasa ?

Wote mmeona Baraza la Mawaziri zaidi ya nusu wametoka awamu iliyopita , ile awamu inayolalamikiwa kuozesha nchi hii , Makatibu wakuu wengi ni walewale akiwemo sifuni Mchome aliyeshirikiana na Kawambwa na Mulugo kuleta Div 5.

Wakuu wa mikoa na ma DC's wengi ni wale walioshindwa kudeliver mahali pengine , wakiwemo walioangushwa kwenye ubunge.

Kwenye MA DED , DAS na hata wenyeviti wa Bodi mbalimbali sina la kuongeza nadhani kila mtu amejionea .

Ni kweli kwamba watu wameteuliwa na ni haki ya mamlaka kuteua wawatakao , lakini hii hoja kwamba uteuzi huu ni makini ukweli wake uko wapi ?

Great thinker tunaomba muweke ukweli hapa maana wateule wote mnawajua .

HoJA zako hazina mashiko kabisa.
Mtu akishindwa ubunge anakuwa ame be disqualified kabisa????
Hapana,, bado wapo wengi tuu wazur. Mfano DC wa wilaya ya Nkasi,, amekaa siku 10 tuuu lkn ame fanya maaendeleo angalau.. Kuliko mtu alie kaa miaka mitano.
 
ilimpasa amchague nani? Maana hâta mbowe alimchagua lowasa na Sumaye nakuwapa kipaumbele...Huyo mrema amewahi kukosea nini hili taifa mpaka ushangae kupewa uenyekiti alopewa?
Tunapaswa kuelewa hii nchi kilamtu anahaki ya kuchaguwa na kuchaguliwa na tumeona wengi walioharibu wakiachwa na waliojituma wakipewa kazi!
uteuzi ulofanywa ni wamatumaini na tunajua mabadiliko yananafasi kutenguliwa uongozini kupo So mtoamada ungesema dosari za mhusika usiyemkubali badala ya hisia binafsi na vijiwivu visivyo vya kimaendeleo
Lengo ni kutaka kuondoa uongo wa kuita uteuzi huu ni makini , hakuna umakini hata chembe , ni uteuzi kama teuzi za Jk na wengine , hakuna jipya , siwezi kuonea wivu kazi kama hizo , sina mzuka nazo .
 
Hebu tumpe Rais muda tusipende kulaumu sana.wewe ulitegemea Mani angekuwa Rais akafanya uteuzi utakao kufurahisha wewe?urais ni taasisi uteuzi unashirikisha watu wengi.hiyo wewe tu ndo unaakili saana.
Sipingi teuzi wala sina uwezo huo , ninachopinga ni uongo , nisome tena mkuu .
 
Tetesi zinadokeza kwamba baada ya Kitwanga ilibidi awe Mrema , fitna zikafanyika ndio akapatikana Mwigulu , hata hivyo Lyatonga amekumbukwa kwa upande mwingine .
Mmeishiwa hoja nyinyi, kwan sumaye na lowasa wametoka wapi na walifanya nn kpindi cha uongozi wao mpaka mkaawaamini kwamba ni wananabadliko?
Mleta mada amekuja na hoja nzito sana. Kila kutokana na uchama ulioshamiri humu hayo pata majibu sahihi.

Kila itoshe kusema kuwa wale wote wanaokejeli wanaumia mioyoni mwao sababu ukweli haufichiki.

Ninawatakia jumapili njema
 
Wakuu natanguliza salamu .

Kabla ya yote I declare my own interest kwamba mimi ni raia wa Tanzania wa kuzaliwa ( sikununua uraia ) , hivyo bila shaka yoyote ninayo haki ya kufuatilia viongozi wa nchi hii wanaoteuliwa na Mh Rais.

Hivyo basi nimejitokeza kwenye jukwaa hili lililojaa mafundi wa kila aina kutaka kujua huu umakini unaotajwa kwenye uteuzi ni upi hasa ?

Wote mmeona Baraza la Mawaziri zaidi ya nusu wametoka awamu iliyopita , ile awamu inayolalamikiwa kuozesha nchi hii , Makatibu wakuu wengi ni walewale akiwemo sifuni Mchome aliyeshirikiana na Kawambwa na Mulugo kuleta Div 5.

Wakuu wa mikoa na ma DC's wengi ni wale walioshindwa kudeliver mahali pengine , wakiwemo walioangushwa kwenye ubunge.

Kwenye MA DED , DAS na hata wenyeviti wa Bodi mbalimbali sina la kuongeza nadhani kila mtu amejionea .

Ni kweli kwamba watu wameteuliwa na ni haki ya mamlaka kuteua wawatakao , lakini hii hoja kwamba uteuzi huu ni makini ukweli wake uko wapi ?

Great thinker tunaomba muweke ukweli hapa maana wateule wote mnawajua .
uzi huu ni mkuki wa sumu kwa lumumba fc
 
Mleta mada amekuja na hoja nzito sana. Kila kutokana na uchama ulioshamiri humu hayo pata majibu sahihi.

Kila itoshe kusema kuwa wale wote wanaokejeli wanaumia mioyoni mwao sababu ukweli haufichiki.

Ninawatakia jumapili njema
Nisawa na pembe la ng'ombe?
 
Tetesi zinadokeza kwamba baada ya Kitwanga ilibidi awe Mrema , fitna zikafanyika ndio akapatikana Mwigulu , hata hivyo Lyatonga amekumbukwa kwa upande mwingine .
Daaaa ange wekwa mrema hapo ndio ingekuwa ni moja ya maajabu ya dunia,mtu kajishia kabisa ndio apewe hiyo wizara!
 
Back
Top Bottom