Uko tayari kulipa shilingi ngapi kama tozo ya kuona kaburi la Magufuli pale Chato?

Ndio maana Mungu akam terminate mapema, Huu ujinga ndio alichokuwa anandaa
 
Hilo kaburi nikienda usiku sitalala nitaota watu wanataka kuniua.sithubutu kukanyaga hapo mimi
 
Binafsi sina kabisa interest na siasa ila nilimpenda JPM kama ambavyo ninampenda baba yangu na watu wengine wengi tu katika jamii, ukweli kuwa watu ninaowakubali huwa au huweza kuwa na upande wao wa pili ambao siukubali upo wazi pia ila kukiri kuwa nawakubali ni matokeo ya mchanganuo wa jumla ya pande zote mbili.

JPM alikuwa mwadilifu, mwenye kujiamini , msema kweli, mwenye akili kubwa, mwenye maonao, jasiri kwelikweli, mwanasiasa asiyependa siasa za propaganda na Mchapakazi, sifa hizi nzuri na nyingine nyingi alizokuwa nazo ni nani asiyezikubali? kama zile conspiracy za JK kuwa alikuwa anaenda south kula bata usiku asubuhi yuko ikulu Kwa karba ya JPM alitengenezewa conspiracy theory zinazoendana nae pia kama kumuu mwandishi wa habari :oops::oops:

Anyway to cut a long story short
uko tayari kugharamia shilingi ngapi kama tozo tu ya kuona kaburi la huyu Mwamba achiliambali gharama za nauli na nyinginezo
Mimi naamini ikitokea kaburi la JPM likafunguliwa kwa umma kwenda kulitazama kwa tozo ya Tsh. 10,000 tu mapato yatakayopatikana yanaweza fikia pato la mikoa kama Rukwa au nasema uongo ndugu zangu?

View attachment 1991803

Mxiew Kwa lipi kwa Mfano hiyo hela si bora nikasaidie Yatima wanaoteseka
B
 
Hayati John Pombe Magufuli ni mbuyu ulioanguka. Yote aliyoyafanya katika uhai wake yawe mazuri au mabaya yanapigiwa mfano na wote waliowahi kuwepo kwenye utawala wake.

Binafsi nisingeshauri kuweka tozo kwa mtu anayependa kwenda kuzuru kaburi lake, yule anayejisikia kutoa pesa basi iwe kama sadaka, naamini watanzania wengi wakiwa Chato watapenda kwenda angalau kuliona kaburi lake.

Mara ya mwisho nikiwa Chato sikuruhusiwa kufika lilipo kaburi lake Ila nilipewa maelekezo kuwa kuna utaratibu utakaowekwa wa kulifikia kaburi la mwamba huyu na litaratibiwa na ofisi ya mkuu wa wilaya. Naamini utatumika utaratibu wa kutoa vibali, nashauri kibali kiwe kati ya shillings 2000 na 5000.
 
Hayati John Pombe Magufuli ni mbuyu ulioanguka. Yote aliyoyafanya katika uhai wake yawe mazuri au mabaya yanapigiwa mfano na wote waliowahi kuwepo kwenye utawala wake.

Binafsi nisingeshauri kuweka tozo kwa mtu anayependa kwenda kuzuru kaburi lake, yule anayejisikia kutoa pesa basi iwe kama sadaka, naamini watanzania wengi wakiwa Chato watapenda kwenda angalau kuliona kaburi lake.

Mara ya mwisho nikiwa Chato sikuruhusiwa kufika lilipo kaburi lake Ila nilipewa maelekezo kuwa kuna utaratibu utakaowekwa wa kulifikia kaburi la mwamba huyu na litaratibiwa na ofisi ya mkuu wa wilaya. Naamini utatumika utaratibu wa kutoa vibali, nashauri kibali kiwe kati ya shillings 2000 na 5000.
Afadhali nimepata mwanga kuhusu namna ya kufikia ili kukuona kaburi lake
 
Binafsi sina kabisa interest na siasa ila nilimpenda JPM kama ambavyo ninampenda baba yangu na watu wengine wengi tu katika jamii, ukweli kuwa watu ninaowakubali huwa au huweza kuwa na upande wao wa pili ambao siukubali upo wazi pia ila kukiri kuwa nawakubali ni matokeo ya mchanganuo wa jumla ya pande zote mbili.

JPM alikuwa mwadilifu, mwenye kujiamini , msema kweli, mwenye akili kubwa, mwenye maonao, jasiri kwelikweli, mwanasiasa asiyependa siasa za propaganda na Mchapakazi, sifa hizi nzuri na nyingine nyingi alizokuwa nazo ni nani asiyezikubali? kama zile conspiracy za JK kuwa alikuwa anaenda south kula bata usiku asubuhi yuko ikulu Kwa karba ya JPM alitengenezewa conspiracy theory zinazoendana nae pia kama kumuu mwandishi wa habari :oops::oops:

Anyway to cut a long story short
uko tayari kugharamia shilingi ngapi kama tozo tu ya kuona kaburi la huyu Mwamba achiliambali gharama za nauli na nyinginezo
Mimi naamini ikitokea kaburi la JPM likafunguliwa kwa umma kwenda kulitazama kwa tozo ya Tsh. 10,000 tu mapato yatakayopatikana yanaweza fikia pato la mikoa kama Rukwa au nasema uongo ndugu zangu?

View attachment 1991803
Kilichofutikwa chini ni uvundo
 
 
Binafsi sina kabisa interest na siasa ila nilimpenda JPM kama ambavyo ninampenda baba yangu na watu wengine wengi tu katika jamii, ukweli kuwa watu ninaowakubali huwa au huweza kuwa na upande wao wa pili ambao siukubali upo wazi pia ila kukiri kuwa nawakubali ni matokeo ya mchanganuo wa jumla ya pande zote mbili.

JPM alikuwa mwadilifu, mwenye kujiamini , msema kweli, mwenye akili kubwa, mwenye maonao, jasiri kwelikweli, mwanasiasa asiyependa siasa za propaganda na Mchapakazi, sifa hizi nzuri na nyingine nyingi alizokuwa nazo ni nani asiyezikubali? kama zile conspiracy za JK kuwa alikuwa anaenda south kula bata usiku asubuhi yuko ikulu Kwa karba ya JPM alitengenezewa conspiracy theory zinazoendana nae pia kama kumuu mwandishi wa habari :oops::oops:

Anyway to cut a long story short
uko tayari kugharamia shilingi ngapi kama tozo tu ya kuona kaburi la huyu Mwamba achiliambali gharama za nauli na nyinginezo
Mimi naamini ikitokea kaburi la JPM likafunguliwa kwa umma kwenda kulitazama kwa tozo ya Tsh. 10,000 tu mapato yatakayopatikana yanaweza fikia pato la mikoa kama Rukwa🤣🤣🤣 au nasema uongo ndugu zangu?

View attachment 1991803
wezi wakikusikia, i see vaa barakoala yako na kujitengenezea na helmet! Maana siyo kwa povu na mawe hao yatakayofulumishwa pande zako mkuu!
 
wezi wakikusikia, i see vaa barakoala yako na kujitengenezea na helmet! Maana siyo kwa povu na mawe hao yatakayofulumishwa pande zako mkuu!
Usijali mkuu na mimi ni jiwe kwelikweli:mad:
 
Back
Top Bottom