mzurimie
JF-Expert Member
- Oct 16, 2011
- 6,143
- 3,625
yaani wewe nasubiri urudi kutuambia unajuta kwenda kwa huyo mwanamke wa pili rasmi
utamu upo ukiwa unaiba ila ukiamua kuingia mojamoja wengi huwa wanajuta tabia ya mkeo ni wewe ndo umemfanya awe hivyo, lazima alikupenda sana na kukuamini na ki saikolojia uamuazi wako wakuiba nje na kuwa na mwanamke mwingine umemuaffect labda hata kiakili na zaidi.
mimi kama mwanamke nataka nikuambie ukweli, shame on you kwa nini ulimuoa kama ulitaka kwenda kuiba nje na ndoa yako hata hukusubiri miaka iende usingizie labda awezi kazi chumbani etc
tamaa yako itakupeleka kubaya huyo wa pili unaweza kuta atakuwa sumu kwako, anza kuishi nae basi uone itakuwaje utakoma na kujuta na nitafurahi yakikukuta haya wala sikuonei huruma. ungekaa chini na kumfungulia mkeo tu zipu yako basi usingepitia haya.
eehh kwani lazima wanenu wakutane? mwache nae awe na uamuzi wewe mwizi then unataka lazimisha mengine na yeye ndie aliyebeba mtoto miezi 9.
haya nenda kwa hawala wako si ndo maana umekuja kuuliza humu ili tukuambie hivyo? eeehhh nenda na utaona mkeo wa ndoa anaishi kwa raha na hatakuwa na matatizo ya kuumwa kichwa wala kutoangalia wanawe vizuri. wewe ndio kizuio hapo ondoka mwanamke apendeze apendeke. na huko unakoenda uende kuzeeka haraka na kuwaaa buzi au jinga la ndani wakati akienda kulala na wanaume nje, na kukutukana juu.
umeniuzi na swali lako unadhani wanawake ni mipira piga huku na kule na hawaumii rohoni?
utamu upo ukiwa unaiba ila ukiamua kuingia mojamoja wengi huwa wanajuta tabia ya mkeo ni wewe ndo umemfanya awe hivyo, lazima alikupenda sana na kukuamini na ki saikolojia uamuazi wako wakuiba nje na kuwa na mwanamke mwingine umemuaffect labda hata kiakili na zaidi.
mimi kama mwanamke nataka nikuambie ukweli, shame on you kwa nini ulimuoa kama ulitaka kwenda kuiba nje na ndoa yako hata hukusubiri miaka iende usingizie labda awezi kazi chumbani etc
tamaa yako itakupeleka kubaya huyo wa pili unaweza kuta atakuwa sumu kwako, anza kuishi nae basi uone itakuwaje utakoma na kujuta na nitafurahi yakikukuta haya wala sikuonei huruma. ungekaa chini na kumfungulia mkeo tu zipu yako basi usingepitia haya.
eehh kwani lazima wanenu wakutane? mwache nae awe na uamuzi wewe mwizi then unataka lazimisha mengine na yeye ndie aliyebeba mtoto miezi 9.
haya nenda kwa hawala wako si ndo maana umekuja kuuliza humu ili tukuambie hivyo? eeehhh nenda na utaona mkeo wa ndoa anaishi kwa raha na hatakuwa na matatizo ya kuumwa kichwa wala kutoangalia wanawe vizuri. wewe ndio kizuio hapo ondoka mwanamke apendeze apendeke. na huko unakoenda uende kuzeeka haraka na kuwaaa buzi au jinga la ndani wakati akienda kulala na wanaume nje, na kukutukana juu.
umeniuzi na swali lako unadhani wanawake ni mipira piga huku na kule na hawaumii rohoni?