Tazama picha vizuri utaona kashika wo wo la matron!! Pia harusi yenyewe shabby, mke hajapendeza kabisa. Sijui alilazimkishiwa zungu hili? Au ndo zile za kuwaoa dada zetu kimtindo? Au pengine ni makaratasi yalikuwa yanatafutwa!! Huyu bi harusi anaonekana kama ngozi ya kiafirka vile au ni macho yangu?
Kaka huoni kiganja hicho kilipotua?...kunani huko kwenye "semi" kwa mtu aliezoea vya kukaanga?.
Huwa pengine sielewe ni kwanini wajukuu wa Adamu wengi hata kama hawatumii eneo husika, huwa wanapenda tu kugusa kama huyo jamaa , sikjui ipo raha gani ukiweka mkono juu ya hicho kiungo cha kukalia cha Mjuu wa Eva/Hawa!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.