gigabyte
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 5,202
- 5,780
Nyuzi za kijinga ndizo ambazo watu wanachangia sana kuliko zenye mambo ya msingi.sasa uzi kama huu umejitosheleza unataka watu wachangie nini zaidi ya kuusoma na kuelewa.Mambo yote yako wazi ila kama akili zako ni ndogo utataka kupinga.Haujiulizi kwanini uzi wako una comments ishirini tu ndani ya siku mbili? — ambazo kati ya hizo, za kwako tu ni zaidi ya kumi.
Niulize nikujuze.