Good!!Kila mama alee mtoto wake..Period!
Ninakupinga. Hata wanawake nao wanachangamoto. Kuna wanaowatesa watoto wao hadi aibu.Wanaume mjue, hakuna atakayempenda mtoto kama mama yake!!!!!!!! (Unless wamama wachache wenye matatizo yao)
Acha mama alee mwanae.
Mambo ya kutia wake zenu dhambi acheni.
Mama yako au ndugu zako hatompenda mwanao kama ambavyo angependwa na mama yake
Afterall kila mtu apambane na uterus!!! yake
Mkipata wa kuwaoa, pelekeni mtoto shule (boarding) na mwanaume uliyezaa naye atoe matumizi.
Na kwa nini uzae na mtu asiyeweza kulipa ada?Sasa mkuu itakuwaje hapo kama Baba wa Mtoto hayupo vizuri kifedha kugharamia shupe za Bweni kwa mwane ?
HahahahaNa kwa nini uzae na mtu asiyeweza kulipa ada?
Na kwa nini uzae na mtu asiyeweza kulipa ada?
shida mnageuza watoto ATM Card na huduma anazopata ni tofauti na makusudio yako labda mfungiwe camera tena yenye sensor na kingine kibaya zaidi mnawajaza watoto upuuzi kuhusu baba zao inapelekea mtoto anakua na -ve attitude kwa mzazi wake wa kiume.Wanaume mjue, hakuna atakayempenda mtoto kama mama yake!!!!!!!! (Unless wamama wachache wenye matatizo yao)
Acha mama alee mwanae.
Mambo ya kutia wake zenu dhambi acheni.
Mama yako au ndugu zako hatompenda mwanao kama ambavyo angependwa na mama yake
Afterall kila mtu apambane na uterus!!! yake
😂😂😂😂😂dahNa kwa nini uzae na mtu asiyeweza kulipa ada?
😂😂😂😂😂😂Wanaume mjue, hakuna atakayempenda mtoto kama mama yake!!!!!!!! (Unless wamama wachache wenye matatizo yao)
Acha mama alee mwanae.
Mambo ya kutia wake zenu dhambi acheni.
Mama yako au ndugu zako hatompenda mwanao kama ambavyo angependwa na mama yake
Afterall kila mtu apambane na uterus!!! yake
Inawezekana hauna mtoto sasa mtoto apelekwe boarding kwa msingi upi? Kama baba mtoto haujaoa ulipata mtoto kabla ya ndoa lea mwanao mwenyewe mama mlezi mueleze kabisa lazima aji adjust kukaa na mwanao pia unatakiwa umueleze kwamba unajua sio wa kwake na hawezi kumtreat kama wake ila point ya msingi lazima mwanamke aji adjust..na mtoto ajiadjust kuishi na mama mlezi..inakua imeisha..hio..Kinachotakiwa, aliyeweka mbegu ndio agharamie matunzo ya mtoto akiwa chini ya himaya ya mama yake; inapotokea mama anaolewa tena, mama anaweza akampeleka shule (boarding) kwa gharama ya baba wa mtoto
Akitoa matumizi uchelewi kusema natembea nae, tabu tupuMkipata wa kuwaoa, pelekeni mtoto shule (boarding) na mwanaume uliyezaa naye atoe matumizi.
Dah.....ukweli unaouma....singo Maza wengi waliotelekezwa.... walikuwa katika hali ya ulevi siku ya tukio🤭Inaumiza sana kwa kweli,bora kummwagia hata usoni tu kuliko kumwagia ndani kisha mnapata mtoto anaanza kuteseka
Malezi ya Mtoto ni ya Baba na Mama,Fungeni ndoa ndipo mzae watoto muwalee watoto wenu,Haya maswala ya alelewe na mama yake sio sahihi au baba yake sio sahihi.
Kondom zipo,Njia za hospital zipo,Za kienyeji zipo zuieni hizo mimba, WATOTO WAMEKUWA WAHANGA WAKUBWA WA UMALAYA WA WAZAZI WAO.TUBADILIKE TUPATE KIZAZI BORA.
Eeeh huyu atakuwa yule jimi Hamida yuleTukibaki nao tena tunakosa wakutuooa