Ukizaa nje ya ndoa; muache mtoto alelewe na mama yake mzazi

Kumekuwa na tabia ya wanandoa kuzaa nje, inawezekana kwa kukusudia au kwa bahati mbaya.

Wakati nilipokuwa mdogo, kuna wakaka wawili walikuwa mapacha wanaishi na mama yao ambaye alikuwa jirani yetu. Wakati huo, hao wakaka walikuwa na miaka 25 hivi kwa kukadiria. Walikuwa warefu, wamejazia, na weusi kiasi; mnavyojua tena ulevi wa warembo wa mjini, wakashawishika, na dada mmoja akazaa na jamaa mmojawapo.

Yule dada alifikiri kuzaa na jamaa, angepata ndoa; Mambo yakawa tofauti. Basi yule dada akamtelekeza mtoto kwa mwanaume. Mwanaume naye akampa mama (bibi wa mtoto) yake amlelee mtoto.

Unavyojua tena, bibi wa mtoto alikuwa bado anapenda ujana. Akawa anamtesa sana yule mjukuu; yule mtoto akawa anakuja nyumbani kwetu, nampatia chakula, mpaka akawa rafiki yangu.

Baada ya mwaka mmoja, sisi tukawa tumeama ule mkoa, imepita kama miaka miwili hivi, tukapata habari yule mtoto alishafariki. Niliumia sana, nikajua chanzo ni wao kutokuwa karibu na mtoto.

Kwa sasa, yule bibi yake pia alishafariki.

Nilichojifunza; mtoto yeyote unayezaa nje ya ndoa alelewe na mama yake mzazi; we uliyemzalisha, jukumu lako ni kutuma hela ya matumizi tu, ili mtoto apate huduma bora.



Yani huyo mmoja tu ndio utoe conclusion ya wengi kama si wote?

Incidence moja tu ndo useme hivyo?

Nani anataka kuibiwa maisha yake yote kwa njia ya ruzuku ya matunzo?

Kwanini unipe mzigo wa kutunza familia nyingi?
 
Well sometimes wa mama wazazi hawajielewi pia. Mama mzazi amlee ( kama anajielewa) bibi au hata shangazi.yoyote mwenye moyo wa kumtunza yule mtoto.. kuna wanandoa walikuwa na wtt 5 wakaachana . Mama akabaki na wtt. Akapata bwana, bwana akamwambia wtt ni wengi, mama akakata ticket ya treni, waingia kwenye treni na wtt wawili wakubwa, kabla treni haija ondoka, akasema anaenda nunua maji, hakurudi mpaka treni ikaondoka, mama mzazi huyu
 
Kumekuwa na tabia ya wanandoa kuzaa nje, inawezekana kwa kukusudia au kwa bahati mbaya.

Wakati nilipokuwa mdogo, kuna wakaka wawili walikuwa mapacha wanaishi na mama yao ambaye alikuwa jirani yetu. Wakati huo, hao wakaka walikuwa na miaka 25 hivi kwa kukadiria. Walikuwa warefu, wamejazia, na weusi kiasi; mnavyojua tena ulevi wa warembo wa mjini, wakashawishika, na dada mmoja akazaa na jamaa mmojawapo.

Yule dada alifikiri kuzaa na jamaa, angepata ndoa; Mambo yakawa tofauti. Basi yule dada akamtelekeza mtoto kwa mwanaume. Mwanaume naye akampa mama (bibi wa mtoto) yake amlelee mtoto.

Unavyojua tena, bibi wa mtoto alikuwa bado anapenda ujana. Akawa anamtesa sana yule mjukuu; yule mtoto akawa anakuja nyumbani kwetu, nampatia chakula, mpaka akawa rafiki yangu.

Baada ya mwaka mmoja, sisi tukawa tumeama ule mkoa, imepita kama miaka miwili hivi, tukapata habari yule mtoto alishafariki. Niliumia sana, nikajua chanzo ni wao kutokuwa karibu na mtoto.

Kwa sasa, yule bibi yake pia alishafariki.

Nilichojifunza; mtoto yeyote unayezaa nje ya ndoa alelewe na mama yake mzazi; we uliyemzalisha, jukumu lako ni kutuma hela ya matumizi tu, ili mtoto apate huduma bora.
Thread tayari, na wale wanawake wenye wanazaa na kuwaachia mama zao wawalelee mtoto iko vipi? Usikariri.
 
Well sometimes wa mama wazazi hawajielewi pia. Mama mzazi amlee ( kama anajielewa) bibi au hata shangazi.yoyote mwenye moyo wa kumtunza yule mtoto.. kuna wanandoa walikuwa na wtt 5 wakaachana . Mama akabaki na wtt. Akapata bwana, bwana akamwambia wtt ni wengi, mama akakata ticket ya treni, waingia kwenye treni na wtt wawili wakubwa, kabla treni haija ondoka, akasema anaenda nunua maji, hakurudi mpaka treni ikaondoka, mama mzazi huyu
Sababu iliyomfanya hivyo ni kuzidiwa na majukumu
 
Yani huyo mmoja tu ndio utoe conclusion ya wengi kama si wote?

Incidence moja tu ndo useme hivyo?

Nani anataka kuibiwa maisha yake yote kwa njia ya ruzuku ya matunzo?

Kwanini unipe mzigo wa kutunza familia nyingi?
Unagharamikia tu matunzo ya mtoto, kama kwa mwezi laki 1,2 n.k mwisho wa siku mtoto ndio atatoa hukumu.
 
Kumekuwa na tabia ya wanandoa kuzaa nje, inawezekana kwa kukusudia au kwa bahati mbaya.

Wakati nilipokuwa mdogo, kuna wakaka wawili walikuwa mapacha wanaishi na mama yao ambaye alikuwa jirani yetu. Wakati huo, hao wakaka walikuwa na miaka 25 hivi kwa kukadiria. Walikuwa warefu, wamejazia, na weusi kiasi; mnavyojua tena ulevi wa warembo wa mjini, wakashawishika, na dada mmoja akazaa na jamaa mmojawapo.

Yule dada alifikiri kuzaa na jamaa, angepata ndoa; Mambo yakawa tofauti. Basi yule dada akamtelekeza mtoto kwa mwanaume. Mwanaume naye akampa mama (bibi wa mtoto) yake amlelee mtoto.

Unavyojua tena, bibi wa mtoto alikuwa bado anapenda ujana. Akawa anamtesa sana yule mjukuu; yule mtoto akawa anakuja nyumbani kwetu, nampatia chakula, mpaka akawa rafiki yangu.

Baada ya mwaka mmoja, sisi tukawa tumeama ule mkoa, imepita kama miaka miwili hivi, tukapata habari yule mtoto alishafariki. Niliumia sana, nikajua chanzo ni wao kutokuwa karibu na mtoto.

Kwa sasa, yule bibi yake pia alishafariki.

Nilichojifunza; mtoto yeyote unayezaa nje ya ndoa alelewe na mama yake mzazi; we uliyemzalisha, jukumu lako ni kutuma hela ya matumizi tu, ili mtoto apate huduma bora.
I second your opinion
 
Kumekuwa na tabia ya wanandoa kuzaa nje, inawezekana kwa kukusudia au kwa bahati mbaya.

Wakati nilipokuwa mdogo, kuna wakaka wawili walikuwa mapacha wanaishi na mama yao ambaye alikuwa jirani yetu. Wakati huo, hao wakaka walikuwa na miaka 25 hivi kwa kukadiria. Walikuwa warefu, wamejazia, na weusi kiasi; mnavyojua tena ulevi wa warembo wa mjini, wakashawishika, na dada mmoja akazaa na jamaa mmojawapo.

Yule dada alifikiri kuzaa na jamaa, angepata ndoa; Mambo yakawa tofauti. Basi yule dada akamtelekeza mtoto kwa mwanaume. Mwanaume naye akampa mama (bibi wa mtoto) yake amlelee mtoto.

Unavyojua tena, bibi wa mtoto alikuwa bado anapenda ujana. Akawa anamtesa sana yule mjukuu; yule mtoto akawa anakuja nyumbani kwetu, nampatia chakula, mpaka akawa rafiki yangu.

Baada ya mwaka mmoja, sisi tukawa tumeama ule mkoa, imepita kama miaka miwili hivi, tukapata habari yule mtoto alishafariki. Niliumia sana, nikajua chanzo ni wao kutokuwa karibu na mtoto.

Kwa sasa, yule bibi yake pia alishafariki.

Nilichojifunza; mtoto yeyote unayezaa nje ya ndoa alelewe na mama yake mzazi; we uliyemzalisha, jukumu lako ni kutuma hela ya matumizi tu, ili mtoto apate huduma bora.
Kama mama hamtaki mwanae?
 
Mm kama mselaaa niliyekosea kuzaà na mwanamkeee mmoja hv ,aiseee na mleaa mwanangu mwenyewee tena mwenyewee now ana miakaa ctaaa ,japo n ngumu ila kwangu imewezekanaa maana nilinyegeka mwenyewee kwann nikampe bibi au dada ananitunzie mtt wangu ingali mama yake kaja kanitupiaa ,napambana naye na kinaelewekaa kiukweli na ninachomshukuru naye kashajua naishi na baba hvyo natakiwa kuishi kiumeee ana enjoy sanaa
 
Zinaa ni nini kwanza
SWALI

Zinaa ni nini?

السؤال: ما الزنا؟

JAWABU الجواب

➡Zinaa ni neno lenye maana ya kitendo cha:
"Mwanaume baaleghe kuingiza utupu wake katika utupu wa mwanamke ambae si halali kwake"

الزنا لفظ يدل على معنى: " إدخال رجل بالغ ذكره في فرج امرأة لا تحل له"

➡Na zinaa inazingatiwa kuwa ni zinaa mara tu atakapoingiza kichwa cha dhakari yake katika utupu wa mwanamke asie halali kwake.

والزنا يعتبر زنا بمجرد إدخال الرجل حشفة ذكره في فرج امرأة لا تحل له.

➡Na zinaa ni katika maasi makubwa na ni njia mbaya.

والزنا من كبائر المعاصي وساء سبيلا.

➡Na uharamu wake umethibiti katika Qurani na Sunna na Makubaliano ya Maulamaa wote.

وتحريم الزنا ثبت بالقرآن الكريم والسنة النبوية وإجماع العلماء كافة.

➡Amesema Allaah sw:
(وَلَا تَقْرَبُوا الزِّنَا ۖ إِنَّهُ كَانَ فَاحِشَةً وَسَاءَ سَبِيلًا)
[Surat Al-Isra 32]

Wala msikaribie uzinzi. Hakika huo ni uchafu na njia mbaya.

➡Na Mwenye kupinga uharamu wa zinaa au akatia shaka katika uharamu wake, atakuwa amekufuru kufruru kubwa.

ومن أنكر حرمة الزنا أو شك في حرمته، فإنه يكون بهذا قد كفر كفرا أكبر.

➡Muisilaamu anatakiwa kuamini uhalali wa aliyo yahalalisha Allaah sw, na uharamu wa aliyo yaharamisha.

المسلم يجب عليه أن يؤمن بحل ما أحله الله سبحانه وتعالى، وحرمة ما حرم الله سبحانه وتعالى.

➡Ndio maana ameamrisha Allaah sw kuwapiga vita wale ambao wanakwenda kinyume na hilo, na akawaita kuwa ni makafiri.

ولهذا أمر الله سبحانه وتعالى بمقاتلة من يخالف ذلك، وسماهم كفارا.

➡Amesema Allaah sw:
(قَاتِلُوا الَّذِينَ لَا يُؤْمِنُونَ بِاللَّهِ وَلَا بِالْيَوْمِ الْآخِرِ وَلَا يُحَرِّمُونَ مَا حَرَّمَ اللَّهُ وَرَسُولُهُ وَلَا يَدِينُونَ دِينَ الْحَقِّ مِنَ الَّذِينَ أُوتُوا الْكِتَابَ حَتَّىٰ يُعْطُوا الْجِزْيَةَ عَنْ يَدٍ وَهُمْ صَاغِرُونَ)
[Surat At-Tawba 29]

Piganeni na wasio muamini Mwenyezi Mungu wala Siku ya Mwisho, wala hawaharimishi alivyo harimisha Mwenyezi Mungu na Mtume, wala hawashiki Dini ya Haki, miongoni mwa walio pewa Kitabu, mpaka watoe kodi kwa khiari yao, hali wamet'ii.

➡Na mwenye kumchezea kwa utupu wake mwanamke ambae si halali yake, basi amefanya maasi makubwa, na anastahiki kutiwa adabu na kadhi.

ومن عبث بذكره في بدن امرأة لا تحل له فقد فعل معصية كبيرة، ويستحق التعزير من قبل القاضي.

➡Pia mwenye kuwachezea watoto wadogo, wa kiume au kike miili yao kwa utupu wake, anatiwa adabu na kadhi mpaka akome tabia hiyo.

وكذلك من يعبث بذكره في الصغار من البنين أو البنات، يستحق التعزير من قبل القاضي.

➡Na hata kama atamchzea kwa kutumia vidole au ulimi, pia atapata hukmu kama hiyo.

وحتى لو عبث بهم بأصابعه أو لسانه لحق به نفس الحكم السابق.

➡Na akijichezea utupu wake kwa mkono wake mpaka akajitoa manii atakuwa amefanya dhambi pia.

وإذا عبث بذكره باستعمال يد نفسه حتى أنزل المني، فقد قارف إثما عظيما أيضا.

➡Na akimtazama mwanamke asie halali kwake kwa matamanio mpaka akatokwa manii pia amefanya maasi, na analazimika kufanya toba kwa Allaah sw kutokana na yote hayo.

وإذا نظر إلى امرأة لا تحل له شهوة حتى نزل منه المني فقد عصى، وعليه التوية إلى الله تعالى في ذلك كله.

➡Muumini anatikiwa awe na sifa ya kuhifadhi utupu wake kutokana na yote ambayo haya kuhalalishwa na Allaah sw.

يجب على المؤمن أن يحفظ فرجه من كل ما لم يحله الله تعالى.

➡ Amesema Allaah sw:
(وَالَّذِينَ هُمْ لِفُرُوجِهِمْ حَافِظُونَ)
[Surat Al-Mumenoon 5]

Na ambao wanazilinda tupu zao,

إِلَّا عَلَىٰ أَزْوَاجِهِمْ أَوْ مَا مَلَكَتْ أَيْمَانُهُمْ فَإِنَّهُمْ غَيْرُ مَلُومِينَ

Isipo kuwa kwa wake zao au kwa iliyo wamiliki mikono yao ya kulia. Kwani hao si wenye kulaumiwa.

[Surat Al-Mumenoon 6]


فَمَنِ ابْتَغَىٰ وَرَاءَ ذَٰلِكَ فَأُولَٰئِكَ هُمُ الْعَادُونَ

Lakini anaye taka kinyume cha haya, basi hao ndio warukao mipaka.

[Surat Al-Mumenoon 7]

➡Namuomba Allaah sw atuongoze katika kuijua haki na kuifuata na kuifikisha.

أسأل الله تعالى أن يهدينا إلى معرفة الحق واتباعه وتبليغه.

ALLAAHU AALAM الله أعلم

➡Jawabu kutoka kwa
SH. SHAABAN AL BATTAASHY.
 
JAWABU الجواب

➡Zinaa ni neno lenye maana ya kitendo cha:
"Mwanaume baaleghe kuingiza utupu wake katika utupu wa mwanamke ambae si halali kwake"
Ni nani anayesema huyu mwanamke ni halali, na huyo ambaye ni halali jinsia yake inatofauti gani na yule ambaye si halali?
 
Mwanamke uliemuowa kwa ndoa ndio halali yako. Tofauti na hapo ninyi ni wazinifu. Post namba 37 imeshakufafanulia.

Wewe ni imani gani??
Ni utaratibu tu waliojiwekea binadamu ili kuzuia migogoro; lasivyo tungekuwa tunaishi kama wanyama na ndege, leo uko kwa huyu, na kesho kwa yule.
 
Back
Top Bottom