BlackBerry
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 1,839
- 956
Sisi wanaume sijui tukoje, sijui haturidhiki
Ukitongoza na kupewa ndani ya muda mfupi - mdada anaitwa kicheche
Ukizungushwa - anaringa ringa kumbe hamna kitu
ukitoshwa - binti anajidai matawi
sasa hawa mabinti watufanyie nini ili turidhike.
i think we should stop talking these non sense about our soulmates.
Kwa kweli hata hambebeki na mtu na akili zake kabisa anajigamba badae, oooo wanawake warahisi
we mwenyewe hujiangalii? halafu mkinyimwa mnalalamika,na kwa nini uombe wakati huna hakika na bidhaa?
mwanamke kuringa, leo umekuja nitongoza wewe ushaniona siku nyingi sana na ushatathmini, mie siku unakuja ndio
na mie naanza siku hiyo kutathmini, tafadhali wanaume muelewe hilo