Vesper-valens
JF-Expert Member
- Mar 6, 2020
- 5,204
- 7,242
Hi everybody ....
Kumekuwa na kawaida ya
Watu wapole wanaokubali kila wanachoambiwa bila kupinga ...wanajua kuishi na watu
Watu wenye kutoa msaada muda wote pindi inavohitajika kufanya hvyo...wanajua kuishi na watu
Watu wanaofanya yale yanayowapendeza wengine machoni wanajua kuishi na watu
Watu wenye utii wa hali ya juu kwa kila wanachoambiwa ...wanajua kuishi na watu
Watu wanaojitoa sana ...wanajua kuishi na watu...n.k ..
Yani ukiweza kufanya yale yanayo wafurahisha wengine bila kujali yanakuumiza kwa namna gani , yatakuingizia hasara kiasi gani, Yanakuathiri kiasi gani
Jamii itakuchukulia kuwa unajua kuishi na watu , Ila ukienda kinyume nao basi hujui kuishi na watu
Hii mentality imejengeka kwenye Jamii na kupelekea watu kufanya hata yale yanayowaumiza ilimradi tuu aonekane kuwa ana roho nzuri ,ana Utu, anajali ,bila kuangalia anagharamika kiasi gani
Ukiishi kwa kufuata misingi yako ujiandae kukosolewa ,kutopendwa na hata kufanyiwa mambo mabaya kwa makusudi
Ukitaka kuridhisha kila mtu ..Ujue umekubali kuwa mtumwa
Kumekuwa na kawaida ya
Watu wapole wanaokubali kila wanachoambiwa bila kupinga ...wanajua kuishi na watu
Watu wenye kutoa msaada muda wote pindi inavohitajika kufanya hvyo...wanajua kuishi na watu
Watu wanaofanya yale yanayowapendeza wengine machoni wanajua kuishi na watu
Watu wenye utii wa hali ya juu kwa kila wanachoambiwa ...wanajua kuishi na watu
Watu wanaojitoa sana ...wanajua kuishi na watu...n.k ..
Yani ukiweza kufanya yale yanayo wafurahisha wengine bila kujali yanakuumiza kwa namna gani , yatakuingizia hasara kiasi gani, Yanakuathiri kiasi gani
Jamii itakuchukulia kuwa unajua kuishi na watu , Ila ukienda kinyume nao basi hujui kuishi na watu
Hii mentality imejengeka kwenye Jamii na kupelekea watu kufanya hata yale yanayowaumiza ilimradi tuu aonekane kuwa ana roho nzuri ,ana Utu, anajali ,bila kuangalia anagharamika kiasi gani
Ukiishi kwa kufuata misingi yako ujiandae kukosolewa ,kutopendwa na hata kufanyiwa mambo mabaya kwa makusudi
Ukitaka kuridhisha kila mtu ..Ujue umekubali kuwa mtumwa