Ukiweza kuishi na watu, Umekubali kuwa mtumwa

Maisha ya hapa duniani ni mafupi sana. Ukiwa na uwezo wa kuwasaidia wengine fanya hivyo kwa moyo mweupe. Aliyekupa wewe ndiye aliyawanyima wao. Duniani hatukuja na kitu na hatutoondoka na kitu. Wekeni hazina zenu mbinguni ambako hakuna kutu wala wevi. Uzima wa mtu haumo katika wingi wa vitu vyake alivyo navyo. Heri kutoa kuliko kupokea. ...

Fanya hivi utaishi maisha ya raha sana.


JESUS IS LORD!
Kweli Kabisa watu tu hawajui Ukiwa na uzazi (watoto) Jitahidi sana kuishi na watu maana hakuna anaejua kesho yake, ukitangulia leo wakabaki watoto. Watoto ndio watakaopata shida kulingana na. Ulivoishi na watu
 
Hi everybody ....

Kumekuwa na kawaida ya

Watu wapole wanaokubali kila wanachoambiwa bila kupinga ...wanajua kuishi na watu

Watu wenye kutoa msaada muda wote pindi inavohitajika kufanya hvyo...wanajua kuishi na watu

Watu wanaofanya yale yanayowapendeza wengine machoni wanajua kuishi na watu

Watu wenye utii wa hali ya juu kwa kila wanachoambiwa ...wanajua kuishi na watu

Watu wanaojitoa sana ...wanajua kuishi na watu...n.k ..

Yani ukiweza kufanya yale yanayo wafurahisha wengine bila kujali yanakuumiza kwa namna gani , yatakuingizia hasara kiasi gani, Yanakuathiri kiasi gani
Jamii itakuchukulia kuwa unajua kuishi na watu , Ila ukienda kinyume nao basi hujui kuishi na watu

Hii mentality imejengeka kwenye Jamii na kupelekea watu kufanya hata yale yanayowaumiza ilimradi tuu aonekane kuwa ana roho nzuri ,ana Utu, anajali ,bila kuangalia anagharamika kiasi gani

Ukiishi kwa kufuata misingi yako ujiandae kukosolewa ,kutopendwa na hata kufanyiwa mambo mabaya kwa makusudi

Ukitaka kuridhisha kila mtu ..Ujue umekubali kuwa mtumwa
Umegonga mulemule mkuu
 
Hi everybody ....

Kumekuwa na kawaida ya

Watu wapole wanaokubali kila wanachoambiwa bila kupinga ...wanajua kuishi na watu

Watu wenye kutoa msaada muda wote pindi inavohitajika kufanya hvyo...wanajua kuishi na watu

Watu wanaofanya yale yanayowapendeza wengine machoni wanajua kuishi na watu

Watu wenye utii wa hali ya juu kwa kila wanachoambiwa ...wanajua kuishi na watu

Watu wanaojitoa sana ...wanajua kuishi na watu...n.k ..

Yani ukiweza kufanya yale yanayo wafurahisha wengine bila kujali yanakuumiza kwa namna gani , yatakuingizia hasara kiasi gani, Yanakuathiri kiasi gani
Jamii itakuchukulia kuwa unajua kuishi na watu , Ila ukienda kinyume nao basi hujui kuishi na watu

Hii mentality imejengeka kwenye Jamii na kupelekea watu kufanya hata yale yanayowaumiza ilimradi tuu aonekane kuwa ana roho nzuri ,ana Utu, anajali ,bila kuangalia anagharamika kiasi gani

Ukiishi kwa kufuata misingi yako ujiandae kukosolewa ,kutopendwa na hata kufanyiwa mambo mabaya kwa makusudi

Ukitaka kuridhisha kila mtu ..Ujue umekubali kuwa mtumwa
Niliwahi mwambia ndugu yangu ambae hajaoa kuwa,ukikubali kuoa umekubali kuwa mtumwa akawa mbishi.ona Sasa binti wa kikwere
 
Bado tuna mentality za kijamaa..mtu anaona sifa kusifiwa ana roho nzuri..kisa ndugu wamejazana nyumbani kwake wanakula bure,mbaya zaidi wanaharibu mpaka watoto wake.
Mentality za kimasikini kabisa hizi,, nimeshuhudia baadhi ya ndugu wamebaki hohehahe kwa kutoa hizo favors,, mwisho wa siku walibaki bila kuwekeza chochote mfano kuwa na nyumba binafsi mbali na kupanga na mwisho wa siku wale waliosaidiwa wakawa na maisha yao na hawana tena habari. Hii imetokea hata kwa wazazi wangu maana wao walitangulia kuja mjini sasa kwa ndugu waliobaki kijijini nyumbani ilikua ndo sehemu au kambi ya kufikia na hata kusomeshwa kwa watoto wa ndugu toka rural. Kiukweli ilinipa funzo mtu anaetaka msaada nitamsaidia akiwa hukohuko mbali
 
ndio maana ya neno upendo wa agape mkuu.

mara nyingi watu wa hivi huwa hawahesabu mabaya ya wanaoishi nao,wao hujitoa kwa ajili yao hata iweje.

gues what,huwa ni watu wenye furaha zaidi na amani sana,maana wanajua binaadam hata afake vipi,kuna point lazina atazikumbuka fadhira anazomfanyia.

nami nikusihi,ili uwe na mafanikio zaidi hapa duniani,jitahidi kutendea mema wengine na si kujitizama wewe zaidi.
Mkuu watu wa namna hii mbona hawawi na mafanikio sana? na badala yake wanakuwa nayo wale wasiojali wengine.
 
Mentality za kimasikini kabisa hizi,, nimeshuhudia baadhi ya ndugu wamebaki hohehahe kwa kutoa hizo favors,, mwisho wa siku walibaki bila kuwekeza chochote mfano kuwa na nyumba binafsi mbali na kupanga na mwisho wa siku wale waliosaidiwa wakawa na maisha yao na hawana tena habari. Hii imetokea hata kwa wazazi wangu maana wao walitangulia kuja mjini sasa kwa ndugu waliobaki kijijini nyumbani ilikua ndo sehemu au kambi ya kufikia na hata kusomeshwa kwa watoto wa ndugu toka rural. Kiukweli ilinipa funzo mtu anaetaka msaada nitamsaidia akiwa hukohuko mbali
Dah ...hz mentality zinawacost sana watu wanaoishi kwa ajili ya kufurahisha wengine
 
mimi ni mmoja kati ya hao uliowataja hapo juu yani ndo nilivyo but nilivyokuja kugundua kwamba they use me for their relief,imewabadilikia vibaya sana hawaamini na wananichukia mno but sasa hivi niko bize na mitikasi yangu,mambo yanaenda swafi na sijali.... hii ni kazini,ndugu na mtaani.
Watu wanapenda wakutumie kama daraja mambo yao yaende ...Ukiwa focused na issue zako wanakuona adui ...na chuki ndo zinapoanzia hapo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom