Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,603
- 218,010
Wenye mawazo finyu kama wewe ni wengi. Akili yako ya kufikiri imeishia hapo.π π π π ππππ Kumbe ili utoe misaada nilazima usaidiwe na Wana Ccm harafu haohao unaanza kuwatukana duuu; Kumbuka mpaka hata zile double cabin na pikipiki zilitolewa na Mwanaccm Edward Lowasa, na Mbowe naye aliwekwa kuwa Mwenyekiti na Mwanaccm na Baba Mkwe wake aitwaye Mtei. Nilichokigindua ili mambo yaende lazima yatoke Ccm, sasa hapo Wapiga kura tumeelewa CCM inatosha hamna kuhangaikia wategemezi wa CCM. 2020 ndo hii mbinu ya Wapinzani imeisha πππππ
Jiwe anadai amefanya mengi wakati uchaguzi wa serikali za.mitaa tu anaiba.Hizi hearsay zinampotezea muda sana mbowe na kumdangamya, wapiga kura wake ndio wanasema hajafanya kitu , sasa nyie mnaosema kafanya basi tuone uchaguzi ujao wapiga kura watafanya maamuzi gani, huu utetezi wa mtandaobi haumpi kura Mbowe.
Mbowe alitakiwa akae na wananchi wake akiri wapi alizembea na kwa sababu gani, Wananchi ni waelewa sana
Wanaouliza wanajua Mbowe hakusanyi kodi ila anapeleka misaada jimboni kwake kwa kujinyima mshahara wake Yaani Mbowe anatoa hela yake kununua Ambulance wakati wabunge wote wa ccm ambulance zinaletwa na serikali hakuna mbunge wa ccm hata mmoja alonunua ambulance kwa hela yake akapeleka bungeni
Unapaswa kujua kuwa hela sio za CCM kodi ni wanaotoa wananchi wa Tanzania sio ccm HAO CCM hawana hela zozote hela zote ni kodi za wananchiπ π π π ππππ Kumbe ili utoe misaada nilazima usaidiwe na Wana Ccm harafu haohao unaanza kuwatukana duuu; Kumbuka mpaka hata zile double cabin na pikipiki zilitolewa na Mwanaccm Edward Lowasa, na Mbowe naye aliwekwa kuwa Mwenyekiti na Mwanaccm na Baba Mkwe wake aitwaye Mtei. Nilichokigindua ili mambo yaende lazima yatoke Ccm, sasa hapo Wapiga kura tumeelewa CCM inatosha hamna kuhangaikia wategemezi wa CCM. 2020 ndo hii mbinu ya Wapinzani imeisha πππππ
Hizi hearsay zinampotezea muda sana mbowe na kumdangamya, wapiga kura wake ndio wanasema hajafanya kitu , sasa nyie mnaosema kafanya basi tuone uchaguzi ujao wapiga kura watafanya maamuzi gani, huu utetezi wa mtandaobi haumpi kura Mbowe.
Mbowe alitakiwa akae na wananchi wake akiri wapi alizembea na kwa sababu gani, Wananchi ni waelewa sana
ulitikisa vizuri hiyo bongo yako kabla hujapost hii mada? Nyuma ya hiyo unayoiita misaada kuna lililojificha