johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,903
- 141,850
- Thread starter
- #41
Hahahaaaa....... Mwakani kuna uhaba wa ndizi by TMA!Meze kama ww kukosa boma ni aibu
Hahahaaaa....... Mwakani kuna uhaba wa ndizi by TMA!Meze kama ww kukosa boma ni aibu
Wakukamate kwa uleviHahahaaaa....... Mwakani kuna uhaba wa ndizi by TMA!
Wanajua vizuri sana kuwa CHADEMA ndiyo movement kubwa ya upinzani wa kisiasa inayotishia dola. Ni sauti ambayo hata CCM wengi wanaitegemea kuwarudi viongozi wao wanapojisahau na kuzidisha mambo ya ovyo (excesses). CCM kama chama cha siasa is long dead.Mbona hawataki kuruhusu mikutano ya hadhara na tume huru ya uchaguzi kama ni kweli hakuna upinzani? wapuuzi wakubwa
Mmoja wao ni yule alimtoa uhai Wangwe ili kubaki madarakaniWahuni ni wale wanaotumia bunduki na wizi wa kura kubaki madarakani.
Eti mtu kama wewe unaweza kuwa mwanachama, au hata kiongozi kwenye chama cha upinzani; hivi hicho chama kitakuwaje kweli?Kwanini baba ako asianzishe?
Wangwe alitolewa roho na CCM ili kumuangushia Mbowe jumba bovu lakini walishindwa. CCM hii haina tofauti na Bokoharam.Mmoja wao ni yule alimtoa uhai Wangwe ili kubaki madarakani
Usipojiunga na CHADEMA mimi nitapungukiwa na nini? shame on uEti mtu kama wewe unaweza kuwa mwanachama, au hata kiongozi kwenye chama cha upinzani; hivi hicho chama kitakuwaje kweli?
Watu kama nyie ndio mnatufanya sisi tusio na vyama tuione chadema ni genge la wahuni ambao kazi yao kubwa siyo kueneza sera za chama bali kurusha matusi tu huku mitandaoni. I'm sorry for chadema 😢
We kalagabhao!Wangwe alitolewa roho na CCM ili kumuangushia Mbowe jumba bovu lakini walishindwa. CCM hii haina tofauti na Bokoharam.