Mkuu wa Mkoa wa Tabora Ditopile Mzuzuri akamatwa kwa mauaji ya Dereva wa Daladala

MKJJ

Swali zuri lakini turudi kule ambako wengi humu ndani twapenda kufuata referece ni KATIBA ...halafu kuna suala zima la balance of power ambako kwetu hilo ni HARAM lakini having said that najua kuwa BLAIR ni lawyer halikadhalika CLINTON naye alikuwa ni lawyer sasa itabidid tuangalie hilo


DrWho, lakini Blair kwa muda aliokuwa waziri mkuu ni lini alienda mahakamani kupractice law? Hata Clinton analipia kila mwaka ada yake ya uanasheria lakini sijui mara ya mwisho ilikuwa lini yeye kupractice law. Tatizo langu siyo kuwa mwanasheria na mbunge. Tatizo langu ni kuwa mbunge mwenye kuendelea na sheria. Natumaini chama fulani cha wanasheria kinaweza kupinga kitendo cha Mkono kuwa sehemu ya mawakili wakati yeye ni mtunga sheria inayoweza kumuadhibu Dito.

Hivi Mkono akileta mswada bungeni unaosema fundamentally, kuwa sheria ya makosa ya jinai ibadilishwe kitu ambacho kinaweza kuathiri matokeo ya kesi hii nani atamzuia? Naomba Rais kama anasikia amuombe Nimrod awaache wanasheria wengine waishughulikie hii kesi!!
 
Mwanakijiji anasema ukweli kabisa. Baada ya Mheshimiwa Mkono kwenda Bungeni kutunga sheria, hatakiwi kufanya kazi zinazohusiana na sheria nje ya Bunge. Hii ni kuondoa conflict of interests. Kwa sasa hivi hatuwezi kumlaumu kwa vile katiba haimzuii kufanya hivo; wakati wa Azimioa la Arusha asingeruhusiwa. Ndiyo maana tunasema katiba ya nchi inatakiwa kuwa overhauled.
 
Nafikiri hapa kuna tatizo ni moja tu ambalo ningetegemea prosecutors wa serikali wangelalamikia nalo ni Mbunge Mkono, kumtetea mhalifu, kwamba psychologically inaweza kupeleka wrong message kwa mahakimu kuwa serikali iko upande wa Mhalifu Blaza Dito,

Halafu suala la wabunge kuwa wanasheria at the same time, hili nafikiri ni wakati muafaka lizungumzwe wazi kuwa huenda likawa tatizo maana mbunge ni serikali, na mahakimu na prosecutors ni serikali, sasa wanapokutana against each other kwa ajili ya kesi ya Mkuu wa Mkoa aliyeuwa kwa makusudi, Yes kuna problem hapo,

Lakini at the same token lazima pia tuangalie mazingara ya nchi yetu kwa wabunge ambao ni lazima watumie pesa nyingi kuwa swa na wanamajimbo yao, mshahara hautoshi sasa kuwaachisha kazi zao za binafsi, nalo ni tatizo pia?
 
CRIMINAL CASE

DrWHO

Dito kesi ni ya mauaji hivyo anahitaji someone who has expertise in criminal defence because it is a highly specialized area of the law. Angalia hata mwenyewe hajasema kama ni fundi kwa maswala hayo??????

Tazama hapa chini au nenda google tafuta Mkono & Co.


Expertise
Founder and Managing Partner of Mkono & Co. Main areas of practice are international commercial arbitration, banking, corporate restructuring and finance, electricity and gas, commercial litigation, insolvencies, mergers & acquisitions, privatisation/divestitures, debt conversions & rescheduling and corporate taxation. Has handled numerous consortium arrangements, leading a variety of consortia in bids for various acquisitions including the National Bank of Commerce and the Tanzania Telecommunications Company Limited and ZANTEL. Has regularly acted for the Government of Tanzania and major corporations in international commercial arbitrations and litigation. He acts as Honorary Legal Advisor to the British High Commissioner and the Royal Swedish Ambassador.

Career
Managing Partner, Mkono & Company, Advocates since 1977; Company Secretary and Legal Advisor to Tanzania Development Finance Company Limited (TDFL) 1978-1981; Resident Magistrate, Civil and Criminal Jurisdiction 1970 - 1972. Trustee of the Mwalimu Nyerere Foundation and Director of the Eurafrican Bank Limited.

Memberships
F.C.I.S., (UK); Tanganyika Law Society; East Africa Law Society; Zanzibar Law Society; TerraLex.

Education
LL.B, University of East Africa, University College of Dar es Salaam, 1970; Chartered Secretaryship Final Examination (C.I.S.) South West London College, 1975; MA (Bus. Law), Council for National Academic Awards, City of London Polytechnic, 1976.

Published works
"Agency and Distributorship in Tanzania" in Adam Fremantle, Commercial Agencies and Distributorship: An International Guide Prentice Hall Law & Business, 1993.


________________________
Dua la kuku halimpati mwewe
 
CRIMINAL CASE

DrWHO




Expertise
He acts as Honorary Legal Advisor to the British High Commissioner and the Royal Swedish Ambassador.




________________________
Dua la kuku halimpati mwewe




Kwa maneno mengine yeye ndio anatetea balozi hizi kuwanyima watu visa kwenda UK na Sweden au vipi?

Lile faili lake lingine mbona halijaekwa OPEN?
 
Es,Dua na wengine,
Mkono sio anafanya bure kwa vile anapesa nyingi au kuna mkono wa serikali, ila dada yake Ditopile ni mfanyakazi wa Mkono kwa muda mrefu, yeye ndio secretary wake, sasa kaka yake anapopata matatizo lazima Mkono amsaidie, uliza Mwazani Ditopile ni nani katika Mkono& company.
 
Nilisahau kitu kimoja Mkono alibebwa sana na mwl nyerere na tenda zote zaserikali za kisheria alipewa yeye, hapo ndipo alipoinuka,kwani serikali ilikuwa inabana watu kupractice sheria, ilikuwa deal kubwa kupata uwakili. na waliopata hawakuwa wanapata kesi nono za serikali.
Mkono alipata mwanya huo. yeye kama Mkono sio mkali wa sheria ila nyuma yake ana kundi la akina DR.Mapunda na kadhalika hapo ni copy na kupaste.
 
Nilisahau kitu kimoja Mkono alibebwa sana na mwl nyerere na tenda zote zaserikali za kisheria alipewa yeye, hapo ndipo alipoinuka,kwani serikali ilikuwa inabana watu kupractice sheria, ilikuwa deal kubwa kupata uwakili. na waliopata hawakuwa wanapata kesi nono za serikali.
Mkono alipata mwanya huo. yeye kama Mkono sio mkali wa sheria ila nyuma yake ana kundi la akina DR.Mapunda na kadhalika hapo ni copy na kupaste.
 
Kwa kweli kitendo Mkono kuingia katika hii kesi kimenishangaza! Japo akina Ringo wameajiriwa na Kampuni yake?

Tumekwisha!!!!!!!
 
Mkuyuga
Principle ya law of Natural justice ina mpa nafasi Dito kuwa na legal team anayoitaka,
ila DR.ringo Tenga hafanyi kampuni ya mkono.
 
Hivi huyu mzee Mkono huwa anendesha ile ndege yake mwenyewe au ameajiri full-time pilot?
 
Tunavyoliwa

Kama umepewa ulaji. Quote ‘Has handled numerous consortium arrangements, leading a variety of consortia in bids for various acquisitions including the National Bank of Commerce and the Tanzania Telecommunications Company Limited and ZANTEL'. Maana yake hakuna wengine wanaoweza kufanya kazi kama hizo ni yeye tu Bongo. Kulikoni????? Mhmmmmmm???????? Sio Bure………………………………………


___________________________
Dua la kuku halimpati mwewe
 
Nafikiri hapa kuna tatizo ni moja tu ambalo ningetegemea prosecutors wa serikali wangelalamikia nalo ni Mbunge Mkono, kumtetea mhalifu, kwamba psychologically inaweza kupeleka wrong message kwa mahakimu kuwa serikali iko upande wa Mhalifu Blaza Dito,

Halafu suala la wabunge kuwa wanasheria at the same time, hili nafikiri ni wakati muafaka lizungumzwe wazi kuwa huenda likawa tatizo maana mbunge ni serikali, na mahakimu na prosecutors ni serikali, sasa wanapokutana against each other kwa ajili ya kesi ya Mkuu wa Mkoa aliyeuwa kwa makusudi, Yes kuna problem hapo,

Lakini at the same token lazima pia tuangalie mazingara ya nchi yetu kwa wabunge ambao ni lazima watumie pesa nyingi kuwa swa na wanamajimbo yao, mshahara hautoshi sasa kuwaachisha kazi zao za binafsi, nalo ni tatizo pia?


SHERIA NA KANUNI ZA BUNGE

Sheria za Bunge Tanzania zinasema nini kuhusu Mbunge kufanya kazi ya uwakili au kazi nyingine yeyote wakati wa kipindi chake bungeni?

Natumaini kama tukipata kifungu kinachowabana wabunge kama kipo – Vinginevyo hatuwezi kesema lolote.

Tanzania anybody with sheria na kanunu za Bunge? Please tuwekee copy kama ipo link if possible.


______________________________
Dua la kuku halimpati mwewe
 
Bado ninasimamia point yangu kuwa Mkono, anatumwa na "mkono mzito" kusimamia hii kesi, pamoja na sababu ya kimsingi ya dada wa Blaza Dito kuwa ofisini kwake,

Muulize Dr. Kitine, nani anaye-run the show bongo kati ya sheria na wanasiasa, ni wanasiasa wa CCM ndio wanao-run the show bongo, kitendo cha Mkono kuingia kichwa kichwa hii kesi ni lazima kina baraka toka kwa some politician au a politician, kwa sababu ni kitendo cha kuweka career yake politically, kisheria, na biashara zake kwenye line!

Na yeye binafsi anaijua bongo kuliko, kwa hiyo haiwezekani kabisaaa kuwa ameingia tuu for the sake ya utetezi kwa sababu ni mwanasheria, No Way! na tunajua better, isipokuwa tu chenye mwanzo huwa lazima kiwe na mwisho, na kwa bahati mbaya mwisho wa viongozi corrupt huja bila barua,

Unless, prosecutors wasifanye kazi yao kwenye hii kesi, maana ukweli ni kwamba kuna pattern ya Blaza Dito na Bastola, tena siku moja kabla hajaitumia alikuwa tayari amemtishia nayo mkewe, na huko nyuma tayari alishawahi kupiga risasi matairi ya gari la mwananchi mmoja, halafu tena alishawahi kuzipiga hewani kuwatisha wananchi, kwa hiyo nilitegemea Mzee kama Mkono atakuwa makini kutojiingiza na kitu kama hiii ambayo wazi kuwa imekuwa ni tabia ya Blaza Dito kucheza cheza na Bastola,

Lakini tunajua kuwa Mzee Mkono sio mjinga, ni lazima ana baraka za mzito mmoja au wengi, lakini aangallie usije ukawa mtego wa panya ambao huingiza waliokuwemo na wasiokuwemo, ARROGANCE ndiyo imemfikisha Blaza Dito hapo alipo, I hope siyo the same ARROGANCE inayomfanya Mzee Mkono aingie kichwa kichwa,

maana kama Human Right Watch Dogs & NGO's walivyomwambia Rais JK, kuwa kwenye hili wote wako macho kuona haki inatendeka!

Ni haki ya Mkono kumtetea Blaza Dito, lakini pia ni haki ya wananchi kuuliza Mwanasheria mbunge, anapokwenda kumtetea Mkuu wa Mkoa, aliyeuwa kwa makusudi!, tena dereva wa basi la walalahoi!
 
Back
Top Bottom