Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
Mhhhhh
haya
haya
Kwa hiyo basically Ditopile ametupunguzia threat level ya hawa daladala kwa kutuondolea mmoja ambaye (why lie) had the potential ya kuua?quarz said:mkandara, ni wapi nimeongea hiyo statement uliyoandika,
ni wazi kuwa hujanielewa.
nimekuambia isu hii ni moja ya dalili tu ya mambo mengi yaliyojificha katika suala zima la usafiri dar es salaam, madaladala ni kero namba moja ya usafiri dar,soma pia hiyo post ya mwanakijiji kuhusu mkuu wa mkoa wa dodoma ameongelea kero hizo na pia
ningekushauri ufanye utafiti kwa mwaka mzima tangu uanze ni watu wangapi wamepoiteza maisha kutokana na jali zinazosababishwa na watu wadaladala.
Kisha ukaendelea na maelezo mengine uliyoandika hapo juu..katika hii isu ya ditopile intetion yangu ni kuangalia mambo kwa upana wake,ningependa tuende mbele zaidi kuangalia the root courses of the problems ambazo hilo tatizo moja la ditopile ni dalili ya matatizo mengi yaliyojificha ndani yake.
i agree kabisa, it was cold blooded murder, 2 shots...Ogah said:quarz,
kuua ni kuua, Dito ameua NA ALAANIWE full stop. Madereva wa daladala ndio ni wakorofi lakini huwezi kujustfy KOSA kwa kutumia KOSA.
Wananchi pia wanakufa na wanaendelea kufa kwa kuwa Viongozi wengine wametuingiza kwenye MIKATABA BOMU, huyo DITO et al wako unaowatetea akiwemo huyo LUKUVI ni KERO SANA KWA WANANCHI lakini haimaanishi leo quarz ukachukue bastola na kwenda kumuua Mr DITO AU LUKUVI eti kwa kuwa walituingiza Mikataba Bomu, Sera Mbovu na matokeo yake hadi leo tunashindwa kudhibiti hata na Malaria na watu wanakufa vilevile
Quarz, wee waangalie tu hao viongozi, they are no longer killing us softly (Mikataba Feki, Rushwa, embazzlement nk), they are now killing us HARD with bullets, Umeme nk.
Quarz umeshawahi kumsikia KINJE? RUPIA? KILONTSI (sasa hivi mwakilishi wetu EU pale Brussels)? na yule Kamishna wa polisi (I think Aziz......correct me if im wrong) aliyeua na baadaye kupelekwa Canada, Hawa wote wamekuwa ni kero na wanapeta mitaani wakati madereva wa daladala walioua wanasota keko, sasa hapo sijui akina "Mbonde" (walalahoi) nao wachukue bastola na kuwa-shoot hao?
mkuyuga said:quart acha upuzi wako we!
sis tumepotelewa na ndugu yetu wewe unakuja na msalahi ya kipuuzi.
Tunathamini gari kuliko maisha ya mtu!
Pia sheria zipo kama serkali yenyewe imeshindwa kuwabana madreva wakorofi na wahuni, ni nani wa kulaumiwa kutokana na ajari ni serikali kushindwa kazi au madreva!!!
Stop upuuzi wako huo. Kama angekuwa ndugu yako ungesema hivyo!
Ni kweli madreva wanasababisha ajali lakini unafiriki serikali iko makini kuwabana?
Mbona nchi nyingine madreva waoga na wanajua sheria zipo na zinatekelezwa!
serikali ya tanzania badala ya kuwabana mdreva mara wanakuja na uhuni kama wa Sumaye eti speed Governer etc. Huku kote ni kushindwa kuendesha nchi!
Stop that nonsense argument.