Ukiwaangalia kwa makini wafuasi wa Trump na wale wa Bobi Wine utagundua kuwa Tundu Lissu hana wafuasi bali mashabiki!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
82,754
139,571
Tundu Lisu baada tu ya matokeo ya uchaguzi mkuu kutangazwa alikimbilia ubalozi wa Germany kisha JNIA kukwea pipa na kurudi zake Ubelgiji.

Hakuna kamanda yoyote kutoka Chadema aliyejitokeza kumtetea Lisu zaidi ya akina Mrangi, tindo, Mmawia, erythrocyte na salary slip waliokuwa wanampigania hapa JF na ID fake.

Nimefuatilia namna wafuasi wa Trump wa Marekani na wale wa Bobi Wine wa Uganda walivyojitokeza hadharani kutetea madai ya wagombea wao nikagundua Tanzania hakuna wapinzani bali Chumia Tumbo watupu mabingwa wa kuongea.

Kiukweli Nyerere hakuwa sahihi sana kukubaliana na wale 20% waliotaka mfumo wa vyama vingi vya siasa kwa sababu Tanzania bado sana kufikia level hizo.

Maendeleo hayana vyama!
 
Pale nyani waliposhangilia mwenye shamba kufa ndio ambavyo familia ya kijani ilishangilia kubaki wenyewe sasa wanakosa wakumtupia mpira bali mnyukano wa wao kwa wao na nyani wakajikuta msimu uliofuata hawana pa kushibisha matumbo yao ! 5 Zaidi akikataa tumlazimishe au nasema uongo ndugu zangu?
 
Kwa kweli Tundu Lissu siyo kabisa! Kushambuliwa kwa risasi haliwezi kuwa sababu ya kutokulitakia mema Taifa letu wote.

Anasikiliza makaburu zaidi kuliko kuwa mzalendo wa nchi yetu! Kwa kifupi Lisu ameharibika!!
 
Tundu Lisu baada tu ya matokeo ya uchaguzi mkuu kutangazwa alikimbilia ubalozi wa Germany kisha JNIA kukwea pipa na kurudi zake Ubelgiji.

Hakuna kamanda yoyote kutoka Chadema aliyejitokeza kumtetea Lisu zaidi ya akina Mrangi, tindo, Mmawia, erythrocyte na salary slip waliokuwa wanampigania hapa Jf na id fake.

Nimefuatilia namna wafuasi wa Trump wa Marekani na wale wa Bobi Wine wa Uganda walivyojitokeza hadharani kutetea madai ya wagombea wao nikagundua Tanzania hakuna wapinzani bali Chumia Tumbo watupu mabingwa wa kuongea.

Kiukweli Nyerere hakuwa sahihi sana kukubaliana na wale 20% waliotaka mfumo wa vyama vingi vya siasa kwa sababu Tanzania bado sana kufikia level hizo.

Maendeleo hayana vyama!
Hakika umenena ukweli utuume
 
Yule lafa aliyelazimisha kugombea urais chadema alipogalagazwa akajaribu kuitisha maandamano wafuasi wake wakaingia mitini, naye kwa kuwakomoa akasepa kwenda ubeberuni kwa shoga yake amsitadamu.
Mbona una nistua, kwani Amsterdam ni beberu lake Lissu? Kwa hiyo Amsterdam ni shemeji ya watanzania.?
 
Ugombea uraisi wenyewe Lisu ali force tu .Kamati kuu ilimpiga chini.Sababu wanamjua kelele tu nyingi lakini.kisiasa hamna kitu.Lkini kura chache alizopata na maandamano aliyoitisha yaliyogomewa ni.medeji send kwake tosha kuwa Tanzania he is nobody kwenye politics

Walimshinda hata akina mnyika waliitisha mgomo wa mabasi wakaungwa mkono na mashinji aliitisha mgomo wa Madaktari ukalipuka yeye akaitisha maandamano yakabuma akaishia kutimkia kulala jikoni jiko la nje servant quartet ya nyumba ya balozi wa ujerumani
 
Tundu Lisu baada tu ya matokeo ya uchaguzi mkuu kutangazwa alikimbilia ubalozi wa Germany kisha JNIA kukwea pipa na kurudi zake Ubelgiji.
Hakuna kamanda yoyote kutoka Chadema aliyejitokeza kumtetea Lisu zaidi ya akina Mrangi, tindo, Mmawia, erythrocyte na salary slip waliokuwa wanampigania hapa Jf na id fake.

Nimefuatilia namna wafuasi wa Trump wa Marekani na wale wa Bobi Wine wa Uganda walivyojitokeza hadharani kutetea madai ya wagombea wao nikagundua Tanzania hakuna wapinzani bali Chumia Tumbo watupu mabingwa wa kuongea.

Kiukweli Nyerere hakuwa sahihi sana kukubaliana na wale 20% waliotaka mfumo wa vyama vingi vya siasa kwa sababu Tanzania bado sana kufikia level hizo.

Maendeleo hayana vyama!
Utajua hujui soon!
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom