Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,980
Umeandika WILL ukawaweka wanao then wakapata habari kuwa wao ndio warithi, wakaweka njama wakakuondoa Dunia, baada ya uchunguzi wanabainika ndio waliokuua. Wanafikishwa mahakamani, mmoja anapatikana na hatia ya mauaji wapili anapatikana na hatia yakupanga mauaji.
Hukumu Inatoka kwa miaka ishirini dhidi ya kifungo Cha maisha. Mtoto wa tatu anakutwa hana Wanafungwa hatia, je kisheria bado wote watatu wataendelea kuhesabika Kama warithi?
Hukumu Inatoka kwa miaka ishirini dhidi ya kifungo Cha maisha. Mtoto wa tatu anakutwa hana Wanafungwa hatia, je kisheria bado wote watatu wataendelea kuhesabika Kama warithi?