Ukiwa Shabiki wa Yanga, unakuwa na wakati mgumu sana

Masokotz

JF-Expert Member
Nov 26, 2018
3,495
5,529
Mashabiki wa Yanga wanao wakati mgumu sana:

  1. Kwanza siku ya Valentine lazima watinge Jezi za Simba One love.Kama unabisha waulize
  2. Pili wanajikuta katika wakati mgumu kwa sababu sio washabiki wala wanachama wa CCM yaani ni shida zaidi
  3. Tatu Subiri matokeo yakitoka,hakuna cha kushangilia
Nashangaa sana watu wanaoshabikia Yanga
 
Itakua wanashindwa kujitoa kwa kuona aibu wanaamua kufa na tai shingoni halafu wakiwa ugenini usikute wanajifanya sio mashabiki, kushabikia yanga taabu sana, yan ukiifurahia leo kesho jua maumivu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom