Masokotz
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 3,495
- 5,529
Mashabiki wa Yanga wanao wakati mgumu sana:
- Kwanza siku ya Valentine lazima watinge Jezi za Simba One love.Kama unabisha waulize
- Pili wanajikuta katika wakati mgumu kwa sababu sio washabiki wala wanachama wa CCM yaani ni shida zaidi
- Tatu Subiri matokeo yakitoka,hakuna cha kushangilia