Nimeshtushwa Na kauli za Viongozi Wa CCM kumtukana Lowassa Na kumwona in mhalifu kupita wote ndani ya CCM.
Ninachokubaliana nacho ni kuwa ukiwa ndani ya CCM, hata kama uko jela kwa kubaka, CCM itakusifia sana, lakini ukitoka, hata kama ni makamu wa rais utazushiwa uongo wa ajabu.
Ninachokubaliana nacho ni kuwa ukiwa ndani ya CCM, hata kama uko jela kwa kubaka, CCM itakusifia sana, lakini ukitoka, hata kama ni makamu wa rais utazushiwa uongo wa ajabu.