GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,544
- 108,865
Una
1. Kazi nzuri inayokupa Jeuri zote
2. Elimu Kubwa ya PhD wakati Adui yako ana Masters tu
3. Pesa nyingi hadi zingine hujui umpe nani
4. Ogopeka kwa Ukali pamoja na Ubabe wako
5. Afya yako ya Nje ni njema japo ya ndani ni Siri yako na Daktari wako
6. Wanawake wengi na hawakukatai Ukiwatongoza au hata Ukiwapora kutoka kwa Waume zao
7. Unalindwa na Kampuni Kubwa sana ya Ulinzi Tanzania yenye Makao Makuu yake nchini Rwanda
Je, ni halali kabisa kwa Mimi GENTAMYCINE ambaye nina 'Uadui' na mwenye navyo vyote tajwa hapa juu na nikiwa ni 'Masikini' mno Kuogopwa?
1. Kazi nzuri inayokupa Jeuri zote
2. Elimu Kubwa ya PhD wakati Adui yako ana Masters tu
3. Pesa nyingi hadi zingine hujui umpe nani
4. Ogopeka kwa Ukali pamoja na Ubabe wako
5. Afya yako ya Nje ni njema japo ya ndani ni Siri yako na Daktari wako
6. Wanawake wengi na hawakukatai Ukiwatongoza au hata Ukiwapora kutoka kwa Waume zao
7. Unalindwa na Kampuni Kubwa sana ya Ulinzi Tanzania yenye Makao Makuu yake nchini Rwanda
Je, ni halali kabisa kwa Mimi GENTAMYCINE ambaye nina 'Uadui' na mwenye navyo vyote tajwa hapa juu na nikiwa ni 'Masikini' mno Kuogopwa?