Airmanula
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 3,741
- 5,226
Acha kujishusha kiboya ..you dont need to beg someone for elfu kumi ..huku jf mbwembwe nyingi mtu anaandika thread yuko juani anatokwa jashowhat if am serious?
Hakuna mtu mzima mwenye pesa zake anakuja kwenye social networks kubrag about kua na range rover, na kutakwa na askari polisi mwenye njaa zake..na wewe mwanaume mwenzangu unajishusha kias hicho ili upewe elfu kumi?