Ukiwa na vitu hivi halafu upo hivi, Utawamaliza wanawake kwa kweli

what if am serious?
Acha kujishusha kiboya ..you dont need to beg someone for elfu kumi ..huku jf mbwembwe nyingi mtu anaandika thread yuko juani anatokwa jasho
Hakuna mtu mzima mwenye pesa zake anakuja kwenye social networks kubrag about kua na range rover, na kutakwa na askari polisi mwenye njaa zake..na wewe mwanaume mwenzangu unajishusha kias hicho ili upewe elfu kumi?
 
Acha kujishusha kiboya ..you dont need to beg someone for elfu kumi ..huku jf mbwembwe nyingi mtu anaandika thread yuko juani anatokwa jasho
Hakuna mtu mzima mwenye pesa zake anakuja kwenye social networks kubrag about kua na range rover, na kutakwa na askari polisi mwenye njaa zake..na wewe mwanaume mwenzangu unajishusha kias hicho ili upewe elfu kumi?
Aha kwahiyo unafikiri niko serious?
Nimemsoma huyu ndugu tangu last year najua hapa anafake life tu.
Kama ningekuwa na shida kweli ningemfata pm.
It is just a joke.
 
B
mtanisamehe kwa ninyi ambao ninapozungumzia maisha mazuri huwa mnakasirika. mtanisamehe maana ndo experience niliyo nayo. ni ngumu sana kwa mtu mvuvi kuzungumzia vizuri habari za kilimo.no ilivyo kwangu napata shida sana kuzungumzia shida na matatizo sababu sijawahi kukutana nayo zaidi zaidi nilipokuwa mdogo mama anasema nlikuwa nasumbua sana hasa kunywa maziwa na mayai.

jana nlitoka ofisini nikawa nimeamua nikale KFC na kufanya mizunguko kadhaa nikaja kutoke mataa ya pale Posta Akiba. ile sehemu nshishaijua kitambo kuna traffic washaifanya kitega uchumi. so wanasubiria tu ukichelewa kidogo kwenye taa ukawa unapita huku zinaishia wanakupiga mkono uwaachie chochote au wakuandikie.

alinikamata dada mmoja jana akidai nimepita wakati taa ya njano imewaka. mimi nlikuwa wa pili kutoka mwisho.sijui sababu ni nini akaona anikamate mimi mwenye Range Rover amwache jamaa aliyekuwa na Subaru nyuma yangu.nimepita nikaona ananipiga mkono... nikacheck nyuma nikaona kuna subaru nayo ipo inakuja nikajua labda anaisimamisha subaru.

nikaamua kutii sheria bila shuruti. nika indicate kushoto akanionesha nisimame pembeni ambako nipandishe nguzo za barabara.nikagoma nikasimama barabarani ila pembeni.mdada akaja mwenyewe kwa maringo akitingisha mwili... alikuwa mdada mweusi mrefu kiasi,kiuno chembamba na hips zimejitokeza.

sikuzima gari nikawa namsubiria akaaanza na kuchukua namba ya gari kuingiza kwenye kimashine chake. baadaye akaja kuangalia kwenye kioo na mwishowe akaja kugonga akitaka nishushe kioo.nikashusha kioo cha abiria. alinisalimia habari yako boss@ nikamjibu kifupi tu 'salama'
afande; unajua kosa lako?
mimi : hapana
afande; umevuka wakati taa nyekundu zimewaka
mimi; si kweli. nimevuka wakati taa za kijani zimeruhusu
afande; boss unabisha na mimi nimekuona ndugu yangu... naomba leseni nikuandikie;
mimi: huna cha kuniandikia, na leseni nimeisahau ofisini ukihitaji ntakupatia ila sina kosa.
afande; unaendeshaje gari bila leseni?
mimi: fande kwani sheria inasemaje kuhusu mtu anaposhindwa onesha leseni kwa wakati huo unapohitaji?
afande; kwa hiyo umekataa kulipia kosa la kuvuka wakati wa red right (akimaanisha red light)
mimi: afande xxxx (baada ya kusoma jina lake) nachelewa kazini. sina kosa na kama una ushahidi nioneshe nilipe haraka nataka kuondoka. kama ni suala la leseni twende ofisini.
afande: fatu... naondoka na huyu mheshimiwa kwenda kituoni nakuja...
akapanda kwenye gari.
mimi: funga mkanda
afande: unanijali eeeehhh.... haya boss mjeuri
mimi: tunaenda kituoni au wapi
afande: mi njaa inaniuma unataka unizungushe mpaka wapi au unataka unipeleke kwako ?
mimi: chukua biznez kadi yangu hii nitafute jioni tuzungumze huu ugomvi wetu unaishaje nikatoa nikampa akanambia niende nikamwache pale serena hotel atanitafuta baadaye.

jioni kweli alinitafuta amechangamka kweli na kuuliza nipo wapi ili tukutane tuongee... yule afande nimesha mwona ni mtu ambaye kabisa ametamani kuwa na mahusiano na mimi. usiku katuma meseji ananiita dear. anataka nikilala nimwote n.k aliaanza kuniuliza nisije mgombanisha na mke wangu.. nlimwambia bado sijaoa. akataka kujua nataka kuoa mke mwenye sifa zipi anafanya kazi gani.

kiufupi huyu dada tayari ameshakuwa ina love with either me au gari na mwonekano wangu. najiuliza naweezaje ku date mdada mwenye akili kama hii? huyu si ni tatizo tayari?leo nmemtumia tsh 50,000 ya lunch. nikamwambia nipo busy kidogo na vikao ofisini but when i am done nitamtafute mimi mwenyewe.kajibu meseji 'thank you love' just like that? ni mdada mzuri sikatai but kichwani nshamwona hana akili.

ukiwa na gari kali,pesa, mwonekano mzuri utawapanga saa wanawake wapumbavu utabadili tu rangi,maumbo,makabila,dini n.k wanawake kuweni akili .sisi wengine hatupendi ku date wanawake wapumbavu. maana nasikia waaambukiza upumbavu.
Bila shaka wewe ni jirani yake Mseven na Paul Kagame.
 
mtanisamehe kwa ninyi ambao ninapozungumzia maisha mazuri huwa mnakasirika. mtanisamehe maana ndo experience niliyo nayo. ni ngumu sana kwa mtu mvuvi kuzungumzia vizuri habari za kilimo.no ilivyo kwangu napata shida sana kuzungumzia shida na matatizo sababu sijawahi kukutana nayo zaidi zaidi nilipokuwa mdogo mama anasema nlikuwa nasumbua sana hasa kunywa maziwa na mayai.

jana nlitoka ofisini nikawa nimeamua nikale KFC na kufanya mizunguko kadhaa nikaja kutoke mataa ya pale Posta Akiba. ile sehemu nshishaijua kitambo kuna traffic washaifanya kitega uchumi. so wanasubiria tu ukichelewa kidogo kwenye taa ukawa unapita huku zinaishia wanakupiga mkono uwaachie chochote au wakuandikie.

alinikamata dada mmoja jana akidai nimepita wakati taa ya njano imewaka. mimi nlikuwa wa pili kutoka mwisho.sijui sababu ni nini akaona anikamate mimi mwenye Range Rover amwache jamaa aliyekuwa na Subaru nyuma yangu.nimepita nikaona ananipiga mkono... nikacheck nyuma nikaona kuna subaru nayo ipo inakuja nikajua labda anaisimamisha subaru.

nikaamua kutii sheria bila shuruti. nika indicate kushoto akanionesha nisimame pembeni ambako nipandishe nguzo za barabara.nikagoma nikasimama barabarani ila pembeni.mdada akaja mwenyewe kwa maringo akitingisha mwili... alikuwa mdada mweusi mrefu kiasi,kiuno chembamba na hips zimejitokeza.

sikuzima gari nikawa namsubiria akaaanza na kuchukua namba ya gari kuingiza kwenye kimashine chake. baadaye akaja kuangalia kwenye kioo na mwishowe akaja kugonga akitaka nishushe kioo.nikashusha kioo cha abiria. alinisalimia habari yako boss@ nikamjibu kifupi tu 'salama'
afande; unajua kosa lako?
mimi : hapana
afande; umevuka wakati taa nyekundu zimewaka
mimi; si kweli. nimevuka wakati taa za kijani zimeruhusu
afande; boss unabisha na mimi nimekuona ndugu yangu... naomba leseni nikuandikie;
mimi: huna cha kuniandikia, na leseni nimeisahau ofisini ukihitaji ntakupatia ila sina kosa.
afande; unaendeshaje gari bila leseni?
mimi: fande kwani sheria inasemaje kuhusu mtu anaposhindwa onesha leseni kwa wakati huo unapohitaji?
afande; kwa hiyo umekataa kulipia kosa la kuvuka wakati wa red right (akimaanisha red light)
mimi: afande xxxx (baada ya kusoma jina lake) nachelewa kazini. sina kosa na kama una ushahidi nioneshe nilipe haraka nataka kuondoka. kama ni suala la leseni twende ofisini.
afande: fatu... naondoka na huyu mheshimiwa kwenda kituoni nakuja...
akapanda kwenye gari.
mimi: funga mkanda
afande: unanijali eeeehhh.... haya boss mjeuri
mimi: tunaenda kituoni au wapi
afande: mi njaa inaniuma unataka unizungushe mpaka wapi au unataka unipeleke kwako ?
mimi: chukua biznez kadi yangu hii nitafute jioni tuzungumze huu ugomvi wetu unaishaje nikatoa nikampa akanambia niende nikamwache pale serena hotel atanitafuta baadaye.

jioni kweli alinitafuta amechangamka kweli na kuuliza nipo wapi ili tukutane tuongee... yule afande nimesha mwona ni mtu ambaye kabisa ametamani kuwa na mahusiano na mimi. usiku katuma meseji ananiita dear. anataka nikilala nimwote n.k aliaanza kuniuliza nisije mgombanisha na mke wangu.. nlimwambia bado sijaoa. akataka kujua nataka kuoa mke mwenye sifa zipi anafanya kazi gani.

kiufupi huyu dada tayari ameshakuwa ina love with either me au gari na mwonekano wangu. najiuliza naweezaje ku date mdada mwenye akili kama hii? huyu si ni tatizo tayari?leo nmemtumia tsh 50,000 ya lunch. nikamwambia nipo busy kidogo na vikao ofisini but when i am done nitamtafute mimi mwenyewe.kajibu meseji 'thank you love' just like that? ni mdada mzuri sikatai but kichwani nshamwona hana akili.

ukiwa na gari kali,pesa, mwonekano mzuri utawapanga saa wanawake wapumbavu utabadili tu rangi,maumbo,makabila,dini n.k wanawake kuweni akili .sisi wengine hatupendi ku date wanawake wapumbavu. maana nasikia waaambukiza upumbavu.
JF bwana!
 
Hii ndiyo aina ya wavulana/wanaume tulionao kwa sasa kwenye jamii. Uwe na range au na meli I really don't give a f'ck! Shida yangu ni kwamba unaanzaje kuja kuropoka hapa eti unapendwa mwanaume mzima kabisa na ndevu zako! Hivi ni vitu private sana hatukuhitaji kuvijua kutoka kwako zaidi ya Ku expose ufala wako tuu! Mwanaume lazima uwe na pafu bana. Mambo madogo kama haya unakuja kulialia mitandaoni..... Ili upate likes ama nini?

NB: Sijapanic usije sema povu.... Nimeandika huku nacheeeka!!!!
Bro mapovu sana punguza munkari jamaa kaelezea tu uhalisia aliouona ili tujichunge ipo siku nawe una push gari kama hiyo mkuu
 
mtanisamehe kwa ninyi ambao ninapozungumzia maisha mazuri huwa mnakasirika. mtanisamehe maana ndo experience niliyo nayo. ni ngumu sana kwa mtu mvuvi kuzungumzia vizuri habari za kilimo.no ilivyo kwangu napata shida sana kuzungumzia shida na matatizo sababu sijawahi kukutana nayo zaidi zaidi nilipokuwa mdogo mama anasema nlikuwa nasumbua sana hasa kunywa maziwa na mayai.

jana nlitoka ofisini nikawa nimeamua nikale KFC na kufanya mizunguko kadhaa nikaja kutoke mataa ya pale Posta Akiba. ile sehemu nshishaijua kitambo kuna traffic washaifanya kitega uchumi. so wanasubiria tu ukichelewa kidogo kwenye taa ukawa unapita huku zinaishia wanakupiga mkono uwaachie chochote au wakuandikie.

alinikamata dada mmoja jana akidai nimepita wakati taa ya njano imewaka. mimi nlikuwa wa pili kutoka mwisho.sijui sababu ni nini akaona anikamate mimi mwenye Range Rover amwache jamaa aliyekuwa na Subaru nyuma yangu.nimepita nikaona ananipiga mkono... nikacheck nyuma nikaona kuna subaru nayo ipo inakuja nikajua labda anaisimamisha subaru.

nikaamua kutii sheria bila shuruti. nika indicate kushoto akanionesha nisimame pembeni ambako nipandishe nguzo za barabara.nikagoma nikasimama barabarani ila pembeni.mdada akaja mwenyewe kwa maringo akitingisha mwili... alikuwa mdada mweusi mrefu kiasi,kiuno chembamba na hips zimejitokeza.

sikuzima gari nikawa namsubiria akaaanza na kuchukua namba ya gari kuingiza kwenye kimashine chake. baadaye akaja kuangalia kwenye kioo na mwishowe akaja kugonga akitaka nishushe kioo.nikashusha kioo cha abiria. alinisalimia habari yako boss@ nikamjibu kifupi tu 'salama'
afande; unajua kosa lako?
mimi : hapana
afande; umevuka wakati taa nyekundu zimewaka
mimi; si kweli. nimevuka wakati taa za kijani zimeruhusu
afande; boss unabisha na mimi nimekuona ndugu yangu... naomba leseni nikuandikie;
mimi: huna cha kuniandikia, na leseni nimeisahau ofisini ukihitaji ntakupatia ila sina kosa.
afande; unaendeshaje gari bila leseni?
mimi: fande kwani sheria inasemaje kuhusu mtu anaposhindwa onesha leseni kwa wakati huo unapohitaji?
afande; kwa hiyo umekataa kulipia kosa la kuvuka wakati wa red right (akimaanisha red light)
mimi: afande xxxx (baada ya kusoma jina lake) nachelewa kazini. sina kosa na kama una ushahidi nioneshe nilipe haraka nataka kuondoka. kama ni suala la leseni twende ofisini.
afande: fatu... naondoka na huyu mheshimiwa kwenda kituoni nakuja...
akapanda kwenye gari.
mimi: funga mkanda
afande: unanijali eeeehhh.... haya boss mjeuri
mimi: tunaenda kituoni au wapi
afande: mi njaa inaniuma unataka unizungushe mpaka wapi au unataka unipeleke kwako ?
mimi: chukua biznez kadi yangu hii nitafute jioni tuzungumze huu ugomvi wetu unaishaje nikatoa nikampa akanambia niende nikamwache pale serena hotel atanitafuta baadaye.

jioni kweli alinitafuta amechangamka kweli na kuuliza nipo wapi ili tukutane tuongee... yule afande nimesha mwona ni mtu ambaye kabisa ametamani kuwa na mahusiano na mimi. usiku katuma meseji ananiita dear. anataka nikilala nimwote n.k aliaanza kuniuliza nisije mgombanisha na mke wangu.. nlimwambia bado sijaoa. akataka kujua nataka kuoa mke mwenye sifa zipi anafanya kazi gani.

kiufupi huyu dada tayari ameshakuwa ina love with either me au gari na mwonekano wangu. najiuliza naweezaje ku date mdada mwenye akili kama hii? huyu si ni tatizo tayari?leo nmemtumia tsh 50,000 ya lunch. nikamwambia nipo busy kidogo na vikao ofisini but when i am done nitamtafute mimi mwenyewe.kajibu meseji 'thank you love' just like that? ni mdada mzuri sikatai but kichwani nshamwona hana akili.

ukiwa na gari kali,pesa, mwonekano mzuri utawapanga saa wanawake wapumbavu utabadili tu rangi,maumbo,makabila,dini n.k wanawake kuweni akili .sisi wengine hatupendi ku date wanawake wapumbavu. maana nasikia waaambukiza upumbavu.
Mkuu, piga shoo nae tena akiwa amevaa gwanda. Unapandisha tu sketi yake juu.
Nenda pia kwa yule wa pale njia panda ya barack obama na ally hassan mwinyi mida ya jioni, ana zigo haswa alafu hajichubui. Akikuona na gari na swaga lako nae atafall nawe.
 
Back
Top Bottom