Ukiwa na tabia hizi, jiandae kuwa middle class na kuteseka ki uchumi!

achana nae..hawa wamekariri maisha...!!yani mie na degree yangu nliyosotea kwa tabu nikae nakimbizana na bodaboda na daladala...wakat kuna vitz za milioni 4?aka mie!!!nyumba nitajenga tu kwani nalala nje?anipishe huko......kazi nafanya na biashara nafanya..ana jingine?

True kabisa tena umenyuka suite yako ya kazi na heels unakimbilia daladala usiombe mvua inyeshe weweee ,kamata vitz kula kiyoyozi saafii
 
Kwa Arusha sawa ila siyo Dar, kodi za nyuma zimepanda sana, mfano mfanyakazi, upate pesa yako ya kujikimu, ufungue biashara, kisha uanze kulipa kodi mbili, pakuishi na biashara, at the same time unakatwa deni la mkopo, utaendelea kukopa ili ulipe nyumba tu, faida haitatosha ulipe pango la biashara, mfanyakazi na nyumba ya kuishi maana mshahara utakaobaki sana sana utaendeshea maisha yako, kujenga nyumba unaweza kujenga pole pole na si nyumba nzima, baada ya hapo badala ya kulipa kodi ndiyo unafungua investment.
 
kuinvest kwenye miradi si jambo dogo kama ambavyo wengi tunalitazamia. Uwezo wa kutake risk unategemea mtu na mtu. Mimi niliwahi kuwafanya biashara japo ndogondogo ya kwanza ilikufa na mtaji ukafia ndani yake, sikufa moyo nikaanza ya pili nikadeal na product mbili zote zikakwama kwa. Sababu tofauti. Namshukuru Mungu nimefanya majaribio ya biashara ya tatu imeonesha mafanikio na matumaini. Ila ushauri wa kuinvest si wote wanauweza, kuna roho flani ya kukubali matokeo si wote wanayo, nnao marafiki ambao kwao hata kupoteza laki moja hawawezi kuvumilia mtu kama huyu hii idea hawezi kuikubali. Halafu unaweza kuconvert hayo magari na nyumba into working capital huku ukiwa assured kwamba kuna usalama.
 
Nimeanza kupata somo kubwa sana kutoka kwa baadhi ya wadau hapa ndani. Ngoja nifanye jambo
 
For your information! The richest investor in the world Warren Buffet alianza kujenga nyumba yake before hajaanza biashara alikuwa ameajiliwa wakati huo.
Nawashauri vijana in their 20's to build their career rather than entering into debts.
Get the facts right Chimbuvu, Kitu cha kwanza Warren Buffet hakujenga nyumba yake ni alinunua. Kitu cha pili Warren alinunua hii nyumba miaka miwili baada ya kuanza biashara zake. Alifanya kazi kutoka mwaka 1951 mpaka 1956 na mwaka huo wa 1956 alianza biashara zake kwa kuanzisha kampuni iliyoitwa "Buffett Partnership Ltd", mwaka 1958 alinunua nyumba yake ya kwanza ambayo ndo anaishi mpaka leo. You are trying to belittle the point mkuu Nkobe is trying to make here with inaccurate facts and that is not intellectual. Respect kwa muanzisha Thread, umemimina bonge ya madini.
 
For your information! The richest investor in the world Warren Buffet alianza kujenga nyumba yake before hajaanza biashara alikuwa ameajiliwa wakati huo.
Nawashauri vijana in their 20's to build their career rather than entering into debts.
Get the facts right Chimbuvu, Kitu cha kwanza Warren Buffet hakujenga nyumba yake ni alinunua. Kitu cha pili Warren alinunua hii nyumba miaka miwili baada ya kuanza biashara zake. Alifanya kazi kutoka mwaka 1951 mpaka 1956 na mwaka huo wa 1956 alianza biashara zake kwa kuanzisha kampuni iliyoitwa "Buffett Partnership Ltd", mwaka 1958 alinunua nyumba yake ya kwanza ambayo ndo anaishi mpaka leo. You are trying to belittle the point mkuu Nkobe is trying to make here with inaccurate facts and that is not intellectual. Respect kwa muanzisha Thread, umemimina bonge ya madini.
 
Mimi nawashauri vijana, anza kwa ku invest ili upate muda mrefu wa kuanguka, kuanguka itakuwa fundisho kwako, ukija kufika wa kuwa na watoto wawili tayari asset yako inakuzalishia milioni 40 kwa mwaka na hautatishwa na kodi ya 150,000, na utajenga kilaini kabisa

Mkuu hiyo 40M unayosema mtu azalishe kwa mwaka kuna watu kwenye ajila wanaiingiza kwa mwezi mmoja tu kama mshahara na nyumba ada za watoto analipiwa na ofisi usikatishe tamaa vijana wanaoanza kazi japokuwa ni kweli biashara zinalipa sana na hata mimi nawashauri watu wa invest sana wasitegemee kazi tu ila tusidharau ajira nazo ni muhimu sana sometimes kupata experience na kukusanya mtaji kumbuka hata co founder wa Whatsup alikuwa engineer wa Yahoo swala la msingi tuwe na malengo tunapo ajiriwa tusijione ndo tumefika by the way huwezi ridhisha watoto wako kazi yako ila unaweza waridhisha kampuni yako au biashara yako
 
Wadau, hasa vijana wenzangu,

Ushauri kwa vijana wenzangu. Ukiona wewe kwanza ndiyo umepata kazi, ukaanza kwa kununua gari la kutembelea, baada ya hapo ukanunua kiwanja na ukaanza kujenga ujue wewe utaishia kuwa middle class na kuteseka ki uchumi katika maisha yako yote. Ninaposema kuteseka ki uchumi namaanisha kila ikihitajika laki moja wewe kuitoa mpaka ukope au ukitoa unaishiwa. Vijana wengi wanapenda kuishi maisha ya luxury wakati hawana sifa ya kuwa na luxury, unakuta ndani kwake kajaza vifaa expensive wakati hana rasilimali ya kumpa kipato, wengi wanafanya hivyo ili waonekane wako na maisha safi kwa jamii, kumbe wanajichimbia kaburi

Asilimia kubwa ya middle class walieanza kwa ku invest kwenye mambo yasiyozalisha, mfano nyumba ya kuishi mwenyewe au gari, ukianza, ukianza kwa kujenga nyumba ya kuishi wewe ndio mbaya kabisa. Watu tunaowaita matajiri, walianza kwa ku invest kwenye kitu kinachozalisha pesa then gari la kutembelea, nyumba vikaja baadae. Huo ni ushauri wangu kwa vijana wenzangu

BAADA YA KUONA SIELEWEKI, NIMEONA NIWAPE MFANO HUU.

Hapa Tanzania, Wahindi wamekuwa waoga kujenga Tanzania kwa hofu kuwa labda hapa si kwao. Wahindi wanaishi National Housing kwa kupanga, ni mabillionaire, wameshika uchumi wa nchi hii, hawatishwi na kodi za nyumba, mfano kwa Arusha wanalipa kodi hadi 1.5m kwa mwezi kwa nyumba ambazo si national housing huko Arusha.
Sasa vipi wewe Mtanzania ungeanza na biashara then Nyumba?

Upo right kabisa mkuu,
Tatizo kubwa linalotukumba sie vijana ni kuwa tunakosa elimu ya kujua fedha "Financial Literacy" pamoja na kuwa tuna elimu za professional zetu. Hii kitu inatufanya watu tushindwe kutofautisha kati ya Assets na Liabilities, na hapo ndipo wengi wetu huishia kuwa masikini or middle class.

Kosa kubwa sana ambalo hadi leo nalijutia ni kuwa nilipomaliza masomo karibia miaka miwili iliyopita nilinunua gari kitu ambacho kilinifanya niwe napiga hatua kurudi nyuma kila siku maana ilikuwa kila ifikapo tarehe ishirini salary yote imeisha kwa matumizi mengi yakihusu gari.
Kwa sasa nimeamua kuuza gari na kuanza na moja. hivi vitu vitafuata baadaye baada ya kuwa stable kiuchumi.

Nawasilisha.
 
Upo right kabisa mkuu,
Tatizo kubwa linalotukumba sie vijana ni kuwa tunakosa elimu ya kujua fedha "Financial Literacy" pamoja na kuwa tuna elimu za professional zetu. Hii kitu inatufanya watu tushindwe kutofautisha kati ya Assets na Liabilities, na hapo ndipo wengi wetu huishia kuwa masikini or middle class.

Kosa kubwa sana ambalo hadi leo nalijutia ni kuwa nilipomaliza masomo karibia miaka miwili iliyopita nilinunua gari kitu ambacho kilinifanya niwe napiga hatua kurudi nyuma kila siku maana ilikuwa kila ifikapo tarehe ishirini salary yote imeisha kwa matumizi mengi yakihusu gari.
Kwa sasa nimeamua kuuza gari na kuanza na moja. hivi vitu vitafuata baadaye baada ya kuwa stable kiuchumi.

Nawasilisha.

Unajuta kununua gari si ungeliuza??jamani magari yenyewe haya used $3500 yatakufanya kuwa masikini ??wengine wanasema nchi nyingine hujengi nyumba kwa pesa yako ni kweli sehemu kama Mumbai kupata kiwanja tu cha saizi ya kati cost yake unawezajenga flat Kariakoo,nchi nyingine ujenzi ni gharama kubwa sana lakini si Tz,bado kuna sehemu ukiwa na 2ml unapata plot nzuri tu tena Dar!!!hoja zenu hazina nguvu labda mseme mtu mwenye 5ml hasinunue Vitz ila awekeze kwenye biashara fulani,mbona hizo biz hamzitaji???
 
Unajuta kununua gari si ungeliuza??jamani magari yenyewe haya used $3500 yatakufanya kuwa masikini ??wengine wanasema nchi nyingine hujengi nyumba kwa pesa yako ni kweli sehemu kama Mumbai kupata kiwanja tu cha saizi ya kati cost yake unawezajenga flat Kariakoo,nchi nyingine ujenzi ni gharama kubwa sana lakini si Tz,bado kuna sehemu ukiwa na 2ml unapata plot nzuri tu tena Dar!!!hoja zenu hazina nguvu labda mseme mtu mwenye 5ml hasinunue Vitz ila awekeze kwenye biashara fulani,mbona hizo biz hamzitaji???

Usiwe mvivu wa kusoma

We sidhani kama unaelewa chochote kuhusu uchumi. Hivi unajua Bill Gates alianza na mtaji wa Dollar ngapi? Or unapost tu ili mradi na wewe uonekane umepost. "Let's say hiyo $3500", dada angu huo ni mtaji wa watu hata zaidi ya 30 ukiugawa na watu wanatoka. Just imagine hiyo $3500 jumlisha na gharama nyingine kuanzia shipping, tra hadi gari kutoka plus gharama nyingine za mafuta na matengenezo kwa mwaka na nusu kama tu ningesave na kufanyia kitu kingine where would I be??
Motor vehicle is among liabilities which takes money from your pocket and that's too bad for those who are starting to build their economy stability.
 
Usiwe mvivu wa kusoma

We sidhani kama unaelewa chochote kuhusu uchumi. Hivi unajua Bill Gates alianza na mtaji wa Dollar ngapi? Or unapost tu ili mradi na wewe uonekane umepost. "Let's say hiyo $3500", dada angu huo ni mtaji wa watu hata zaidi ya 30 ukiugawa na watu wanatoka. Just imagine hiyo $3500 jumlisha na gharama nyingine kuanzia shipping, tra hadi gari kutoka plus gharama nyingine za mafuta na matengenezo kwa mwaka na nusu kama tu ningesave na kufanyia kitu kingine where would I be??
Motor vehicle is among liabilities which takes money from your pocket and that's too bad for those who are starting to build their economy stability.

Wewe mchumi bado hujajibu swali ni biashara ipi ningefanya kwa hiyo 4ml leta mchanganuo,nisingenunua gari ningetumia Taxi,daladala nk bado pesa ingetoka.kununua gari na kujenga nyumba si kizingiti cha kufanya husiwekeze ktk mambo mengine.Poor dady Rich dady nimeisoma lakini mengine ni ya huko Magharibi si Afrika,
 
Wewe mchumi bado hujajibu swali ni biashara ipi ningefanya kwa hiyo 4ml leta mchanganuo,nisingenunua gari ningetumia Taxi,daladala nk bado pesa ingetoka.kununua gari na kujenga nyumba si kizingiti cha kufanya husiwekeze ktk mambo mengine.Poor dady Rich dady nimeisoma lakini mengine ni ya huko Magharibi si Afrika

Expenses hazikwepeki kwa wanadamu wote, ila tunatofautiana kiwango cha matumizi hayo. Nafikiri rudia tena kusoma post ya mtoa maada alichoelezea ndicho ninachoelezea hapa.
 
Expenses hazikwepeki kwa wanadamu wote, ila tunatofautiana kiwango cha matumizi hayo. Nafikiri rudia tena kusoma post ya mtoa maada alichoelezea ndicho ninachoelezea hapa.

Tanzania ni kati ya nchi ambazo unanunua mzigo wa biashara nje ya nchi bila kujua ushuru utakuwa kiasi gani,hatuna utaratibu mzuri wa ushuru hivyo risk ya kufirisika ni mda wowote ule,uwekezaji pia ni mgumu sana kama ni mgeni,John akienda China na kununua kontena la vifaa vya umeme anafanya biashara mimi nikiingiza bidhaa ileile Tbs watasema ni fake na kuiteketeza unawezachanganyikiwa!!!hakuna mazingira mazuri ya uwekezaji kwa wazawa njia salama ni kujenga nyumba yako,nunua usafiri wako na ziada wekeza...Nchi nyingine kama nilivyosema nyumba si issue ya muhimu sana lakini Afrika Nyumba kwanza.
 
mkuu acha visingizio hta hujaanza ushaanza kutoa excuses.............change your attitude ukiwa unawaza negative huwez fanikiwa hta cku moja
 
Tanzania ni kati ya nchi ambazo unanunua mzigo wa biashara nje ya nchi bila kujua ushuru utakuwa kiasi gani,hatuna utaratibu mzuri wa ushuru hivyo risk ya kufirisika ni mda wowote ule,uwekezaji pia ni mgumu sana kama ni mgeni,John akienda China na kununua kontena la vifaa vya umeme anafanya biashara mimi nikiingiza bidhaa ileile Tbs watasema ni fake na kuiteketeza unawezachanganyikiwa!!!hakuna mazingira mazuri ya uwekezaji kwa wazawa njia salama ni kujenga nyumba yako,nunua usafiri wako na ziada wekeza...Nchi nyingine kama nilivyosema nyumba si issue ya muhimu sana lakini Afrika Nyumba kwanza.

Mkuu sidhani kama unaelewa kinachozungumziwa hapa.
 
mkuu saba7 unasema 4m huwezi fanya chochote?????........ur not serious mkuu!! mi nilianza biashara ya m pesa na 1.5 mil now nina capital ya 12m hzo m4 waweza nunua pikipiki boxer 2 na zikawa zinakuletea hesab laki moja kwa wiki......mkuu usiifunge sana akili yko kwa ubishi heb funguka kidogo
 
nyie jidanganyeni tu fainali ni uzeen mtakapokuwa mnalipwa pensheni ihlf haitoshi na hzo suti zenu zitakuwa nzito
 
mkuu saba7 unasema 4m huwezi fanya chochote?????........ur not serious mkuu!! mi nilianza biashara ya m pesa na 1.5 mil now nina capital ya 12m hzo m4 waweza nunua pikipiki boxer 2 na zikawa zinakuletea hesab laki moja kwa wiki......mkuu usiifunge sana akili yko kwa ubishi heb funguka kidogo

Akili yangu ipo wazi sana lakini kuna watu wanataka kutuambia kuwa kujenga ni kuzika pesa kama walivyokaambiwa na Robert kiyosaki ni hapo tu ndipo napopinga,usafiri binafsi pia ni muhimu ktk kukuwezesha kufuatilia biz zako
 
Back
Top Bottom