Rapunzel
JF-Expert Member
- Jun 30, 2012
- 1,079
- 597
achana nae..hawa wamekariri maisha...!!yani mie na degree yangu nliyosotea kwa tabu nikae nakimbizana na bodaboda na daladala...wakat kuna vitz za milioni 4?aka mie!!!nyumba nitajenga tu kwani nalala nje?anipishe huko......kazi nafanya na biashara nafanya..ana jingine?
True kabisa tena umenyuka suite yako ya kazi na heels unakimbilia daladala usiombe mvua inyeshe weweee ,kamata vitz kula kiyoyozi saafii