oba
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 310
- 65
1. Uwe ni mtu mnafiki ambaye ukiomba pesa serikalini,mfano milioni 100 ,kwa ajili ya kuendesha taasisi au position uliyonayo, uko radhi kupewa 5% of that na kuridhika huku ukishukuru sana bila kulalamika au kutishia kujiuzuru nafasi hiyo kwa kigezo cha kutoweza kufanya kazi kwa fedha kiduchu!
2. Uwe mtu ambaye unaweza kutengeneza dili za pesa( kwa wizi au ubadhilifu) na kuzificha kwenye akaunti ya nje ilmradi bosi wako akigundua uwe radhi kumpunguzia kidogo ili kumtuliza.
3. Uwe mtu ambaye uko tayari kufa kuliko kujiuzuru nafasi yako kwa sababu yoyote iwe ya kweli au ya uongo
4. Uwe tayari kutetea uozo wa namna yoyote ilmradi uwe umefanywa na bosi wako au yeyote aliye juu yako
5. Uwe tayari kuwashughulikia watu wote kwa vyovyote vile,hata ikibidi kuwaua, wanaohatarisha kudondoka kwa mkate wako au wa bosi wako
Nawasilisha!
2. Uwe mtu ambaye unaweza kutengeneza dili za pesa( kwa wizi au ubadhilifu) na kuzificha kwenye akaunti ya nje ilmradi bosi wako akigundua uwe radhi kumpunguzia kidogo ili kumtuliza.
3. Uwe mtu ambaye uko tayari kufa kuliko kujiuzuru nafasi yako kwa sababu yoyote iwe ya kweli au ya uongo
4. Uwe tayari kutetea uozo wa namna yoyote ilmradi uwe umefanywa na bosi wako au yeyote aliye juu yako
5. Uwe tayari kuwashughulikia watu wote kwa vyovyote vile,hata ikibidi kuwaua, wanaohatarisha kudondoka kwa mkate wako au wa bosi wako
Nawasilisha!