chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 7,581
- 15,712
kipindi cha mwendazake kulikuwa na kauli ya kutumbua majipu?.
ila walishindwa kuelewa majipu usababishwa na mfumo mzimo wa damu chafu.
damu chafu iliyoko tanzania ndio uzalisha majipu.
tanzania inatakiwa kusafisha damu yenye chanzo cha majipu.
na damu hii bado hipo na uzalisha majipu
ila walishindwa kuelewa majipu usababishwa na mfumo mzimo wa damu chafu.
damu chafu iliyoko tanzania ndio uzalisha majipu.
tanzania inatakiwa kusafisha damu yenye chanzo cha majipu.
na damu hii bado hipo na uzalisha majipu