Nionavyo mimi ukiwa na fedha basi unaweza ukampata mwanamke yoyote hata kama utakuwa na sura mbaya.Hii hupelekea wanaume wengi kufanya kazi kwa bidii.Pia ukiwa na hela mwanamke anakuwa na unyenyekevu wa hali ya juu katika familia.
Hata kama humfikishi kisawasawa yuko tayari kuvumilia ilimradi apate fedha.
Hivyo Vijana tafuteni hela kwanza ndiyo mwisho wa matatizo ktk ndoa.
Hata kama humfikishi kisawasawa yuko tayari kuvumilia ilimradi apate fedha.
Hivyo Vijana tafuteni hela kwanza ndiyo mwisho wa matatizo ktk ndoa.