Zingzingzing
JF-Expert Member
- May 13, 2014
- 655
- 604
Nimejionea hiloo , tukomae tu.
Mmh sasa kama GPA ni kigezo ma interview yanini tenaNimejionea hiloo , tukomae tu.
Muache aendelee kuamin hvyo hvyosawa endelea kuamini
Hata kama jipiei ya kuvuliwa chu.piNimejionea hiloo , tukomae tu.
Nimejionea hiloo , tukomae tu.
Kuna milango hufunguliwa na GPA (kubwa) hasa kwenye academics hii haina ubishi lakini predictive validity ya GPA siyo 100% na wajanja pia huchonga transcript hivyo interview hufanyika ili kuwa na uhakika kama unachotaka ndio kiko mbele yako.Mmh sasa kama GPA ni kigezo ma interview yanini tena
Hatujadili na wasiosoma kama weweVyuo vimefunguliaa mkasome ss sio kutomasana tomasana vibwetani
Huu mtazamo cyo sahihi. Point yako ilikua ni nzur lkn case-study uloitumia ni yaki weak! Educational background ya mtu haiwez kumzuia kupiga GPA kubwa chuo...do ur homework mkuu...au njoo DIT angalia intake ya mwaka 2013/2014 (wale walomaliza o level mwaka 2012) kisha angalia wana division ngapi-ngapi on average. Fanya ka simple research then njoo hapa uongee pumba tna...ntakupa zawadiGPA labda kama unataka kuwa Academician au kama umesoma Bachelor za ualimu hivi huko sawa.
Ila huku kwingine sijui Law, Account, Procurement, Social work etc etc ukienda hasa sekta binafsi hiyo GPA baki nayo tu kwenu.
Kwa nature ya elimu yetu GPA kubwa huwa wanakuwa ni watu wakujipendekeza pendekeza kwa walimu
Sasa mtu Olevel ana Three ya 23 unaangalia vyeti Advance ana three napo then BOOOM chuo ana 4.3 GPA unamuita interview unabaki msikiliza sikiliza then unamkata juu kwa juu (thats reality)
Nimejionea hiloo , tukomae tu.
SahhMeku nyakati zimebadilika sana. Makampuni sikuiz wanachofanya ni unabanwa kwenye interview na experience. Mambo ya kuamin gpa kubwa sikuiz yamepungua mzeya.
Huu mtazamo cyo sahihi. Point yako ilikua ni nzur lkn case-study uloitumia ni yaki weak! Educational background ya mtu haiwez kumzuia kupiga GPA kubwa chuo...do ur homework mkuu...au njoo DIT angalia intake ya mwaka 2013/2014 (wale walomaliza o level mwaka 2012) kisha angalia wana division ngapi-ngapi on average. Fanya ka simple research then njoo hapa uongee pumba tna...ntakupa zawadi
Mtu kasoma form one,two,three,four kamaliza kaenda pre-form five, July kaanza form five baadae form six, kamaliza form six naenda jkt karudi mwenzi mmoja baadae chuo, akimaliza hiyo experience ataizalia wapi? field labda.Meku nyakati zimebadilika sana. Makampuni sikuiz wanachofanya ni unabanwa kwenye interview na experience. Mambo ya kuamin gpa kubwa sikuiz yamepungua mzeya.
Did you fact-check anything before your opinion?! Mimi nimechukua sample ya DIT/O'LEVEL STUDENTS/2012/FROM AZANIA SECONDARY SCHOOL, kuna madogo (cyo chini ya wanne) walijiunga na DIT baada ya matokeo yao ya awali ya form 4 kusoma IV Points 28, 27, 32 na 26 respectively. Baada ya sekeseke, second version ya matokeo wakapata III yenye points za mkia. Hawahawa ndo wamepata gpa zilizowashawishi TTCL, COCA KWANZA, TOYOTA (TZ) na CASPIAN CONSTRUCTORS (T) LTD kuja kuwapa offer ya kujiunga nao after graduation ya Diploma zao.Narudia kakitu kadogo 'mfumo wa elimu yetu' alafu nikwambie kitu mtu mwenye alili ya sarasani hapimwi kwa ufaulu wa chuo hasa hapa Tz bali kwa ufaulu wa sekondari hasa olevel
Utaniuliza juu ya ma T.O mbona wanapotezwa chuo hii ni kutokana na 'mfumo wa elimu' ila hao jamaa watabaki kuwa na akili za darasani hata kama ukimpita gpa chuo