Ukiwa Na Demu Wa Hivi Lazima Upate Vichomi

Pilipilihoho

JF-Expert Member
Jan 29, 2016
202
145
Jamaa mmoja alipigwa na homa kali ya malaria mpaka akalazwa. Akiwa hospitali hali yake ilianza kuimarika.

Habari zikamfikia demu wake kupitia mashoga zake kuwa msela wake anaumwa na kalazwa hospitali.

Baada ya muda mchache, yule jamaa akapokea ujumbe mfupi;

Demu: Hello baby! Uko wapi? Kwako sijakukuta.

Jamaa: Nipo hospitali ya rufaa hapa Muhimbili nimelazwa.

Demu: Pole sana baby! Nirushie nauli na hela ya matunda nije nikuone.

Nyie wadada Mungu anawaona!!!!
 
Jamaa mmoja alipigwa na homa kali ya malaria mpaka akalazwa. Akiwa hospitali hali yake ilianza kuimarika.

Habari zikamfikia demu wake kupitia mashoga zake kuwa msela wake anaumwa na kalazwa hospitali.

Baada ya muda mchache, yule jamaa akapokea ujumbe mfupi;

Demu: Hello baby! Uko wapi? Kwako sijakukuta.

Jamaa: Nipo hospitali ya rufaa hapa Muhimbili nimelazwa.

Demu: Pole sana baby! Nirushie nauli na hela ya matunda nije nikuone.

Nyie wadada Mungu anawaona!!!!
Teh teh
 
Back
Top Bottom