Ukiwa na account ya Paypal huwezi kuunganisha na bank zetu hapa Tanzania?

Unaweza kuunga ila kama haijawezeshwa hiyo account kufanya online banking basi hutaweza kufanya miamala. Kama account yako inagoma fanya kufika tawi la bank yako watakusaidia.
ni kweli ila hii card sina mda mrefu tangu imekuwa active nd nilikuwa nikiunga hapa ila bado inagoma na isitoshe equity bank hawakuwa na haja ya kuwezesha bank card manna imeunganishwa automatic
 
Sio lazima PayPal Mkuu
Kuna Skrill, SendWave, Nk

PayPal haifanyi kaz Bongo hapa
Kama ikishindikana itumwe kenya if you have somebody there. Then itumwe manually kwa Mpesa Au Airtel money kwako
 
ni kweli ila hii card sina mda mrefu tangu imekuwa active nd nilikuwa nikiunga hapa ila bado inagoma na isitoshe equity bank hawakuwa na haja ya kuwezesha bank card manna imeunganishwa automatic
Kama ni equit sahau. Nenda Backlays Bank

God save us
 
Kama ni equit sahau. Nenda Backlays Bank

God save us
Ah ah we jamaa bana mfanyakazi wa markwting nn hapo...hivi niache account ambayo haina makato niende kimbizana na makato million...baclays mtapata tabu sana kipindi hiki
 
Ah ah we jamaa bana mfanyakazi wa markwting nn hapo...hivi niache account ambayo haina makato niende kimbizana na makato million...baclays mtapata tabu sana kipindi hiki
Ninazo zote isipokuwa Equity inegoma kuunganishwa na PayPal . nilikwenda mpaka bank wakaniambia kuwa haiwezekani

God save us
 
Sio lazima PayPal Mkuu
Kuna Skrill, SendWave, Nk

PayPal haifanyi kaz Bongo hapa
Kama ikishindikana itumwe kenya if you have somebody there. Then itumwe manually kwa Mpesa Au Airtel money kwako
sasa hapa inategemeana na watoaji pesa wamebez wapi kama hawa jamaa wanatumia paypal kama umeyumba sana unaenda bitcoin
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom