billionarejerry
Member
- Jan 12, 2020
- 21
- 17
Jamani wanajamii nina shida hapa inanisumbua kweli, hivi ina maana bank zetu hazifanyi kazi na Paypal account? Mtu aliye na jibu anisaidie jamani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nina kazi zangu za online nimefikisha kitu kama dollar 255 natakiwa nizitoe sasa nd nafeli hapaEleza wazi unakusudia kufanya nini na hiyo PayPal acc
ni kweli ila hii card sina mda mrefu tangu imekuwa active nd nilikuwa nikiunga hapa ila bado inagoma na isitoshe equity bank hawakuwa na haja ya kuwezesha bank card manna imeunganishwa automaticUnaweza kuunga ila kama haijawezeshwa hiyo account kufanya online banking basi hutaweza kufanya miamala. Kama account yako inagoma fanya kufika tawi la bank yako watakusaidia.
Paypal ina uwezo wa kutoa pesa kwenye ac ila kwa TZ paypal haiwezi kupokea pesa,
basi ngoja kesho niwarudie tenaUnaweza kuunga ila kama haijawezeshwa hiyo account kufanya online banking basi hutaweza kufanya miamala. Kama account yako inagoma fanya kufika tawi la bank yako watakusaidia.
mkuu naomba unicheck tafadhali kwa nickpauljerome@gmail.com
Huwezi kupokea ela kwenye bank za tanzania kutoka paypal.nina kazi zangu za online nimefikisha kitu kama dollar 255 natakiwa nizitoe sasa nd nafeli hapa
Kama ni equit sahau. Nenda Backlays Bankni kweli ila hii card sina mda mrefu tangu imekuwa active nd nilikuwa nikiunga hapa ila bado inagoma na isitoshe equity bank hawakuwa na haja ya kuwezesha bank card manna imeunganishwa automatic
Ah ah we jamaa bana mfanyakazi wa markwting nn hapo...hivi niache account ambayo haina makato niende kimbizana na makato million...baclays mtapata tabu sana kipindi hikiKama ni equit sahau. Nenda Backlays Bank
God save us
Kwani umeambiwa WeweAh ah we jamaa bana mfanyakazi wa markwting nn hapo...hivi niache account ambayo haina makato niende kimbizana na makato million...baclays mtapata tabu sana kipindi hiki
Kwani umejibiwa wewe?????Kwani umeambiwa Wewe
Ninazo zote isipokuwa Equity inegoma kuunganishwa na PayPal . nilikwenda mpaka bank wakaniambia kuwa haiwezekaniAh ah we jamaa bana mfanyakazi wa markwting nn hapo...hivi niache account ambayo haina makato niende kimbizana na makato million...baclays mtapata tabu sana kipindi hiki
asee kuhusu kuwezeshwa bado mkuu leo nd wamenielewesha vzrAccount yako imewezeshwa kufanya Online Banking?
sasa hapa inategemeana na watoaji pesa wamebez wapi kama hawa jamaa wanatumia paypal kama umeyumba sana unaenda bitcoinSio lazima PayPal Mkuu
Kuna Skrill, SendWave, Nk
PayPal haifanyi kaz Bongo hapa
Kama ikishindikana itumwe kenya if you have somebody there. Then itumwe manually kwa Mpesa Au Airtel money kwako