MKONGA
JF-Expert Member
- Feb 19, 2015
- 667
- 453
Ukiwa mtu mzima na mvi ukianza kusema uongo huwa unachukiza sana.
Ilo nimelidhiirisha baada ya Mkuchika kuanza kuchangia bungeni na kusema uongo mwanzo mpaka mwisho.
Eti"Katibu mkuu kiongozi hakusafisha watu..Dah kitu dunia imeshudia huyu babu anadanganya wajukuu aibu!
Ilo nimelidhiirisha baada ya Mkuchika kuanza kuchangia bungeni na kusema uongo mwanzo mpaka mwisho.
Eti"Katibu mkuu kiongozi hakusafisha watu..Dah kitu dunia imeshudia huyu babu anadanganya wajukuu aibu!