Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,237
- 34,183
80% ya watanzania kusoma kitabu ni adhabu.Sio wanasiasa tu, hata raia wa kawaida ili wawe na ushiriki wenye tija katika michakato ya kidemokrasia lazima wawe wasomi wazuri wa vitabu.
80% ya watanzania kusoma kitabu ni adhabu.Sio wanasiasa tu, hata raia wa kawaida ili wawe na ushiriki wenye tija katika michakato ya kidemokrasia lazima wawe wasomi wazuri wa vitabu.
Huwezi kuona wachangiaji wengi hapa,but trust me umeongea moja ya jambo la maana Sana ambalo mwalimu Nyerere alilipigania Sana wakati anang'atuka madarakani na wakati wa ustaafu wake.
Maarifa mengi yamefichwa vitabuni,chochote ambacho unamkwamo nacho,ukitafuta vitabu vinavyoendana na ishu yako utapata ufumbuzi.
Tusome vitabu,tusiamini sana vyeti vya ngazi mbalimbali za elimu.
Duuuh kama ungekua umesoma bandiko lake ungejua ni kitabu gani.Umesoma kitabu gani?
Yes kitabu kina madini mengi sana na ingawa stories nyingi za zamani ila Zina reflect Hali halisi ya dunia ya Leo. Na humu duniani hamna jipya yote ni marudio tu ya kale ila with modified technology ila watu ni wale wale tuKabisa.. 48 laws of power ni kama mkisanyiko wa masomo mbali mbali ya philosophers wa zamani..
Sisi wasomaji wa vitabu hatunaga maneno mengi, yeye kasema amesoma falsafa za RENE DISCARTE nikauliza amesoma kitabu gani?Duuuh kama ungekua umesoma bandiko lake ungejua ni kitabu gani.
Sasa uzi tu umekushinda kusoma je kitabu chenye page 700 utaweza kusoma kweli?
Kabisa mkuu ...Kwa taarifa, mkuu, "dictactor", ni cheo cha juu zaidi alitunukiwa mtawala, enzi za himaya kuu ya Rumi, mfano Julius Caesar.
Treatise of Man ila sijakimaliza.. but ana vitabu vingiSisi wasomaji wa vitabu hatunaga maneno mengi, yeye kasema amesoma falsafa za RENE DISCARTE nikauliza amesoma kitabu gani?
Ni sahihi mkuu mimi nimeanza kusoma Bible , najitahidi sana kuwa kwenye Utulivu wa kusoma ili nitoke na kitu na nafanya mazoezi ya kile nilichokisoma, nasoma habari za wafalme na Maisha kwa ujumla lengo nahitaji kuwa kiongozi bora.Huwezi kuona wachangiaji wengi hapa,but trust me umeongea moja ya jambo la maana Sana ambalo mwalimu Nyerere alilipigania Sana wakati anang'atuka madarakani na wakati wa ustaafu wake.
Maarifa mengi yamefichwa vitabuni,chochote ambacho unamkwamo nacho,ukitafuta vitabu vinavyoendana na ishu yako utapata ufumbuzi.
Tusome vitabu,tusiamini sana vyeti vya ngazi mbalimbali za elimu.
Ni kweli kabisa tunaita "ukuaji wa Teknolojia" huu mchakato umeanza siku nyingi.Ndo mana nikasema asilimia kubwa... nikimaanisha kuna ambavyo vipo sasa havikuwepo zamani..
lakini lazima uelewe hata hii artificial intelligence unayoiona sasa ni zao la wana falsafa wa zamani, watu kama akina Tesla, Newton, Shrodinger, Edison, Da Vinci etc.. bila kazi zao usingeona huu ugunduzi wa sasa
Bible je?Na kitabu kizuri Cha kusoma pia ni Cha 48 laws of power by Robert Greene ni best kitabu kinachofundisha skills nyingi za ku attain power na kingine ni Laws of Human nature by Robert Greene
Google majina ya wanafalsafa wa zamani.. halafu katika kila mmoja, tafuta kitabu chake halafu anza taratibu kusoma baadhi ya vitabu vyake.Nantombe Mushi, kama mtu anataka kuwa msomaji mzuri na aelewe anachosoma unamshauri afanye nini?
Ndo mana hata mtu kuwa padri lazima asome falsafa.. ni muhimu mno aisee.. sema basi tu.. ikiwa watu wangekuwa wanasoma maandiko ya wana falsafa maisha yetu yangekuwa ya tofauti sana... hata demokrasia yetu ingekuwa sana na watu wangekuwa na uwezo mkubwa wa ku reason mamboSuala la kusoma falsafa ni la kila mtu aliyehai na anayejua kusoma na kuandika. Mimi natamani hata mitaala ya degree mwaka wa kwanza wote watu wasome falsafa halafu mwaka wa pili na watatu waendelee na mambo yao. Falsafa ni msingi wa Maisha.
hata bible mkuu, pia quran, na toratiBible je?
Ndo shida ilipo hapo.. but bado kuna nafasi ya watu kubadilikaUmenena vyema lkn,kwa bahati mbaya hapa Bongo watu wanapewa vyeo kwa kuwatukana au kuwaua wanasiasa wa Chadema!