Polisi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 2,082
- 639
Wakuu leo sikuwa busy sana na hivyo nikaona ni fursa muafaka kukaa na my wife kuangalia taarifa ya habari. Kuna mambo mawili yamenishtua kidogo na nikawa najiuliza lengo hasa la taarifa ya habari ni nini?
Jambo la kwanza ni la mwandishi wa ITV kumuhoji mhe. Prof. Mwandosya juu ya uvumi kuwa amefariki dunia. Aliuliza hivi 'Mhe. Mwandosya kuna uvumi kuwa umefariki dunia, unaweza kuwaambia nini watanzania?' Tatizo langu: Je mwandishi alitaka ku confirm kama mwandosya amefariki kutoka kwa mwandosya mwenyewe?
Nikaendelea kukodolea macho TV. Nikamsikia mhe. Nape na kauli hii: 'Tanzania ina wenyewe, na wenyewe ni CCM'. Nikajiuliza, hivi kweli nape alidhamiria kuongea neno hilo?
MUNGU IBARIKI TANZANIA, MUNGU IBARIKI JAMIIFORUMS
Jambo la kwanza ni la mwandishi wa ITV kumuhoji mhe. Prof. Mwandosya juu ya uvumi kuwa amefariki dunia. Aliuliza hivi 'Mhe. Mwandosya kuna uvumi kuwa umefariki dunia, unaweza kuwaambia nini watanzania?' Tatizo langu: Je mwandishi alitaka ku confirm kama mwandosya amefariki kutoka kwa mwandosya mwenyewe?
Nikaendelea kukodolea macho TV. Nikamsikia mhe. Nape na kauli hii: 'Tanzania ina wenyewe, na wenyewe ni CCM'. Nikajiuliza, hivi kweli nape alidhamiria kuongea neno hilo?
MUNGU IBARIKI TANZANIA, MUNGU IBARIKI JAMIIFORUMS